Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Yeye hafanyi kampeni Wananchi wanamwomba agombee na pia Wananchi walimuomba asaidie yeye hakujipeleka

Sent using Jamii Forums mobile app

Muhimu mshagara wake haulinfani na tunayoyaona. Tulitarajia mtumishi wa serikali alete mawazo mbadala na sio pesa.

Waitara generous mwengine wa ccm alijatibu hicho anachokifanya huyo msichana na kaonywa. Sasa huyo msichana yuko juu ya sheria?!?!?!

Wanambeya wanaotaka sabuni, khanga karne hii inabidi tujiulize Mara mbili, mbili
 
Ndiyo maana ya uchaguzi Kuna kushinda na kushindwa.So haina haja ya kujitoa.Waache waingie ulingoni

 
Dr Tulia hajapelekwa alifuatwa na wana mbeya kuombwa

Amesaidia wana mbeya, ila mbunge wao hataki kuwasaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…