Kwa namna yoyote ile mwanaume usikubali kuishi kwenye nyumba au chumba kinachomilikiwa na mwanamke

Kwa namna yoyote ile mwanaume usikubali kuishi kwenye nyumba au chumba kinachomilikiwa na mwanamke

Habari za muda huu,

Bila shaka hili sio jambo geni hata humu jamvini na linaweza kuonekana kama jambo la kawaida kulingana na wakati husika.

Ni jambo la kawaida kwa macho ya kawaida lakini kwenye masuala ya kuukamilisha uanamume mbele ya mwanamke makazi ni jambo la msingi sana mwanaume kuwa na makazi yake mwenyewe kunaweka tafsiri ya mambo mengi sana chanya dhidi yake bila kujali ubora au Hali ya makazi hayo.

Mwanaume unapokubali kwenda kuishi kwa mwanamke au ukweni kwa mkeo unakuwa umejondoa nusu ya uanamume wako sio tu kwa mkeo bali hata kwa wanao.

Tunatambua kuwa maisha wakati mwingine yanaleta changamoto za hapa na pale lakini ni jitahidi hilo jambo la makazi kulipambania mpaka dakika ya mwisho.

NB; Nimeshuhudia kijana hapa akidhalilishwa kwenye mji wa mkewe waliyezaa nae watoto watano na miaka zaidi ya 15 kwenye ndoa kwa kweli nimejisikia vibaya kama mwanaume.
Hili tunaliongea kila siku kwenye vikao na mwenyekiti anasisitiza:

1. Marufuku mwanaume kuishi kwenye nyumba/chumba cha mwanamke

2. Marufuku mwanaume kujenga karibu na wakwe au kujenga kwenye kiwanja cha mke wako.

3. Ni marufuku mwanaume kufanya au kutekeleza lile ambalo mkeo ametoka nalo kwao. Mwisho kabisa kwenye vikao na hili mwenyekiti amekuwa anasisitiza mno mno, mwanaume hutakiwi kuingia kwenye ndoa ikiwa umefungwa 1-0
 
Sio tu mahala anapoishi mwanamke bali hata vitu vya mwanamke ewe mwanaume ukivitolea macho jiandae kwa lolote.
 
Kwaiyo Baba abduli atoke pale magogoni mkuu au ulikua unamaanisha Nini.....
fala wewe, nimecheeeeekaa! ila nahs hata huwa hakai we mara ya mwisho umemuona lini?
Jamaa hataki kabisa mambo ya kuwa sijui mume wa.............. ah weeee kafeeeeni mbele kule na title zenu za kiwaki!
 
Unalalaje kwa mwanamke?,unaishiji kwenye nyumba aliyojenga mwanamke ama kupanga mwanamke,i do better sleep around bus station lakini sio kuweka mbavu kwa mwanamke,unalala na usingizi unakuja,aiseee litakukuta jambo
 
Back
Top Bottom