zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Yaan lazima wamtombe hata umuweke wapi labda umfungie ndani bila kwenda popote yaan hata akitembea tu mjini wapo watakaomtight na watamtomba na yeye hatokataa kutombwaShida niwanaume tu kushindwa kuwamiliki wanawake, mmewatoa wanawake nje madhara yake ndo hayo, kubalini maendeleo na mkubali madhara yake, acha niitwe vyovyote vile lkn Mwanamke si wakusomesha kwenye kusoma watatia vitu, si wabiashara huko kwenye biashara atatiwa, si wa kazi huko kazini atatiwa tu, kwangu Mwanamke ni ale avae alale, baada ya hapo nikumuozesha hakuna kingine.
Huo ni mfumo dume, hata mwanamke ana nyege kama wewe, anatamani kutiwa kama wewe unavotamani kutia.Shida niwanaume tu kushindwa kuwamiliki wanawake, mmewatoa wanawake nje madhara yake ndo hayo, kubalini maendeleo na mkubali madhara yake, acha niitwe vyovyote vile lkn Mwanamke si wakusomesha kwenye kusoma watatia vitu, si wabiashara huko kwenye biashara atatiwa, si wa kazi huko kazini atatiwa tu, kwangu Mwanamke ni ale avae alale, baada ya hapo nikumuozesha hakuna kingine.
Kua na manzi inayojihudumia yenyewe kila kitu unahudumia pale unapostahiri hio ni inajenga afya ya akili na kibunda mfukoni mnaweza kufanya maendeleo makubwa sana, sasa daah ngoja niishie hapaRobert Heriel Mtibeli kila siku anawaambia muwe na wanawake wenye shughuli za kueleweka na vipato vyao ninyi ni wabishi.
Unakuaje na pisi ambayo una malengo ya kuoa na haina mishe yoyote, haina akili ya maisha, hata haiwezi kukushauri mambo ya maendeleo.
Kua single maza sio shida ila hizo akili finyu za kutaka mwanaume atakaekua nae ndo ahudumie kila kitu ndio tatizo.
Hayo mawazo Baki nayo wewe, kama ni nyege ni kwenye ndoa yake rudia kusoma Tena, akiachwa kwenye ndoa watoto awaache kwa baba Yao yeye ugali wake upo kwangu hivyo no single mother, ila Sina maneno mabaya kwao Bali watulie bado wanaume wengi wanawapenda sanaHuo ni mfumo dume, hata mwanamke ana nyege kama wewe, anatamani kutiwa kama wewe unavotamani kutia.
Wanaume wasiojiamini kama wewe ndio hutaka mwanamke asifanye kazi. Ila deep down unaweza kucontrol mkeo vizuri tu hata kama ni mfanyakazi.
Kila anapoweka mguu atatombwa ndio unamaanisha hivyo?Wanaume wasiojiamini kama wewe ndio hutaka mwanamke asifanye kazi. Ila deep down unaweza kucontrol mkeo vizuri tu hata kama ni mfanyakazi.
Acha kumuita binadamu takataka we ichoondiHivi unaakili timamu unawezaje kuweka takataka kama hiyo ndani
Sio Kwa kizaz hichi hata uwe mkal zaid ya mbogo mtoto wa kike akicharuka humuwez labda umfanye mfungwa ndan kwako lasvo subir Bomu likulipukieMimi Baba mtata mwanangu hatozalia nyumbani kwangu, Baba lazima uwe kiongozi mwenye mamlaka ndani ya familia, mtoto wako wa kike hawezi akakubari kuzalishwa ikiwa ya kua anajua kuna Baba mtata nikizaa nimekosana na Baba, lazima aombe kuzalia kwenye ndoa, shida ni wanaume kupoteza mamlaka kwenye familia ndio hapo yanapoibuka ya single mother mama mwanae akipigwa mimba anachekelea kapata mjukuu bila kuangalia kwamba ameingia kwenye list ya single mother, wamama wengi mkiona mabinti zenu wanachelewa kuzaa na umri unawakimbia bila kuolewa mnaanza kuwaambia wazae ili wasije wakafika ukomo wa kuzaa na hawajazaa wala kuolewa na hapo ndipo single mother anapoingia kwenye list
Sio kweli, kwamba yeye daily ni kukanyagwa tu??Kila anapoweka mguu atatombwa ndio unamaanisha hivyo?
Habar ndiyo hiyoKila anapoweka mguu atatombwa ndio unamaanisha hivyo?
Mwache afanye kazi, ajiingizie kipato.Hayo mawazo Baki nayo wewe, kama ni nyege ni kwenye ndoa yake rudia kusoma Tena, akiachwa kwenye ndoa watoto awaache kwa baba Yao yeye ugali wake upo kwangu hivyo no single mother, ila Sina maneno mabaya kwao Bali watulie bado wanaume wengi wanawapenda sana
Cha kwako? Kwamba unazaa mabomu?Sio Kwa kizaz hichi hata uwe mkal zaid ya mbogo mtoto wa kike akicharuka humuwez labda umfanye mfungwa ndan kwako lasvo subir Bomu likulipukie
Ishia hapo hapo.Kua na manzi inayojihudumia yenyewe kila kitu unahudumia pale unapostahiri hio ni inajenga afya ya akili na kibunda mfukoni mnaweza kufanya maendeleo makubwa sana, sasa daah ngoja niishie hapa
Wewe umeelewa mwisho ni darasa la Saba, baada ya hapo ni ndani tu, akiruka ukuta huyo amekuwa mkubwa anajiweza nimemalizana nae, popote anapelekwaYaan lazima wamtombe hata umuweke wapi labda umfungie ndani bila kwenda popote yaan hata akitembea tu mjini wapo watakaomtight na watamtomba na yeye hatokataa kutombwa
Huko kazini humpati kazi ni ya baba ya tu, namfuga Mme wake aje amfaid kwenye ndoa, akimuacha watoto watabaki kwa baba yake no single mother in my familyMwache afanye kazi, ajiingizie kipato.
Huyo robart ye si ndo anasema hawezi nunua bidhaa zinazouzwa na wanawake au Robert gani unamuongelea? Na huko kazini, mashuleni, vyuoni ndo wengi wa hao single mother wanatoka elewa hivyo, Mwanamke akatafte Hela wapi?Robert Heriel Mtibeli kila siku anawaambia muwe na wanawake wenye shughuli za kueleweka na vipato vyao ninyi ni wabishi.
Unakuaje na pisi ambayo una malengo ya kuoa na haina mishe yoyote, haina akili ya maisha, hata haiwezi kukushauri mambo ya maendeleo.
Kua single maza sio shida ila hizo akili finyu za kutaka mwanaume atakaekua nae ndo ahudumie kila kitu ndio tatizo.
Hilo ni la msingi sana japo wengine sio kwamba baba mtoto ahudumii ni vile wanajawa tamaa na wanaona ni fursa ya wao kupiga pesa za kuwekeza kwenye vikoba na michezo.Angefanyaje mkuu, wanae wafe njaa? Nafikiri singo wajitahidi kwenye biashara ili kutunza watoto. Hii kutegemea mume inawaharibia
Ukipenda boga penda na maua yake , acha kukwepa majukumu kwani wewe hutazaa ? Sasa hivi yenyewe usikute una watoto we analelewa wanaume wenzio bila hat as kujua , kumbuka research wanaume wengi wanales watoto wasio wao na WA kwao wanalelewa na wengine.Yaani nimeopoa Dem mkali kuja kushtukia ana watoto wawili alafu ni 24 tu ukimuangalia ni msafi ukimuacha ndani unakuta mazingira safi chakula kizuri na.kana heshima ila ukimuacha tu inabidi umuachie hela ya matumizi ya ndani alafu atakwambia naomba hela nitume nyumbani wanangu wale yaani watoto wanamtegemea ukimuuliza baba yao yupo.wapi anakwambia kashaowa. Hivyo.hausiki na malezi ya watoto
Yaani nitoke niache 10,000 ,12000 mezani alafu nitoe yena 7000 atume kwao nikaona hapa sio pa kuweka kambi nikamwambia tu nna ugeni wa ndugu zangu hivyo aende kwao wakiondoka atarudi
Ingekuwa wewe ungekaa nimetimua mbio yeye.mwenyewe haamini kataa single mother kwa usalama wako
Luga tena!? Wewe ni mpuuzi!Luga gani
Hapana mm ni mdogo kwake huyo wa 30 ........Kwahio kama hana wazazi ndo aolewe mapema.? Kwanini asijijenge kwanza? Ila kama mwanaume kapata sahihi kazi kwake?!
Huyo wa 30 issue akuachie kwamba umeokota dodo?