Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
umeambiwa anagombea jimbo la Heche?Waitara anaenda kumuadabisha heche musoma
Safari hii Sijui mtatokea wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
umeambiwa anagombea jimbo la Heche?
badala ushabikie maendeleo unashabikia fulani kumwadabisha fulani, utagongewa mke huku unapiga makofi kwa makalio,
Kwa Buhari nzuri au mbaya. Wanaolumbana humu jf sii watu wa mbeya. Ni wachagga na wakurya na wanyaturu kidogo... tutaona November
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia atakula Knock Out kabla ya saa 4 asubuhi, kiufupi kwenye siasa za Mbeya Mjini hakuna anachomshinda Sugu kama kipo hapa kiseme.
achague kurudi kuithaminisha game au asimamie hotel! Sugu moto chini!! aha aha aha! hana maajabu ni mhuni tu sijui machizi wake wa mbeya walimchaguaje!
Kwani ubunge ni kazi ama ajira?
Sssa madhara ya kutumia dola kuingia madarakani ndio tunayaona likitokea tatizo la kiteknikali au la kitabibu kulitatua inakuwa shida kwa viongozi wetu sababu most of them victory zao nyingi walizipata kwa kutumia dola, hapo umeongea na kinachoboa wanatumia pesa mingi na nguvu mingi kurudi madarakan, haya umerudi fanya basi yanayotakiwa kufanywa wananchi wako waone impact hufanyi na kwakuwa unajua next time utatumia nguvu tena utarudi ndio mana hawajali hata kidogo. Corona imekuja kuwaumbua wakubwa na inawakumbusha kuinvest kwenye sehemu za muhimu sio kwenye kununua wabunge na madiwani.
Kwani ubunge ni kazi ama ajira?
wakurya wa lumumba mnakwama wapi?
Heche ana haki milki ya jimbo lolote? hii lugha ya flani akatafute kazi nyingine mmeita wapi? poor your m
Mkuu, jee umefika na kukaa Mbeya au unapata taarifa za kila siku? Kwa miezi mitatu hivi hali ni mbaya ?. Tuondoe ushabiki tukakosa kiti, Mbunge wangu Sugu muda umefika jitokeze kwa nguvu ili urudishe nuru ambayo umekuwa nayo Mbeya kwa muda mrefu. Huyu dada ni mwiba ukiudharau utakuchoma. Binti anakimbia kwa hatua ndefu na kwa kasi.
Kumbe rushwa ktk uchaguzi ni mini. Na kwanini wengine hawaruhusiwi kupita kwa wananchi kugawa sabuni, khanga fulana tena wengine ni walewale
Kwa kutumia mtindo wa WIZI WA KURA kupitia TUME ISIYO HURU wanaweza kumnyang'anya Mhe. Joseph Mbilinyi(Sugu)asubuhi mapema! Lakini kama ni Uchaguzi Huru na Haki chini ya Tume Huru Mama Asiye Tulia Akisonya hataona ndani.......!!!!
Kumbe bia ndo inaongea ? Sipotezi mda kukoment
Hivi Kuna watu wenye matusi nji hi zaidi ya Mafisccm?
Msomi akafundishe chuo kikuu.
Handsome Waitara ni Tapeli wa kisasa na hana huruma na wapiga kura.
Kishafoka na anaingiza hela kwa hilo, sema lingine
Ivi wewe hata shule itakuwa tatizo kwako , me nimekwambia ni chadema ? wewe simu yako ya tecno w3 inakusumbua kweli aiseeChadema Ndio walitaka walete Vurugu baada ya kushindwa Uchaguzi
Mtafinywa sana tu mkileta kiherehere
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka yakwamba unatumiwa baadae unaachwa
Stupid politics