Uchaguzi 2020 Kwa namna gani chama imara kama CCM, kikubwa na chenye historia ndefu kinawezaje kusumbuliwa na vyama vidogo?

Uchaguzi 2020 Kwa namna gani chama imara kama CCM, kikubwa na chenye historia ndefu kinawezaje kusumbuliwa na vyama vidogo?

mkalamo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2013
Posts
340
Reaction score
359
Wakuu habarini za kitambo kidogo na poleni sana kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na mpendwa wetu Rais Mstaafu Mzee Benjamini Mkapa (R.I.P),

Kwa muda mrefu huko nyuma nilikuwa najiuliza inawezekanaje na ni kwanini CCM hujikuta wanatumia nguvu kubwa sana kuvuka na hatimaye kupata ushindi wa chaguzi mbalimbali,

nimekuwa nikijiuluza pia ni kwa namna gani chama imara kama hiki, kikubwa na chenye historia ndefu kinawezaje kusumbuliwa na vyama vidogo na wakati mwengine vyama vipya kabisa kama vilivyoibuka kama CHADEMA, ACT WAZALENDO na vinginevyo

NILICHOJIFUNZA
CCM
ni ama imelewa nguvu za madaraka au haihitaji kuendana na wakati nhususani mahitaji husika ya wananchi katika chaguzi zao za ndani wanapotaka kuchagua mwakilishi wao kwenda kushindana na wa vyama vingine.

chaguzi za ndani ya chama hiki kikubwa maarufu kama KURA ZA MAONI ni kichocheo kikuwa sana cha CCM kujikuta wanatumia nguvu kubwa kuwanadi wagombea wao katika chaguzi za kiserikali

nimejifunza kuwa chaguzi za kura za maoni CCM ni kielelezo namba moja cha chama hicho kujichimnbia kaburi la kupata washindani wabovu kulinganisha na vyama vingine, hii inatokana na ukweli wa namna michakato ya chaguzi hizo inavyopatikana ikwemo upigwaji wa kura, muda wa kujinadi, ufahamu wa wajumbe kuhusu wagombea, matumizi mabaya ya madaraka, upendeleo na mzizi mkuu RUSHWA

nimefuatilia chaguzi nyingi zilizopita namna wajumbe walivyowanyoa wagombea ambao walipewa chinin ya dakika 3 kujinadi ambapo kundi kubwa la wagombea hao waliambulia kura 0 na wengine namba za viatu

MTIHANI WA RUSHWA
sijui kama TAKUKURU wanaweza kunikosoa kwenye hili, lakini kwa dhahiri shairi na kwa macho tu ya kawaida, haikuwa rahisi kwa mgomea wa CCM akashinda kura za maoni kama hajatoa kiasi kikubwa cha pesa kulinganisha na wagombea wenzake.

tafiti zisizo rasmi zimeonyesha pasi na shaka namna Wabunge wanaotetea nafasi zao, wafanyaiashara wakubwa, na watu wengine wenye uchumi mkubwa walivyoweza kushinda kura za maoni bbila kujali uwezo wao wa kuchambua masuala yanayowahusu watu wanaotaka kuwawakilisha.

hii ndio kusema kwamba linapokuja swala la kura za maoni, wajumbe wa kura hizo wa CCM hufumba macho yao kuchagua kiongozi mwenye uwezo na badala yake huangalia nani amewapa nini kumzidi nani...HATARI SANA HII

MAJUNGU NA FITNA

katika somo kubwa lingine ni uwezo wa wagombea wengi walioshinda na kushindwa kura za maoni kutengeneza uwongo na majungu dhidi ya wagombea wenzao wanaohisi kuwazidi vigezo vya ushindi ama uteuzi katika vikao vya juu.

udhaifu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa ngazi za wilaya na mikoa umewafanya wagombea walioshinda ama kushindwa kufanikiwa kuwatengenezea tuhuma wenzao wanaohisi kuwa wanaweza kuwazidi sifa za kuteuliwa hivyo kuwatengenezea wakati mgumu.

MJADALA UMEFUNGULIWA
 
Kiukweli kwenye hili ndugu mtoa post umenena mambo ambayo ni kuntu. Ila bado Nina imani na raisi wangu Magufuli mbaye ni mpingaji mkubwa wa rushwa ndani ya chama chetu
IMG-20200719-WA0044.jpg
 
Conservatives members wa CCM wanataka Lissu ashinde, wanakaribisha saana usindi wake. Progressives membars ndio wenye kutaka Nyalandu ashinde ili CCM iendelee japo iwe na ushindani. Lissu ni faida kwa CCM.
Nimecheka kwa sauti
 
Wakuu habarini za kitambo kidogo na poleni sana kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na mpendwa wetu Rais Mstaafu Mzee Benjamini Mkapa (R.I.P),

Kwa muda mrefu huko nyuma nilikuwa najiuliza inawezekanaje na ni kwanini CCM hujikuta wanatumia nguvu kubwa sana kuvuka na hatimaye kupata ushindi wa chaguzi mbalimbali,

nimekuwa nikijiuluza pia ni kwa namna gani chama imara kama hiki, kikubwa na chenye historia ndefu kinawezaje kusumbuliwa na vyama vidogo na wakati mwengine vyama vipya kabisa kama vilivyoibuka kama CHADEMA, ACT WAZALENDO na vinginevyo

NILICHOJIFUNZA
CCM
ni ama imelewa nguvu za madaraka au haihitaji kuendana na wakati nhususani mahitaji husika ya wananchi katika chaguzi zao za ndani wanapotaka kuchagua mwakilishi wao kwenda kushindana na wa vyama vingine.

chaguzi za ndani ya chama hiki kikubwa maarufu kama KURA ZA MAONI ni kichocheo kikuwa sana cha CCM kujikuta wanatumia nguvu kubwa kuwanadi wagombea wao katika chaguzi za kiserikali

nimejifunza kuwa chaguzi za kura za maoni CCM ni kielelezo namba moja cha chama hicho kujichimnbia kaburi la kupata washindani wabovu kulinganisha na vyama vingine, hii inatokana na ukweli wa namna michakato ya chaguzi hizo inavyopatikana ikwemo upigwaji wa kura, muda wa kujinadi, ufahamu wa wajumbe kuhusu wagombea, matumizi mabaya ya madaraka, upendeleo na mzizi mkuu RUSHWA

nimefuatilia chaguzi nyingi zilizopita namna wajumbe walivyowanyoa wagombea ambao walipewa chinin ya dakika 3 kujinadi ambapo kundi kubwa la wagombea hao waliambulia kura 0 na wengine namba za viatu

MTIHANI WA RUSHWA
sijui kama TAKUKURU wanaweza kunikosoa kwenye hili, lakini kwa dhahiri shairi na kwa macho tu ya kawaida, haikuwa rahisi kwa mgomea wa CCM akashinda kura za maoni kama hajatoa kiasi kikubwa cha pesa kulinganisha na wagombea wenzake.

tafiti zisizo rasmi zimeonyesha pasi na shaka namna Wabunge wanaotetea nafasi zao, wafanyaiashara wakubwa, na watu wengine wenye uchumi mkubwa walivyoweza kushinda kura za maoni bbila kujali uwezo wao wa kuchambua masuala yanayowahusu watu wanaotaka kuwawakilisha.

hii ndio kusema kwamba linapokuja swala la kura za maoni, wajumbe wa kura hizo wa CCM hufumba macho yao kuchagua kiongozi mwenye uwezo na badala yake huangalia nani amewapa nini kumzidi nani...HATARI SANA HII

MAJUNGU NA FITNA

katika somo kubwa lingine ni uwezo wa wagombea wengi walioshinda na kushindwa kura za maoni kutengeneza uwongo na majungu dhidi ya wagombea wenzao wanaohisi kuwazidi vigezo vya ushindi ama uteuzi katika vikao vya juu.

udhaifu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa ngazi za wilaya na mikoa umewafanya wagombea walioshinda ama kushindwa kufanikiwa kuwatengenezea tuhuma wenzao wanaohisi kuwa wanaweza kuwazidi sifa za kuteuliwa hivyo kuwatengenezea wakati mgumu.

MJADALA UMEFUNGULIWA
Na pia uzee.
 
Wakuu habarini za kitambo kidogo na poleni sana kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na mpendwa wetu Rais Mstaafu Mzee Benjamini Mkapa (R.I.P),

Kwa muda mrefu huko nyuma nilikuwa najiuliza inawezekanaje na ni kwanini CCM hujikuta wanatumia nguvu kubwa sana kuvuka na hatimaye kupata ushindi wa chaguzi mbalimbali,

nimekuwa nikijiuluza pia ni kwa namna gani chama imara kama hiki, kikubwa na chenye historia ndefu kinawezaje kusumbuliwa na vyama vidogo na wakati mwengine vyama vipya kabisa kama vilivyoibuka kama CHADEMA, ACT WAZALENDO na vinginevyo

NILICHOJIFUNZA
CCM
ni ama imelewa nguvu za madaraka au haihitaji kuendana na wakati nhususani mahitaji husika ya wananchi katika chaguzi zao za ndani wanapotaka kuchagua mwakilishi wao kwenda kushindana na wa vyama vingine.

chaguzi za ndani ya chama hiki kikubwa maarufu kama KURA ZA MAONI ni kichocheo kikuwa sana cha CCM kujikuta wanatumia nguvu kubwa kuwanadi wagombea wao katika chaguzi za kiserikali

nimejifunza kuwa chaguzi za kura za maoni CCM ni kielelezo namba moja cha chama hicho kujichimnbia kaburi la kupata washindani wabovu kulinganisha na vyama vingine, hii inatokana na ukweli wa namna michakato ya chaguzi hizo inavyopatikana ikwemo upigwaji wa kura, muda wa kujinadi, ufahamu wa wajumbe kuhusu wagombea, matumizi mabaya ya madaraka, upendeleo na mzizi mkuu RUSHWA

nimefuatilia chaguzi nyingi zilizopita namna wajumbe walivyowanyoa wagombea ambao walipewa chinin ya dakika 3 kujinadi ambapo kundi kubwa la wagombea hao waliambulia kura 0 na wengine namba za viatu

MTIHANI WA RUSHWA
sijui kama TAKUKURU wanaweza kunikosoa kwenye hili, lakini kwa dhahiri shairi na kwa macho tu ya kawaida, haikuwa rahisi kwa mgomea wa CCM akashinda kura za maoni kama hajatoa kiasi kikubwa cha pesa kulinganisha na wagombea wenzake.

tafiti zisizo rasmi zimeonyesha pasi na shaka namna Wabunge wanaotetea nafasi zao, wafanyaiashara wakubwa, na watu wengine wenye uchumi mkubwa walivyoweza kushinda kura za maoni bbila kujali uwezo wao wa kuchambua masuala yanayowahusu watu wanaotaka kuwawakilisha.

hii ndio kusema kwamba linapokuja swala la kura za maoni, wajumbe wa kura hizo wa CCM hufumba macho yao kuchagua kiongozi mwenye uwezo na badala yake huangalia nani amewapa nini kumzidi nani...HATARI SANA HII

MAJUNGU NA FITNA

katika somo kubwa lingine ni uwezo wa wagombea wengi walioshinda na kushindwa kura za maoni kutengeneza uwongo na majungu dhidi ya wagombea wenzao wanaohisi kuwazidi vigezo vya ushindi ama uteuzi katika vikao vya juu.

udhaifu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa ngazi za wilaya na mikoa umewafanya wagombea walioshinda ama kushindwa kufanikiwa kuwatengenezea tuhuma wenzao wanaohisi kuwa wanaweza kuwazidi sifa za kuteuliwa hivyo kuwatengenezea wakati mgumu.

MJADALA UMEFUNGULIWA
Kwanza nikupongeze Sana mtoa udhii na hi ndio true meaning of great thinkers.
Nikirudi kwenye hoja yako ya msingi mimi naona hapo mkombozi wa haya yote ni Mh. John Pombe Magufuli kwa moyo wa dhati kabisa ndio yeye mpambanaji mkubwa wa kuchukia rushwa na Kama ilivyo kawaida kwake kupambana na rushwa kwenye serekal yake na Nguvu anayoitumia kule nadhani hiyo Nguvu itumike kwenye chama chake ambacho yeye ndio m/kiti na kwa mfano tu aanze na hizi chaguzi za kura za maoni za ndani ya CCM kiukweli rushwa imetamalaki kwa kiwango Cha mwendo Kasi na imefikia rushwa kutolewa njee njee kabisa kana kwamba Kama TAKUKURU hawapo au hao wenye ni part of that game.
Kiukweli kwa hapa mh Magufuli anaombwa Sana kuwatetea wale wagombea wenye uwezo wa kujenga hoja na uwezo mkubwa wa kiuongozi na hawakuto rushwa kuliko kuwaacha wale mafisadi na watoa rushwa ambao wanasababisha chama kutokupata wagombea wazuri na pia kukipa kazi kubwa chama kuwanadi wagombea wasio uzika kabisa
 
Wakuu habarini za kitambo kidogo na poleni sana kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na mpendwa wetu Rais Mstaafu Mzee Benjamini Mkapa (R.I.P),

Kwa muda mrefu huko nyuma nilikuwa najiuliza inawezekanaje na ni kwanini CCM hujikuta wanatumia nguvu kubwa sana kuvuka na hatimaye kupata ushindi wa chaguzi mbalimbali,

nimekuwa nikijiuluza pia ni kwa namna gani chama imara kama hiki, kikubwa na chenye historia ndefu kinawezaje kusumbuliwa na vyama vidogo na wakati mwengine vyama vipya kabisa kama vilivyoibuka kama CHADEMA, ACT WAZALENDO na vinginevyo

NILICHOJIFUNZA
CCM
ni ama imelewa nguvu za madaraka au haihitaji kuendana na wakati nhususani mahitaji husika ya wananchi katika chaguzi zao za ndani wanapotaka kuchagua mwakilishi wao kwenda kushindana na wa vyama vingine.

chaguzi za ndani ya chama hiki kikubwa maarufu kama KURA ZA MAONI ni kichocheo kikuwa sana cha CCM kujikuta wanatumia nguvu kubwa kuwanadi wagombea wao katika chaguzi za kiserikali

nimejifunza kuwa chaguzi za kura za maoni CCM ni kielelezo namba moja cha chama hicho kujichimnbia kaburi la kupata washindani wabovu kulinganisha na vyama vingine, hii inatokana na ukweli wa namna michakato ya chaguzi hizo inavyopatikana ikwemo upigwaji wa kura, muda wa kujinadi, ufahamu wa wajumbe kuhusu wagombea, matumizi mabaya ya madaraka, upendeleo na mzizi mkuu RUSHWA

nimefuatilia chaguzi nyingi zilizopita namna wajumbe walivyowanyoa wagombea ambao walipewa chinin ya dakika 3 kujinadi ambapo kundi kubwa la wagombea hao waliambulia kura 0 na wengine namba za viatu

MTIHANI WA RUSHWA
sijui kama TAKUKURU wanaweza kunikosoa kwenye hili, lakini kwa dhahiri shairi na kwa macho tu ya kawaida, haikuwa rahisi kwa mgomea wa CCM akashinda kura za maoni kama hajatoa kiasi kikubwa cha pesa kulinganisha na wagombea wenzake.

tafiti zisizo rasmi zimeonyesha pasi na shaka namna Wabunge wanaotetea nafasi zao, wafanyaiashara wakubwa, na watu wengine wenye uchumi mkubwa walivyoweza kushinda kura za maoni bbila kujali uwezo wao wa kuchambua masuala yanayowahusu watu wanaotaka kuwawakilisha.

hii ndio kusema kwamba linapokuja swala la kura za maoni, wajumbe wa kura hizo wa CCM hufumba macho yao kuchagua kiongozi mwenye uwezo na badala yake huangalia nani amewapa nini kumzidi nani...HATARI SANA HII

MAJUNGU NA FITNA

katika somo kubwa lingine ni uwezo wa wagombea wengi walioshinda na kushindwa kura za maoni kutengeneza uwongo na majungu dhidi ya wagombea wenzao wanaohisi kuwazidi vigezo vya ushindi ama uteuzi katika vikao vya juu.

udhaifu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa ngazi za wilaya na mikoa umewafanya wagombea walioshinda ama kushindwa kufanikiwa kuwatengenezea tuhuma wenzao wanaohisi kuwa wanaweza kuwazidi sifa za kuteuliwa hivyo kuwatengenezea wakati mgumu.

MJADALA UMEFUNGULIWA
Bila kupepesa macho wagombea wa CCM Kama watapitishwa wale ambao wamepita kwa kutoa rushwa hi itaenda kufanya upinzani kupita majimbo na kata nyingi Sana
 
Kwanza nikupongeze Sana mtoa udhii na hi ndio true meaning of great thinkers.
Nikirudi kwenye hoja yako ya msingi mimi naona hapo mkombozi wa haya yote ni Mh. John Pombe Magufuli kwa moyo wa dhati kabisa ndio yeye mpambanaji mkubwa wa kuchukia rushwa na Kama ilivyo kawaida kwake kupambana na rushwa kwenye serekal yake na Nguvu anayoitumia kule nadhani hiyo Nguvu itumike kwenye chama chake ambacho yeye ndio m/kiti na kwa mfano tu aanze na hizi chaguzi za kura za maoni za ndani ya CCM kiukweli rushwa imetamalaki kwa kiwango Cha mwendo Kasi na imefikia rushwa kutolewa njee njee kabisa kana kwamba Kama TAKUKURU hawapo au hao wenye ni part of that game.
Kiukweli kwa hapa mh Magufuli anaombwa Sana kuwatetea wale wagombea wenye uwezo wa kujenga hoja na uwezo mkubwa wa kiuongozi na hawakuto rushwa kuliko kuwaacha wale mafisadi na watoa rushwa ambao wanasababisha chama kutokupata wagombea wazuri na pia kukipa kazi kubwa chama kuwanadi wagombea wasio uzika kabisa
Kwenye Hili la rushwa njee njee pia Mimi nimelishuhudia sehemu mbili Jimbo la Temeke kwenye kura za maoni kwenye udiwani na Jimbo la kibaha mjini kwenye kura za mbunge rushwa ilikuwa inatolewa mpaka chooni
 
Kwanza nikupongeze Sana mtoa udhii na hi ndio true meaning of great thinkers.
Nikirudi kwenye hoja yako ya msingi mimi naona hapo mkombozi wa haya yote ni Mh. John Pombe Magufuli kwa moyo wa dhati kabisa ndio yeye mpambanaji mkubwa wa kuchukia rushwa na Kama ilivyo kawaida kwake kupambana na rushwa kwenye serekal yake na Nguvu anayoitumia kule nadhani hiyo Nguvu itumike kwenye chama chake ambacho yeye ndio m/kiti na kwa mfano tu aanze na hizi chaguzi za kura za maoni za ndani ya CCM kiukweli rushwa imetamalaki kwa kiwango Cha mwendo Kasi na imefikia rushwa kutolewa njee njee kabisa kana kwamba Kama TAKUKURU hawapo au hao wenye ni part of that game.
Kiukweli kwa hapa mh Magufuli anaombwa Sana kuwatetea wale wagombea wenye uwezo wa kujenga hoja na uwezo mkubwa wa kiuongozi na hawakuto rushwa kuliko kuwaacha wale mafisadi na watoa rushwa ambao wanasababisha chama kutokupata wagombea wazuri na pia kukipa kazi kubwa chama kuwanadi wagombea wasio uzika kabisa

Kwa watafiti wa siasa kuna majimbo 27 wanaongoza wana CCM ambao uhakika wa kutetea majimbo ni mdogo kuliko walio chukua nafasi ya pili na ya tatu. Siasa ni sayansi.
 
Back
Top Bottom