Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

Yanga hii ambayo kwa IHEFU inautafuta kwa tochi?
 
🗣 Waambie babaaah!
 
Hiyo Augsburg na Sevila iliyocheza na Simba ipi bora? isitoshe Wajerumani wamechezesha wachezaji wawili tu wanaoanzaga kikosi cha kwanza wakati Sevila walipocheza na Simba walichezesha kikosi cha kwanza. Pia kipindi cha pili Augsburg walibadili kikosi chote na kuingiza vijana
 
Na Sevila silimulipigwa 5 ama munadhani habali zenu hatuna?
 
Na Sevila silimulipigwa 5 ama munadhani habali zenu hatuna?
Tulupigwa 5-4 hadi half time tulikuwabtunaongoza 3-1 ,tulivyowatoa mastaa Sevilla wakatufunga, nyie kipindi cha kwanza mmefungwa na wachezaji wa kikosi B, half time wakaingiza kikosi C halafu mnafurahi utadhani mmeshinda. Kumbuka Sevilla ni bingwa wa zamani wa UEFA wakati hiyo Augsburg hata top 10 haijawahi kuingia kwa zaidi ya miaka 10
 
Nahisi mtawekewa katika mfumo wa surprise, hadi siku ya Simba day ndio mtaiona mechi ya timu yenu kwenye luninga.
Kwanini kwenye luninga mdau?
Tarehe 03.08.2024
Nitakuwa uwanjani mapema sana
 
Yani mfungwe halafu mzugie tarehe 8?Vyura mna viroja sana.Wengine hayawahusu kufungwa kwenu.Kazeni mshipi.
 
Kumbe ulikuwa unaangalia matokeo, wenzako wamekuzidi mengi, mechi za maandalizi ya msimu mpya ni zaidi ya kuangalia matokeo, Mamelodi kacheza mechi 3 za kirafiki na kapoteza zote kwa maana iyo ni timu mbovu?
🤔🤔🤔🤔
 
Ahmed anawajaza tu. Msijitumainishe sana kwa timu iliyoacha wachezaji 17 na kusajili wengine 17. Hiyo sio project ya mwaka mmoja kama Ahamed anavyowadanganya.
Na ndicho kitakachowagharimu, viongozi wao wanashindwa kuwaambia ukweli juu ya faida na hasara ya ujenzi wa timu mpya, wanajua kabisa mashabiki wa timu yao walio wengi icho kitu awakijui wao wanachoaminishwa ndio icho wanataka kitokee na kisipotokea mangungu anayo kazi ya ziada kwa mara nyingine, duniani akuna mpira wa ivyo wa kuacha wachezaji 17 na ukaclick kwa haraka kupata muunganiko na kupambania Mataji ni uongo
 
Hayo maombi ya kuelekeza kwa Simba Bora tuelekeze kwa Azam ila Simba hata viongozi wanajua msimu huu utakuwa Moja ya misimu mibaya kabisa kuwahi kuwa nayo
Wachezaji wengi watacheza derby kwa mara ya kwanza hata hawajui atmosphere ya hiyo derby ikoje ni kama Gamondi alivyofungwa kule Tanga ngao ya hisani ye akadhani ni kawaida kupoteza hadi alipoona sura za mashabiki ndio akajua derby ni Nini
Wa kuhofia ni Azam
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…