Kwa nchi yenye matatizo makubwa ya maji, tunaruhusu vipi swimming pools?

Kwa nchi yenye matatizo makubwa ya maji, tunaruhusu vipi swimming pools?

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
2,428
Reaction score
3,937
Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?

Najua wengine mtanishambulia kwa kuleta usukuma wangu hapa ila kuna mambo inabidi utafakari kwa maslahi ya taifa.

Kama ni jambo linaloonekana si busara kulizuia kabisa, ingewezekana basi kuwacharge 'luxury tax' wamiliki wa madimbwi haya.
 
Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?

Najua wengine mtanishambulia kwa kuleta usukuma wangu hapa ila kuna mambo inabidi utafakari kwa maslahi ya taifa.

Kama ni jambo linaloonekana si busara kulizuia kabisa, ingewezekana basi kuwacharge 'luxury tax' wamiliki wa madimbwi haya.

Duh 🙄
 
Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?

Najua wengine mtanishambulia kwa kuleta usukuma wangu hapa ila kuna mambo inabidi utafakari kwa maslahi ya taifa.

Kama ni jambo linaloonekana si busara kulizuia kabisa, ingewezekana basi kuwacharge 'luxury tax' wamiliki wa madimbwi haya.
Ukosefu wa maji ni uvivu wetu watanzania zaidi ikisababishwa na sera mbovu za maendeleo, uvivu wa kufikiri, uvivu wa kufanya kazi kwa walio aminiwa na kupewa nafasi. Fikiria hata maeneo yenye maji yanayotiririka katika mto usiokauka maji kuna shida ya maji, achilia mbali ardhi iliyojaa maji, yapo maeneo maji yapotele umbali usiozidi MITA 30,hata fikra ya kuchimba visima kwa matumizi ya jamii hakuna. Sasa tumlaumu nani kama SII wenyewe.
 
Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?

Najua wengine mtanishambulia kwa kuleta usukuma wangu hapa ila kuna mambo inabidi utafakari kwa maslahi ya taifa.

Kama ni jambo linaloonekana si busara kulizuia kabisa, ingewezekana basi kuwacharge 'luxury tax' wamiliki wa madimbwi haya.
Duh

Ova
 
Hilo sio tatizo la nchi kama mtu amejenga pool lake na analipia DAWASCO or whatever you may call it ama anachimba maji toka ardhini linakuwaje tatizo la nchi!

Serikali mlioipa dhamana inaweka watu goigoi ndio maana hata management ya vitu vidogo namna hii inakuwa tabu. Utaskia mama katoa billion kadhaa kumpa mtu flani ili ajenge kitu flani ila kutoa billion kadhaa kujenga water repositories kuhifadhi maji huwezi sikia hilo.

Hii katiba iwe ya mwisho na tuandike inginw upya kuna upumbavu mwingi mno kama bureaucracy zisizo na maana na ndio maana Magufuli alikuwa anajiamulia tu kwa mabavu ya uraisi kufanya vitu straightaway as long as anafanya kwa nia njema tu. Maana angeamua wafuate protocol huenda hata Kijazi interchange ingekuwa bado inajadiliwa kwenye vikao mpaka leo.
 
Tanzania hakuna Serikali kwenye mambo ambayo hayahusu power, Serikali utaiona tu kwenye kuzuia maandamano, kumlinda Raisi au sijui kufungia vyombo vya habari na misafara ya raisi basi.

Tanzania unaweza kuanza kujenga nyumba mpaka unamaliza hakuna mtu anakuuliza chochote, hati ya nyumba ni juu yako kama ukitaka.

Na hilo ni eneo moja tu la ujenzi kila mahali ni hivyo Tanzania kuna shule binafsi Serikali hata haijui inafundisha vitu gani watoto, Tanzania unaweza kuamua kufundisha watoto Kihispaniola hakuna mtu atakuuliza kitu.

Sisi ni primitive sana kwa kweli.
 
Mipango mibaya ya serikali ya ccm,nini kinazuia mji wa singida kujenga mabwawa ya kuvuna maji ya mvua?jiji kubwa la cape town linategemea mabwawa ya maji yatakanayo na mvua!jiji kubwa la joberg maji mengi yanatoka pale vaal dam!tuendelee kusubiri meli yetu ya Noah pale KIA.
 
Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?

Najua wengine mtanishambulia kwa kuleta usukuma wangu hapa ila kuna mambo inabidi utafakari kwa maslahi ya taifa.

Kama ni jambo linaloonekana si busara kulizuia kabisa, ingewezekana basi kuwacharge 'luxury tax' wamiliki wa madimbwi haya.
Kwani ziko ngapi kiasi cha wewe kuona zikizuiwa zitaleta tofauti. Na baada ya hapo watu waambiwe kuoga ni mara mbili tu kwa wiki. Na ni shower tuu, hakuna kuoga kwenye bathtub. Na vyoo vya ku flush marufuku, tutumie vya shimo.

Amandla...
 
Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?

Najua wengine mtanishambulia kwa kuleta usukuma wangu hapa ila kuna mambo inabidi utafakari kwa maslahi ya taifa.

Kama ni jambo linaloonekana si busara kulizuia kabisa, ingewezekana basi kuwacharge 'luxury tax' wamiliki wa madimbwi haya.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hilo sio tatizo la nchi kama mtu amejenga pool lake na analipia DAWASCO or whatever you may call it ama anachimba maji toka ardhini linakuwaje tatizo la nchi!

Serikali mlioipa dhamana inaweka watu goigoi ndio maana hata management ya vitu vidogo namna hii inakuwa tabu. Utaskia mama katoa billion kadhaa kumpa mtu flani ili ajenge kitu flani ila kutoa billion kadhaa kujenga water repositories kuhifadhi maji huwezi sikia hilo.

Hii katiba iwe ya mwisho na tuandike inginw upya kuna upumbavu mwingi mno kama bureaucracy zisizo na maana na ndio maana Magufuli alikuwa anajiamulia tu kwa mabavu ya uraisi kufanya vitu straightaway as long as anafanya kwa nia njema tu. Maana angeamua wafuate protocol huenda hata Kijazi interchange ingekuwa bado inajadiliwa kwenye vikao mpaka leo.
Katiba mpya sio kipaumbele kwa Sasa bali tume huru ya uchaguzi"Act wazalendo agenda
 
Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?

Najua wengine mtanishambulia kwa kuleta usukuma wangu hapa ila kuna mambo inabidi utafakari kwa maslahi ya taifa.

Kama ni jambo linaloonekana si busara kulizuia kabisa, ingewezekana basi kuwacharge 'luxury tax' wamiliki wa madimbwi haya.
Yaani wewe njaa zako unataka watu wengine wasile?
 
Back
Top Bottom