ndiyo nakwambia hivi, muacheni Mkurugenzi wa uchaguzi - ana familia kama nyie.Tulia Kamanda tukutane October 2020 uone kura za Ccm zitakavyomwagika
Mkurugenzi hatishiki na maneno ya mtandaoni
Unataka Sugu akishindwa atangazwe tu?
Chadema mna nini[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
mtoa post ulishawahi tembelea jimbo la Kongwa la mh Ndungai?
ukitembelea ndo uje tena hapa
endelea kunywa bia yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ati wanaikemea corona ishindwe. Mungu huwa hajaribiwi timiza wajibu wako kwanza ha ha haJilinde na corona kwanza
Aliyekutuma uje kuandika uzi wako wa hovyo kama huu, anakuzalilisha yeye Tulia kafanya kampeni miaka 5 Sugu kafungwa kazuiwa kufanya siasa Mbeya, hafu nakuambia tu bila Wizi Mnyaki hashindi Mbeya jiji huyo mama anapoyeza pesa zakeKila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana mbeya
Amewezesha sacos nyingi sana Karibu kila kata ya mbeya, hizo sacos kwa kiasi kikubwa zimewezesha Wananchi kujikimu na mahitaji ya kila
Mama moja katika soko la mwanjelwa aliyejitambulisha Kama Mama tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya Wananchi wa mbeya
Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na Viongozi Wengine wa kisiasa waliopo mbeya
Vijana Wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu spika amefanya maajabu makubwa Tanzania
My take : Mh Sugu ili kuepusha Aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wanambeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boks la kura.
Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufoka foka tu huku kwenye Siasa wanambeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa mbeya
Tuipende Tanzania
Naona bado haujawaelewa wanasiasa wa Tz,, Ngoja wampitishie huone izo huduma zitaishia wap? Uwa wanapenda kutoa huduma ili waonekane wema mwishowe wanakimbiaKila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana mbeya
Amewezesha sacos nyingi sana Karibu kila kata ya mbeya, hizo sacos kwa kiasi kikubwa zimewezesha Wananchi kujikimu na mahitaji ya kila
Mama moja katika soko la mwanjelwa aliyejitambulisha Kama Mama tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya Wananchi wa mbeya
Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na Viongozi Wengine wa kisiasa waliopo mbeya
Vijana Wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu spika amefanya maajabu makubwa Tanzania
My take : Mh Sugu ili kuepusha Aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wanambeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boks la kura.
Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufoka foka tu huku kwenye Siasa wanambeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa mbeya
Tuipende Tanzania
Hahahaha sisi ndo wapiga kura jamaa ee jiliwaze tu hapa na marushwa yenu,ivi unajua mambo makubwa ya kiutu aliyotufanyia sugu ww.hahaha umenichekesha sana asee na tathimini yako, mwnye akil maiti tuu kama ww ndo atakuelewa
Wakati wenyewe wame Ji lock downati wanaikemea corona ishindwe........Mungu huwa hajaribiwi timiza wajibu wako kwanza ha ha ha
count down ni 21 days from now...ili kuokotane maiti mjini....
CCM wamemwigiza chaka, wangemshauri aje kugombea walau Kigamboni ili atoke mrisi.
Hata kwa CCM Tulia Ackson hawezi kutoboa. Bado CCM hawajapitisha mgombea, Tulia yeye anaonyesha silaha zake zote kuwa ataoitishwa na CCM. ANAJIDANGANYA.
Mbeya tunarud nyumbani kuliponoga
Sugu ajikite kuendesha hoteli yake ya Desderia, ubunge asahau, ameshindwa kusimamia mpaka soko la mwanjelwa, sugu tumemchoka
Kuku mgeni na kamba mguuni
Mamaaa! Kiongozi I've been there once na sijawahi kutaka kurudi hivi kile ni kijiji au ni nini?😝mtoa post ulishawahi tembelea jimbo la Kongwa la mh Ndungai?
ukitembelea ndo uje tena hapa
endelea kunywa bia yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mpiga kura wa Mbeya,Arusha,Kawe,Hai na Kigoma pia!Kila mahala upo!Acheni propaganda za kitoto,hazitawasaidia period!Sugu ajikite kuendesha hoteli yake ya Desderia, ubunge asahau, ameshindwa kusimamia mpaka soko la mwanjelwa, sugu tumemchoka