Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Punde atavuliwa ubingwaKwahy umeona swala la pesa n gumu hvy umehamia kwenye u-handsome 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punde atavuliwa ubingwaKwahy umeona swala la pesa n gumu hvy umehamia kwenye u-handsome 😂
Si siku nyingi utataka kuongeza hips na Kalio,then after utataka kufanywa kama wao, vijana wa hovyo hawawezi isha mjini as tamaa zinzwawaka moyoni!!Inasikitisha sana taifa kuwa na aina hii ya vijana
Ni sahihi mkuuSi siku nyingi utataka kuongeza hips na Kalio,then after utataka kufanywa kama wao, vijana wa hovyo hawawezi isha mjini as tamaa zinzwawaka moyoni!!
Kila mtu analengo oake la maishaUnatafuta pesa kwa ajili ya wanawake na pombe, wenzako wanatafuta pesa kwa ajili ya financial freedom.
Wewe ni pombe na wanawake, trust me ukiwa mpenzi wa hivyo vitu huwezi fika popote maana kila ukipata kiasi fulani cha pesa zitakuwa zinaishia huko.
You are just born to loose, born to loose!
Born to looseKila mtu analengo oake la maisha
Shababi wapi wewe una element za upinde utaanza kupakuliwa muda si mrefuAcheni mawazo ya ajabu. Mi ni shabab hasa.
Futa neno lako la kwanzaMalaya anapotaka kuji brandi shida sana 🤣🤣🤣🤣Mm nikajua umepata hasira ya kutafuta pesa kwa ajiri ya maisha yako ww unataka urudi tena ukawakomeshe watu .Jitafute ukijipata achana na umalaya tafuta pisi moja kali weka ndani ikuzalie kizazi chako kula raha na familia yako...Ukishindana na mbususu uzee waja utakua miongoni mwa wazee wa hovyo yana huna mbele wala nyuma.
Nafuu ya pombe, ukijiingiza kwa wanawake hapo umaskini na wewe mtakuwa nduguUnatafuta pesa kwa ajili ya wanawake na pombe, wenzako wanatafuta pesa kwa ajili ya financial freedom.
Wewe ni pombe na wanawake, trust me ukiwa mpenzi wa hivyo vitu huwezi fika popote maana kila ukipata kiasi fulani cha pesa zitakuwa zinaishia huko.
You are just born to loose, born to loose!
Sema hili jiji la chalamila Lina watoto wazuri aiseeVile unajipanga ukirudi tu unakuta mabinti wazuri wote wamehama
😂😂Sanaaaaa aiseeSema hili jiji la chalamila Lina watoto wazuri aisee
Mda mwngn mpaka nawaogopa aisee😂😂Sanaaaaa aisee