Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Tulia ni mtu hatari sana , wapiga kura wamejifunza toka kwa viongozi wa sasa, walionunuliwa wote hamna kitu walichofanya
 
Eti moyo wa kutoa yaani mswahili asaidie tu bure,anasaidia au anawekeza.Aanze kusaidia ndugu zake ukoo wake Kama ana Upendo huo wa Yesu
 
Mama Tarumbeta
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo kaka Nadhani hata Wewe unajua Sugu amechokwa Mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama unajuea siasa za Mbeya utajua CCM wana matatizo mawili

1. CCM yenyewe
2. Sugu

Hilo la kwanza hamuwezi kutatua kwa kuletewa mtu kutoka Dar. Ndio maana nakwambia uchaguzi ukiwa wa haki, huyu mama hatoboi. Lakini mambo mliyoyafanya kwenye serikali za mitaa tumeyaona, labda mrudie yale mambo.
 
Ccm ya sasa ni ya kisayansi kijana wait and see
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…