Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Jilinde na corona kwanza
Ati wanaikemea corona ishindwe. Mungu huwa hajaribiwi timiza wajibu wako kwanza ha ha ha

count down ni 21 days from now, ili kuokotane maiti mjini.
 
Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana mbeya

Amewezesha sacos nyingi sana Karibu kila kata ya mbeya, hizo sacos kwa kiasi kikubwa zimewezesha Wananchi kujikimu na mahitaji ya kila

Mama moja katika soko la mwanjelwa aliyejitambulisha Kama Mama tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya Wananchi wa mbeya

Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na Viongozi Wengine wa kisiasa waliopo mbeya

Vijana Wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu spika amefanya maajabu makubwa Tanzania

My take : Mh Sugu ili kuepusha Aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wanambeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boks la kura.

Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufoka foka tu huku kwenye Siasa wanambeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa mbeya

Tuipende Tanzania
Aliyekutuma uje kuandika uzi wako wa hovyo kama huu, anakuzalilisha yeye Tulia kafanya kampeni miaka 5 Sugu kafungwa kazuiwa kufanya siasa Mbeya, hafu nakuambia tu bila Wizi Mnyaki hashindi Mbeya jiji huyo mama anapoyeza pesa zake
 
Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana mbeya

Amewezesha sacos nyingi sana Karibu kila kata ya mbeya, hizo sacos kwa kiasi kikubwa zimewezesha Wananchi kujikimu na mahitaji ya kila

Mama moja katika soko la mwanjelwa aliyejitambulisha Kama Mama tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya Wananchi wa mbeya

Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na Viongozi Wengine wa kisiasa waliopo mbeya

Vijana Wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu spika amefanya maajabu makubwa Tanzania

My take : Mh Sugu ili kuepusha Aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wanambeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boks la kura.

Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufoka foka tu huku kwenye Siasa wanambeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa mbeya

Tuipende Tanzania
Naona bado haujawaelewa wanasiasa wa Tz,, Ngoja wampitishie huone izo huduma zitaishia wap? Uwa wanapenda kutoa huduma ili waonekane wema mwishowe wanakimbia
 
Mbona unaandika huku ukiwa umepandwa jazba Mkuu

Hiyo Ndio Siasa, mambo yamebadilika, Sugu amechokwa
Hahahaha sisi ndo wapiga kura jamaa ee jiliwaze tu hapa na marushwa yenu,ivi unajua mambo makubwa ya kiutu aliyotufanyia sugu ww.hahaha umenichekesha sana asee na tathimini yako, mwnye akil maiti tuu kama ww ndo atakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ati wanaikemea corona ishindwe........Mungu huwa hajaribiwi timiza wajibu wako kwanza ha ha ha

count down ni 21 days from now...ili kuokotane maiti mjini....
Wakati wenyewe wame Ji lock down
 
Huyu mama anautaka ubunge kwa hali na mali na alishaanza kampeni mapema sana si chama chake wanaomkemea wala tume ya uchaguzi. Wana Mbeya pokeeni tu hivyo anavyovitoa kwenye sanduku la kura mmuoneshe nie ni kina nani
 
Bia Yetu
JF-Expert Member

Joined Apr 14, 2020
rep.png
247
point.png
250

KARIBU JF.
Kuku mgeni na kamba mguuni
 
Back
Top Bottom