Kwa namna tunavyofanya Yanga, wacha wanifukuze

Kwa namna tunavyofanya Yanga, wacha wanifukuze

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Tufikie hatua tuwe wakweli tu. Hii michezo tunayofanya haijengi team na wala hatujui ubora halisi wa kocha.

Tuambiane tu ukweli. Kwenda kucheza na teams ambazo tayari tumeshazinyong'onyesha kunatuondolea utimamu wa miili na akili tukija pambana na teams za ukweli.

Tumefikia hatua sisi wengine hata tukifunga bao 6 tunaona ni jambo la kawaida kwa teams ambazo tunacheza nazo sababu zinakuja tayari zikiwa zimeshashindwa toka nje haziji kushindana. Hivyo kocha anakosa muda wa kupanga mbinu za ukweli. Sababu hatuna ushindani kwa teams nyingi tunazocheza nazo ukiacha mikia na azam ambao tulivurugana nao.

Haya mambo hayatusaidii, hayaisadii team. Yanailemaza na kuidekeza. Tuacheni kupanga matokeo tena wazi wazi kabisa. Hata mtoto mdogo anaona. Mkisema mimi siyo yanga sijali sababu hata mkisema ni yanga haibadilishi chochote. Ila ukweli nitasema. Niueni nimekaa pale.👉
 
Tufikie hatua tuwe wakweli tu. Hii michezo tunayofanya haijengi team na wala hatujui ubora halisi wa kocha.

Tuambiane tu ukweli. Kwenda kucheza na teams ambazo tayari tumeshazinyong'onyesha kunatuondolea utimamu wa miili na akili tukija pambana na teams za ukweli.

Tumefikia hatua sisi wengine hata tukifunga bao 6 tunaona ni jambo la kawaida kwa teams ambazo tunacheza nazo sababu zinakuja tayari zikiwa zimeshashindwa toka nje haziji kushindana. Hivyo kocha anakosa muda wa kupanga mbinu za ukweli. Sababu hatuna ushindani kwa teams nyingi tunazocheza nazo ukiacha mikia na azam ambao tulivurugana nao.

Haya mambo hayatusaidii, hayaisadii team. Yanailemaza na kuidekeza. Tuacheni kupanga matokeo tena wazi wazi kabisa. Hata mtoto mdogo anaona. Mkisema mimi siyo yanga sijali sababu hata mkisema ni yanga haibadilishi chochote. Ila ukweli nitasema. Niueni nimekaa pale.👉
Kumbe inawezekana waambie na wengine waige mbinu zao Ili wapate matokeo
 
Tumefikia hatua sisi wengine hata tukifunga bao 6 tunaona ni jambo la kawaida kwa teams ambazo tunacheza nazo sababu zinakuja tayari zikiwa zimeshashindwa
Kama umeshindwa kuangalia ni wewe na matatizo yako usitujumuishe wengine. Hata sisi wengine pamoja na mautovu ya nidhamu ya marefaree na viongozi wa timu zinazocheza na Simba lakini bado hatuachi kuangalia. Tutaziangalia tu
 
Kama umeshindwa kuangalia ni wewe na matatizo yako usitujumuishe wengine. Hata sisi wengine pamoja na mautovu ya nidhamu ya marefaree na viongozi wa timu zinazocheza na Simba lakini bado hatuachi kuangalia. Tutaziangalia tu
Najumuisha na wenzangu wengine kwani nipo peke yangu?
 
Kama mmekubaliwa kucheza super league kuweni siriaz kdg.
 
Najumuisha na wenzangu wengine kwani nipo peke yangu?
Hapana! Hauko peke yako. Mbona uko na mbumbumbu wenzako wengi tu. Wengine wanakuunga mkono kwenye huu uzi hapa kwa kujichekesha chekesha, na wengine wanapiga porojo zao kupotia mitandao ya kijamii, vituo vya redio, luninga, nk.

Na wote mnapiga porojo kwa kutegemea hisia zenu, na mihemko.
 
Afadhali umeamua kuwa mkweli. Ukweli humuweka mtu huru.

Huu upuuzi ndiyo unaoifanya Yanga mechi za kimataifa inavunda , inakuwa mlenda mlenda tu.

Wakati wanawafunga simba kwa Kutumia maduka yao hakina chama , Baleke ,Inonga kwakusaidiana na KAYOKO wakajiona wanaoujua Sana mpira .
Matokeo yake huko CAF CL walikuwa ni wa kugawa utamu tu kwa kila rika..
 
Afadhali umeamua kuwa mkweli. Ukweli humuweka mtu huru.

Huu upuuzi ndiyo unaoifanya Yanga mechi za kimataifa inavunda , inakuwa mlenda mlenda tu.

Wakati wanawafunga simba kwa Kutumia maduka yao hakina chama , Baleke ,Inonga kwakusaidiana na KAYOKO wakajiona wanaoujua Sana mpira .
Matokeo yake huko CAF CL walikuwa ni wa kugawa utamu tu kwa kila rika..
Hahaha umenikumbusha song la 20 Percent
"Anagawa kwa kila rika"
🤣🤣
 
Tuambiane tu ukweli. Kwenda kucheza na teams ambazo tayari tumeshazinyong'onyesha kunatuondolea utimamu wa miili na akili tukija pambana na teams za ukweli.
Ndio maana mkienda kimataifa mnaenda kuishia kupata Aibu Tu. Ni ujinga UJINGA Tu mwanzo mwisho
 
Mimi ni shabiki wa Simba. Usimba na Uyanga unaua Moira wetu! Ndio maana Yanga Wanabadilisha makocha na hawana hofu.Huku Simba nako mambo hayo yapo ila kwa sasa kwa medani za nje ya Simba kwa miaka hii 3 Simba tumezidiwa kidogo...
Ndio maana Mwaka huu tumekuja na Ubaya Ubwela!
Ila hawa Waarabu wasipodhibitiwa wataharibu Mpira!
" Hongera sana GSM kw kutupa kichapo tulichostahili...kocha wa KMC! 🤭🤭😁😁
 
Back
Top Bottom