Kwa wasiojua, siku mbili kabla ya Trump kuingia madarakani ilikuwa itangaze kufikisika au kuongeza ukomo wa ukopaji ifikie dollar trillion 37. Ikabidi wasitishe malipo yote mpaka Trump aingie madarakani afanye uamuzi.
Baada ya Trump kuingia amelazimika kupunguza matumizi ya serikali badala ya kukopa. Na Kila mwaka wanapaswa kupunguza kati ya dollar trillion 1 -2. Ndio wataweza kukaa vizuri.
Sasa njia pekee na haraka funga misaada (USAID) bakisha Ile TU yenye tija na badili mfumo na muundo wa shirika.
Funga program zisizo na maana kama DEI na zinginezo. Jitoe WHO, jitoe program ya mazingira(Paris accord) etc
Kwa Sasa wabasave dollar billion mbili Kila siku.
Hali ni mbaya zaidi Kwa umoja ulaya kwanza wanapaswa kuisadia Ukraine kifedha na kijeshi wakati uchumi wao unapumilia mashine ni Spain peke yake uchumi wake unakuwa Kwa zaidi ya 2%. Wengine wote 0.2% -1.6%.
Trump kawaambia waongeze budget ya ulinzi mpaka 5% ya GDP zao vinginevyo anajitoa.
Ia anaondoa wanajeshi wake 20,000 ulaya(NATO) ulaya ijilinde yenye isitegemee sana US.
Mbaya zaidi Trump anataka kuwekea umoja ulaya vikwazo(25% tariif) Kwa bifhaa zote zinazoingia marekani. Canada na Mexico tayari wamesha tangaziwa kama Chao.
Kwa mazingira haya yote Kwa Sasa ni ngumu kutabiri hali ya Uchumi wa US na hata ulaya.
Manufacturing hub ya Dunia Kwa Sasa ni China, India nae ananyemelea na hao wawili TU wanapopulation ya 40% plus ya watu wote duniani.
Hivyo USA inahitaji kujiunda upya kushindana na maifa hayo na ualaya Kwa ujumla.
Kwetu Africa ni muda Sasa kuunda viwanda vyetu wenyewe Sasa pharmaceuticals, communication gadgets na viwanda vya mahitaji kama nguo, n.k Kwa wakati huu ni muhimu sana. Nje ya hapo tutalipa na kusagia meno.
Baada ya Trump kuingia amelazimika kupunguza matumizi ya serikali badala ya kukopa. Na Kila mwaka wanapaswa kupunguza kati ya dollar trillion 1 -2. Ndio wataweza kukaa vizuri.
Sasa njia pekee na haraka funga misaada (USAID) bakisha Ile TU yenye tija na badili mfumo na muundo wa shirika.
Funga program zisizo na maana kama DEI na zinginezo. Jitoe WHO, jitoe program ya mazingira(Paris accord) etc
Kwa Sasa wabasave dollar billion mbili Kila siku.
Hali ni mbaya zaidi Kwa umoja ulaya kwanza wanapaswa kuisadia Ukraine kifedha na kijeshi wakati uchumi wao unapumilia mashine ni Spain peke yake uchumi wake unakuwa Kwa zaidi ya 2%. Wengine wote 0.2% -1.6%.
Trump kawaambia waongeze budget ya ulinzi mpaka 5% ya GDP zao vinginevyo anajitoa.
Ia anaondoa wanajeshi wake 20,000 ulaya(NATO) ulaya ijilinde yenye isitegemee sana US.
Mbaya zaidi Trump anataka kuwekea umoja ulaya vikwazo(25% tariif) Kwa bifhaa zote zinazoingia marekani. Canada na Mexico tayari wamesha tangaziwa kama Chao.
Kwa mazingira haya yote Kwa Sasa ni ngumu kutabiri hali ya Uchumi wa US na hata ulaya.
Manufacturing hub ya Dunia Kwa Sasa ni China, India nae ananyemelea na hao wawili TU wanapopulation ya 40% plus ya watu wote duniani.
Hivyo USA inahitaji kujiunda upya kushindana na maifa hayo na ualaya Kwa ujumla.
Kwetu Africa ni muda Sasa kuunda viwanda vyetu wenyewe Sasa pharmaceuticals, communication gadgets na viwanda vya mahitaji kama nguo, n.k Kwa wakati huu ni muhimu sana. Nje ya hapo tutalipa na kusagia meno.