Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Mbona wamechagua mngoni wa songea?
Niko Mbeya, Mara mia achaguliwe Wa kuja. Kuliko kupewa mmama Mbeya, nakueleza ukweli, hats Mimi natamani Sugu apumzike awapishe wengine lakini sio kwa kumpitisha Tulia.Uliza wana Mbeya wengine hawamuungi mkono hata wanaccm waliowengi.Watu wanatafuna pesa kupitia kale Katrust kake kaliko Uyole.
 
Mmama mmbeya ana tatizo gani?
 
Tulikupenda sugu ila mungu ametupenda zaidi kutupa tulia ackisoni. Mungu akuweke sugu pema kwenye kufoka kwenye hoteli yako.
Haahaa, madanganyeni Magu, juzi baadhi ya wanaccm Kule maeneo ya Sai wanasema inabidi chama kifanye utafiti ili kumshinda sugu nani agombee, hawamwamini Tulia.
 
Fanya uchunguzi wako sasa, nimekupa Tips. Nyie mnadanganywa Na vigelegele anavyopigiwa wakati anagawa rushwa kupitia Tulia trust iliyopo Uyole.
Kumbe huna jibu.
Tulia ndio mbunge wa mbeya mjini 2020-2025. Weka hii kama kumbumbu, akipita sugu nitakupa hela ya mtaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…