Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Kweli Mkuu hawa Chadema wametudanganya sana

Tuwapige chini mwaka huu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama anasaidiwa na boss kwa nn mpinzani asionekane si lolote maana yy ni kupinga ata pesa ikitolewa jimboni kwake inaletwa na mtoto wa mteule.

Weka akilini tu sanduku la kura ndo kipenga cha mwisho sio ww apo
 
Tulia anaombwa na wana mbeya kugombea

Kwaheri sugu
Unakumbuka uwa wanasema kibaya cha jiuza na kizuri Cha tembeza,,,toa msaada nenda zako husingoje shukrani. Mnasaidia watu ili ubunge,,Kuna jamaa alisaidia ivyoivyo then akakosa ubunge mbona alienda kudai Mali zake,,,kutoa ni moyo na sio matangazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…