Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona Mbeya Town, Sugu nakuomba urudi kwenye muziki wa kufoka foka, Dr. Tulia atakulaza asubuhi sana

Sanduku la kura ndio litaamua sio wewe mleta uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sugu ni farasi tu wala hawezi kushindana na yule dada,tatizo la chadema wanadhani wananchi hawana akili,walio wengi hata hawapendi ule uongeaji wa wanasiasa wa chadema,kufokafoka tu kusiko na maana,hasira za kipuuzi,kashifa hata pale ambao serikali imetenda vyema yenyewe ni kelele tu..na hao wananchi wengi ninao wasema wala hajui twitter na jamii forum ndo mdudu gani
 
Kila kona ya jiji wanaimba jina la Dr Tulia Ackson, wanasema huyu mama amejitolea kuwahudumia wana Mbeya

Amewezesha sacsos nyingi sana karibu kila kata ya Mbeya, hizo saccos kwa kiasi kikubwa zimewezesha wananchi kujikimu na mahitaji ya kila siku.

Mama moja katika soko la Mwanjelwa aliyejitambulisha kama Mama Tarumbeta anasema, Huyu binti Tulia ana miaka michache tu tena aingie kwenye siasa ila amekuwa ni chachu kubwa kwa maendeleo ya wananchi wa Mbeya.

Anaendelea kusema, anasaidia sio kwamba ni tajiri ila ana moyo wa kutoa tofauti na viongozi wengine wa kisiasa waliopo Mbeya.

Vijana wengi wamehamishia matumaini kwa huyu dada ambaye toka awe Naibu Spika amefanya maajabu makubwa Tanzania.

My take: Mh Sugu ili kuepusha aibu ya mwaka tunaomba ustaafu ubunge kwa heshima, wana Mbeya wanakufanyia mazoezi ya kukuchinja kwenye boksi la kura.

Huu muda ungerudia kwenye muziki wa kufokafoka tu, huku kwenye Siasa wana Mbeya wamepata mwanamama ngangari anayeenda kuleta mapinduzi katika mkoa wa Mbeya.

Tuipende Tanzania
mbona mbeya uchaguzi umeisha dada kalegea mpaka kanyang'Anya bajaji sema kweli ili mwenzio apate rescued hali ni mbaya
 
Aliyekutuma uje kuandika uzi wako wa hovyo kama huu, anakuzalilisha yeye Tulia kafanya kampeni miaka 5 Sugu kafungwa kazuiwa kufanya siasa Mbeya, hafu nakuambia tu bila Wizi Mnyaki hashindi Mbeya jiji huyo mama anapoyeza pesa zake
Hivi mtu aliyefungwa hua mnamjua vizuri au mnatapikaga tu kwa vile mna cha kusema?mnajua kufungwa nyie?

Nyambafu kabisa subiri ukija kufungwa baada ya miaka ukitoka ndo utajua kufungwa ni nini
 
Hivi mtu aliyefungwa hua mnamjua vizuri au mnatapikaga tu kwa vile mna cha kusema?mnajua kufungwa nyie?

Nyambafu kabisa subiri ukija kufungwa baada ya miaka ukitoka ndo utajua kufungwa ni nini
Acha upunguani wa akili!!
 
Sugu analitambua Hilo ndo maana kaimarisha Hotel Yake badala ya maslahi ya Wapiga kura.
 
Back
Top Bottom