Uchaguzi 2020 Kwa nilichokiona na kukisikia leo katika Misafara ya Gwajima na Mdee Kawe huenda Mshindi akatangazwa angani na Mtangazaji akatokomea Kusikojulikana

Mkuu GENTAMYCINE umetupa yale uliyoyasikia tupe na mtazamo wako ukoje?

Hivi sijui kwa nini Mch anahangaika kuwa Mbunge wakati jukumu hilo tu la uchungaji ni shughuli pevu?

Mtazamo wangu Mimi kwa huku Kawe nipo 'Neutral' kwani 'Hasira' zangu zote nimezimalizia Kigamboni kwa Mtu 'nisiyempenda' na amekosa kweli.
 
Ni aibu kuwakilishwa na mtu kilaza kama Gwajima anayetegemea story za YouTube kuendeshea maisha yake
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ unaandika hivyo ili kujisafisha, Mdee amepoteza ajira yake ya Ubunge.
Stay tuned
 
Kuna watu hapa jukwaani mtu unatamani kuwafahamu in person! GENTAMICINE, hupindishagi, unaandika unachoamini, unamshinda kwa mbali pasco na John Baptist ambao, asilimia 99 ni full mapambio tu, 1% wakilewa wanakosoa chama chao!
Pili ambayo siyo muhimu sana kwa hapa, asante sana Wewe na kamati yako ya roho mbaya kule inakoendaga pantoni!
 
Mtajitekenya sana this time.

Jimbo la Kawe linarudi CCM
Thubutu.
Mimi mpiga kura wa Kawe. Gwajj boy hapiti. Wanaccm wengi nilionao kwenye makundi ya whatsapp hawatamchagua kwa sababu kubwa mbili. Moja ni kumkashifu Kadinali Pengo. La pili ni kuwakashifu Waislamu.
Lipo hili pia la ile video ya ngono, japo halisemwi sana.
 

Kuwa Kwangu mwana CCM ( Shabiki Lia Lia ) hakunizuii Mimi ama Kuwakosoa au Kuwapongeza CCM kwani sina pia Msamiati wa Unafiki na Uwoga.
 
Umeona uandike mawazo yako kisha useme umeyasikia kwa watu.πŸ˜‚πŸ˜€
 
Umeona uandike mawazo yako kisha useme umeyasikia kwa watu.πŸ˜‚πŸ˜€

Je, na Wewe JamiiForums imekuzuia Kutuandikia Fikra zako tena zilizo tofauti kabisa na hizi zangu zikiwa ni za 'Kumfagilia' Gwajima wako Uridhike?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…