Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Watoto wa afu mbili mnaojishaua kuwapa hovyo hao wanaume tena mpk waume za watu naona ujumbe mmeusoma vzr hapa..utateseka na mtoto wako mwenyewe..jitulize upate mtu wa uhakika wa kuishi nae..au la zaa jipange kulea mwenyewe...
 
Watoto wa afu mbili mnaojishaua kuwapa hovyo hao wanaume tena mpk waume za watu naona ujumbe mmeusoma vzr hapa..utateseka na mtoto wako mwenyewe..jitulize upate mtu wa uhakika wa kuishi nae..au la zaa jipange kulea mwenyewe...
Afadhali umejielekeza kwenye positive na ushauri kwa wanawake watulie Tu , ukishazaa 80% wanaume wanaona wewe ni looser
 
Ni huko kwenu na hapa jf
Mabint wa mamaang Mkubwa mmoja alipata mimba akiwa 4m 4 akazaa na bahat mbaya alipata mimba ya kijana mwanafunz mwenzie na ameolewa mwanae akiwa na mwaka tu na Wana ndoa ya miak 5 na mumew na watoto wengine wawil wanapendana balaa


Mwingine aliolewa akazaa akaachika now kaolewa na mwanaume Hana mtoto na hajamzalia bado na wanapendana mfano hakuna
Nyie mateeegers ndio mnaongea hayo ila wanaume kamili wanaoa safi tu alafu wanazaa nao pia pole sana
Hawao wanaume wanatudhalilisha sie wanaume wa ukweli
 
Yaani nimeopoa Dem mkali kuja kushtukia ana watoto wawili halafu ni 24 tu ukimuangalia ni msafi ukimuacha ndani unakuta mazingira safi chakula kizuri na kana heshima ila ukimuacha tu inabidi umuachie hela ya matumizi ya ndani halafu atakwambia naomba hela nitume nyumbani wanangu wale yaani watoto wanamtegemea ukimuuliza baba yao yupo wapi, anakwambia kashaoa Hivyo hausiki na malezi ya watoto

Yaani nitoke niache 10,000 ,12000 mezani halafu nitoe tena 7000 atume kwao nikaona hapa sio pa kuweka kambi nikamwambia tu nna ugeni wa ndugu zangu hivyo aende kwao wakiondoka atarudi

Ingekuwa wewe ungekaa nimetimua mbio yeye mwenyewe haamini. Kataa single mother kwa usalama wako
Shida sio mwananke mwenye mtoto...

Shida ni umasikini.......

Ukipiga hesabu ya 7,000 u aona utafute single girl......
 
Single mothers wana shida sana kwenye hii Dunia.

Wanaowapa mimba wanawakataa halafu bado lawama zinarudi kwa single mothers tena.

Wanawake wenye watoto popote mlipo nawatakia mafanikio kwenye pilika pilika zenu na utaftaji wenu.
Yaani unawatakia mafa ikio katika pirika pirrika zao na utafutaji ukimaanisha waendelee kutunasa sie wanaume?
 
Yaani nimeopoa Dem mkali kuja kushtukia ana watoto wawili halafu ni 24 tu ukimuangalia ni msafi ukimuacha ndani unakuta mazingira safi chakula kizuri na kana heshima ila ukimuacha tu inabidi umuachie hela ya matumizi ya ndani halafu atakwambia naomba hela nitume nyumbani wanangu wale yaani watoto wanamtegemea ukimuuliza baba yao yupo wapi, anakwambia kashaoa Hivyo hausiki na malezi ya watoto

Yaani nitoke niache 10,000 ,12000 mezani halafu nitoe tena 7000 atume kwao nikaona hapa sio pa kuweka kambi nikamwambia tu nna ugeni wa ndugu zangu hivyo aende kwao wakiondoka atarudi

Ingekuwa wewe ungekaa nimetimua mbio yeye mwenyewe haamini. Kataa single mother kwa usalama wako
uzoefu unaniambia ukiona malalamiko kama haya mara nyingi huyo mwanamke ndo shida hajasimama ktk nafasi yake, hatimizi majukumu yake sawsaw, bado hajitambui amepwaya
 
acheni kujidai, maana maisha hayana fomula hakuna cha ushauri mzuri wala nini,lolote laweza tokea katika maisha
kuna dada mmoja jiran,kaolewa na kijana mwenzanke baada ya mwaka kapata mtoto,mtoto akiwa na mwaka na nusu mwanaume kafariki kamuacha na mimba ya mwezi tumboni, muda huo huyo binti ana miaka 24 tu.
Mbona unaleta mambo ya wajane hapa? Tulikubaliana kuoa wajane ili mradi tu uwe umejiridhisha..hapa tunazungumzia madungaembe ambayo yamechanua miguu kwa starehe zao na wanaume wa ndoto baada ya kuachwa unataka waonewe huruma?
 
Sitaki kuhukumu,
lakini kuna mmoja hapa jirani.
Matunzo na vyakula kutoka kwa baba watoto wake (3) hataki, hapokei na ana mwaga chakula.
Pesa za kutonza hao watoto anapata kutoka kwa waume za wenzie kwa kuwahudumia unyumba!
Hapo anamkomoa Mazazi mwenzie!
Ibada na mikesha ya mwamposa na mwingira hakosagi
 
Single mothers wana shida sana kwenye hii Dunia.

Wanaowapa mimba wanawakataa halafu bado lawama zinarudi kwa single mothers tena.

Wanawake wenye watoto popote mlipo nawatakia mafanikio kwenye pilika pilika zenu na utaftaji wenu.
Bora wewe....umemtaja sister angu..
Thanks alot🙏🙏
 
Back
Top Bottom