Kwa namna tunavyofanya Yanga, wacha wanifukuze

Kwa namna tunavyofanya Yanga, wacha wanifukuze

Umeongea ukweli mtupu huu ujinga wa kupanga matokeo unalishusha hadhi soka letu na wahuni kama gsm na yanga wanatakiwa washughulikiwe ili waachane na upumbavu huu wa kupanga matokeo.
 
Nilishangaa kocha wa KMC anamshukuru GSM baada ya kufungwa na Yanga.

Au ndio saidia tim ya ufadhiri wetu ishinde.
 
Tufikie hatua tuwe wakweli tu. Hii michezo tunayofanya haijengi team na wala hatujui ubora halisi wa kocha.

Tuambiane tu ukweli. Kwenda kucheza na teams ambazo tayari tumeshazinyong'onyesha kunatuondolea utimamu wa miili na akili tukija pambana na teams za ukweli.

Tumefikia hatua sisi wengine hata tukifunga bao 6 tunaona ni jambo la kawaida kwa teams ambazo tunacheza nazo sababu zinakuja tayari zikiwa zimeshashindwa toka nje haziji kushindana. Hivyo kocha anakosa muda wa kupanga mbinu za ukweli. Sababu hatuna ushindani kwa teams nyingi tunazocheza nazo ukiacha mikia na azam ambao tulivurugana nao.

Haya mambo hayatusaidii, hayaisadii team. Yanailemaza na kuidekeza. Tuacheni kupanga matokeo tena wazi wazi kabisa. Hata mtoto mdogo anaona. Mkisema mimi siyo yanga sijali sababu hata mkisema ni yanga haibadilishi chochote. Ila ukweli nitasema. Niueni nimekaa pale.👉
halafu ndo yule msemaji wetu mwenye utapia mlo utamkuta anawasihi mashabiki kwenda uwanjani kuishabikia team yao, kwa mpira gani sasa? Mechi zimeshachezwa mezani tuje uwanjani kufanya nini
 
Back
Top Bottom