Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Watoto wa afu mbili mnaojishaua kuwapa hovyo hao wanaume tena mpk waume za watu naona ujumbe mmeusoma vzr hapa..utateseka na mtoto wako mwenyewe..jitulize upate mtu wa uhakika wa kuishi nae..au la zaa jipange kulea mwenyewe...
 
Watoto wa afu mbili mnaojishaua kuwapa hovyo hao wanaume tena mpk waume za watu naona ujumbe mmeusoma vzr hapa..utateseka na mtoto wako mwenyewe..jitulize upate mtu wa uhakika wa kuishi nae..au la zaa jipange kulea mwenyewe...
Afadhali umejielekeza kwenye positive na ushauri kwa wanawake watulie Tu , ukishazaa 80% wanaume wanaona wewe ni looser
 
Hawao wanaume wanatudhalilisha sie wanaume wa ukweli
 
Shida sio mwananke mwenye mtoto...

Shida ni umasikini.......

Ukipiga hesabu ya 7,000 u aona utafute single girl......
 
Single mothers wana shida sana kwenye hii Dunia.

Wanaowapa mimba wanawakataa halafu bado lawama zinarudi kwa single mothers tena.

Wanawake wenye watoto popote mlipo nawatakia mafanikio kwenye pilika pilika zenu na utaftaji wenu.
Yaani unawatakia mafa ikio katika pirika pirrika zao na utafutaji ukimaanisha waendelee kutunasa sie wanaume?
 
uzoefu unaniambia ukiona malalamiko kama haya mara nyingi huyo mwanamke ndo shida hajasimama ktk nafasi yake, hatimizi majukumu yake sawsaw, bado hajitambui amepwaya
 
Mbona unaleta mambo ya wajane hapa? Tulikubaliana kuoa wajane ili mradi tu uwe umejiridhisha..hapa tunazungumzia madungaembe ambayo yamechanua miguu kwa starehe zao na wanaume wa ndoto baada ya kuachwa unataka waonewe huruma?
 
Sitaki kuhukumu,
lakini kuna mmoja hapa jirani.
Matunzo na vyakula kutoka kwa baba watoto wake (3) hataki, hapokei na ana mwaga chakula.
Pesa za kutonza hao watoto anapata kutoka kwa waume za wenzie kwa kuwahudumia unyumba!
Hapo anamkomoa Mazazi mwenzie!
Ibada na mikesha ya mwamposa na mwingira hakosagi
 
Single mothers wana shida sana kwenye hii Dunia.

Wanaowapa mimba wanawakataa halafu bado lawama zinarudi kwa single mothers tena.

Wanawake wenye watoto popote mlipo nawatakia mafanikio kwenye pilika pilika zenu na utaftaji wenu.
Bora wewe....umemtaja sister angu..
Thanks alot🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…