Kwa nilichokiona usiku huu kwa huyu mwanamke, naahirisha rasmi ndoa yangu ya Disemba 2015

Fanya maamuzi magumu,usisitishe ndoa yako kwa sababu ya kasoro za mtu mwingine.Utakuwa hujamtendea haki mtarajiwa wako,kwa jinsi nilivyokuelewa labda huyu wako nae anaelement kama hizo ndio maana umefanya comparison,sikia mkuu wako ni wako na wa mwenzako sio wako.....fanya yako usifuate ya watu huto fanikiwa ukiacha mambo yako sababu ya watu wengine.....jinsi unavyoishinae wew mwenyewe utajua nini kinaendelea kati yako na mwenzako kwani za mwizi ni arobaini bado hazijafika sabini na umsamehe saba mara sabini.Karibu kwenye ndoa kuna raha yake na karaha zake.Mwanaume lazima ujiamini,akizingu piga chini owa mwingine usisahau mwanamke/mwanaume mjinga ataivunja ndoa yake kwa mkono wake mwenyewe
 

kuwa muongo inabid uwe smart sana.
 

Ovyooooo
 
yani hufungi ndoa kisa jirani............unasema tu wew
 

Umemaliza.

Director: Mussa Banzi. Tehe
 
Huyo mwamaume unayemuonea huruma kwani yeye saint? Si nae ana mke amemuacha kwake, na juu anajitakia kwa kuringa kwenda bagamoyo

Ndio akome sababu yake sio ya huyo binti, na wewe umekuja kumchoresha mwenzako na kwa kusema dirisha kako basi kama msomaji humu atakujua kabisa wewe nani.

Natumaini umepindisha story maana hadi kutaja sehemu ya kazi na kabila mmmmhhh

Umeenda mbali, wewe una yako labda kwa mimi naona unampenda huyo binti na sio mambo ya mzee kuchezewa wakati wewe unayetaka kuoa unabidi uaifate tabia yake ya kuchepuka nawe usiwe hivyo ukioa.

Haya maamuzi ni yako ila unaweza kua unakimbia mk.ojo na kuja kukanyaga ma.vi kama ukimuacha uliyepewa na Mungu sasa hivi. Sababu hauna kisingizio cha eti kukusapoti uamuzi wako mie navyoona.
 
Mi nimemkubali mzee wa intelijensia kwa kuweza kujua mdada aliwasha simu na kumwambia jamaa waonane kesho.... demu akiwa kwake.... zee la itifaki lina macho na masikio yaliyotukuka.

Jamaa yuko kitengo Customer Care...Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…