Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
ACT na Zuberi Kabwe anategemea apewe uskani wa taifa?Katiba mpya sio kipaumbele kwa Sasa bali tume huru ya uchaguzi"Act wazalendo agenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACT na Zuberi Kabwe anategemea apewe uskani wa taifa?Katiba mpya sio kipaumbele kwa Sasa bali tume huru ya uchaguzi"Act wazalendo agenda
Watu wanawaza miradi itakayo ijaza mifuko Kwa namna mmoja au nyingine.Ndio ushangae Sasa tena maji ya ziwa huwa hayana chumvi na wananchi wanateseka kwa kukosa maji
Aliposema tu msukuma nikajua shida iko wapi! Tatizo ni ushamba na kukosa exposure! Badala aelimishe watu wake kupunguza idadi ya mifugo na kuacha kukata miti ili tusiwe na ukame yeye anakuja na hoja eti kusijengwe swimming pools!Ujamaa ni mfumo wa kijinga Sana kuwahi kutokea hapa Ulimwenguni maana hufanya watu kuwaza mawazo ya kimasikini Sana Kama mleta mada
Vinyonga katika ubora wa Rangi zao.Katiba mpya sio kipaumbele kwa Sasa bali tume huru ya uchaguzi"Act wazalendo agenda
Chama Cha mchongo wanashindwa kuona mfano Zanzibar licha wapo katika serikali lakini wanacho fanyiwa ni aibu tupuACT wana njaa ya siasa
Halafu ukaishi hapo miaka 20 hadi Uongozi wa Mtaa ukapewa.Tanzania hakuna Serikali kwenye mambo ambayo hayahusu power, Serikali utaiona tu kwenye kuzuia maandamano, kumlinda Raisi au sijui kufungia vyombo vya habari na misafara ya raisi basi.
Tanzania unaweza kuanza kujenga nyumba mpaka unamaliza hakuna mtu anakuuliza chochote, hati ya nyumba ni juu yako kama ukitaka.
Na hilo ni eneo moja tu la ujenzi kila mahali ni hivyo Tanzania kuna shule binafsi Serikali hata haijui inafundisha vitu gani watoto, Tanzania unaweza kuamua kufundisha watoto Kihispaniola hakuna mtu atakuuliza kitu.
Sisi ni primitive sana kwa kweli.
YudaACT na Zuberi Kabwe anategemea apewe uskani wa taifa?
Ila mwenyewe alisema atanangwa , na akajitetea anatoka wing ya sgang.Aliposema tu msukuma nikajua shida iko wapi! Tatizo ni ushamba na kukosa exposure! Badala aelimishe watu wake kupunguza idadi ya mifugo na kuacha kukata miti ili tusiwe na ukame yeye anakuja na hoja eti kusijengwe swimming pools!
Ujinga ni kipaji!
Shida ya mtu mjinga hujiona anajua ilihali hajui na ubaya yeye mwenyewe haoni Kama hajuiAliposema tu msukuma nikajua shida iko wapi! Tatizo ni ushamba na kukosa exposure! Badala aelimishe watu wake kupunguza idadi ya mifugo na kuacha kukata miti ili tusiwe na ukame yeye anakuja na hoja eti kusijengwe swimming pools!
Ujinga ni kipaji!
Unazungumzia nchi gani?Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?
Najua wengine mtanishambulia kwa kuleta usukuma wangu hapa ila kuna mambo inabidi utafakari kwa maslahi ya taifa.
Kama ni jambo linaloonekana si busara kulizuia kabisa, ingewezekana basi kuwacharge 'luxury tax' wamiliki wa madimbwi haya.
Kuliko wachukua 5bn kujenga bwawa linaliweza kuhudmia Thousands of Citzen bora watumie hizo pesa kununua mpinzani, kumuwinda Diwani wa chadema na kurudia uchaguzi wa Bn 10.Mipango mibaya ya serikali ya ccm,nini kinazuia mji wa singida kujenga mabwawa ya kuvuna maji ya mvua?jiji kubwa la cape town linategemea mabwawa ya maji yatakanayo na mvua!jiji kubwa la joberg maji mengi yanatoka pale vaal dam!tuendelee kusubiri meli yetu ya Noah pale KIA.
Sweaming!!! Basi sawaKweli wewe ni msukuma toka lini sweaming pool ikasababisha uhaba wa maji?
Nchi yetu imebarikiwa maji mengi sema akili ya kuyatumia hatuna
Ccm kwa ccm mnaparuana😅😅😅Shida ya mtu mjinga hujiona anajua ilihali hajui na ubaya yeye mwenyewe haoni Kama hajui
Tukiyachota sana tutapunguza maji ya kwenda Nile river kuhudumia waliobarikiwa huko.Ndio ushangae Sasa tena maji ya ziwa huwa hayana chumvi na wananchi wanateseka kwa kukosa maji
Utakuta wewe na ni baba/mama na watoto mume/mke wanakutegemea kwenye maisha yao kwa miongozo mbalimbali😢😢😢.Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?
Najua wengine mtanishambulia kwa kuleta usukuma wangu hapa ila kuna mambo inabidi utafakari kwa maslahi ya taifa.
Kama ni jambo linaloonekana si busara kulizuia kabisa, ingewezekana basi kuwacharge 'luxury tax' wamiliki wa madimbwi haya.
Mkuu mimi na chama chakavu wapi na wapi ni mbingu na ardhiCcm kwa ccm mnaparuana[emoji28][emoji28][emoji28]