Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Hapana mm ni mdogo kwake huyo wa 30 ........

Kuwaeleza wazazi wake kuwa mwanaume so lazima awe wa kabila lake, tuu mkizidi kuangalia Hilo hamuoni binti atazeeka nyumbn? Ama kuja kuzalishwa ?

Wampatie baraka zote akaanze maisha....... na familia yake maake jamaa aliye naye sasa anaeleweka

Huyu dogo sisemi sana i wish good luck to her.... i advised her a lot, counseling za kutosha..... so yeah!
Wazazi wanaweza kuridhia ila kishingo upande
Hio 30umri umeenda mno
Just be a good person to her at least she has someone who she relays on when she's at her lowest.
 
Huyo robart ye si ndo anasema hawezi nunua bidhaa zinazouzwa na wanawake au Robert gani unamuongelea? Na huko kazini, mashuleni, vyuoni ndo wengi wa hao single mother wanatoka elewa hivyo, Mwanamke akatafte Hela wapi?
Kwani mnunuzi ni Robert Heriel Mtibeli pekee.
Ushauri wake wa kutoishi na mwanamke tegemezi ni mzuri sana kwa jamii, chukua huo.
Ila huo wa kununua bidhaa za wanawake pekee achana nao.
 
Tuache utani ni wagomvi balaa utatukanwa matusi yote......kula mzigo tembea mbele Ukipiga kambi yakikukuta uvumilie kikomandoo
 
Huko kazini humpati kazi ni ya baba ya tu, namfuga Mme wake aje amfaid kwenye ndoa, akimuacha watoto watabaki kwa baba yake no single mother in my family
Andika vizuri joh, hoja hako hujaipanga vyema, fanya kuedit kidogo.
 
Kama hao watoto wake wamefikisha miaka miwili achana nao wanaweza kujitegemea.
 
Robert Heriel Mtibeli kila siku anawaambia muwe na wanawake wenye shughuli za kueleweka na vipato vyao ninyi ni wabishi.

Unakuaje na pisi ambayo una malengo ya kuoa na haina mishe yoyote, haina akili ya maisha, hata haiwezi kukushauri mambo ya maendeleo.

Kua single maza sio shida ila hizo akili finyu za kutaka mwanaume atakaekua nae ndo ahudumie kila kitu ndio tatizo.

Watu hawawezi kukuelewa wla kunielewa

Niliwahi kuandika, mwanamke anayejiweza hata Akiwa na mtoto sio single mother hao wanomaanishwa na vijana mitandaoni.
 
Kumsaidia buku 7 kwa siku? Mwezi laki 2 piga miksa na zile buku teni teni "UNA MASKHARA WEWE" In kirikuu anko voisi
Nilidhani tatizo lingine labda bado anakitoa kwa aliye mzalisha kumbe ni kutoa buku7 tu ndugu yangu?Kwanini usifanye kama unamsaidia tu.?Labda kama ako na tabia mbovu.
 
Umeshasema mwenyewe kuwa ni msafi anaweka nyumba safi anakupikia na anakuheshimu.

Sasa wewe tafuta single asiye na mtoto utamkuta anafuga kucha kama shetani, hafui nguo mtapeleka dry cleaner, hajui kupika mtanunua chips kwa mangi, ukishamuoa ataajiri housegirl wa usafi na kukupikia yeye anaangalia movie na insta. Ukifika tu home makelele kama sabufa. Huyu ndio atakuwa wife material wako na gharama itakuwa imepungua.

Mwisho tuache zinaa na tumuogope Mwenyezi Mungu acheni kuharibu mabinti za watu na wa kwenu watakuja kufanyiwa hivyo hivyo
 
Umeshasema mwenyewe kuwa ni msafi anaweka nyumba safi anakupikia na anakuheshimu.

Sasa wewe tafuta single asiye na mtoto utamkuta anafuga kucha kama shetani, hafui nguo mtapeleka dry cleaner, hajui kupika mtanunua chips kwa mangi, ukishamuoa ataajiri housegirl wa usafi na kukupikia yeye anaangalia movie na insta. Ukifika tu home makelele kama sabufa. Huyu ndio atakuwa wife material wako na gharama itakuwa imepungua.

Mwisho tuache zinaa na tumuogope Mwenyezi Mungu acheni kuharibu mabinti za watu na wa kwenu watakuja kufanyiwa hivyo hivyo
Sahihi kabisa
 
Yaan lazima wamtombe hata umuweke wapi labda umfungie ndani bila kwenda popote yaan hata akitembea tu mjini wapo watakaomtight na watamtomba na yeye hatokataa kutombwa
Atembee mjini anaenda wapi? Kote huko anapelekwa anarudishwa, kazi zakeni ndani siyo nje
 
Mkuu hawa single maza ingawa wengi ni kwa ujinga wao. Lakini wengine ni victims wa vitendo vya kikatiri walivyofanyiwa na wa naume.
So tusifanye collective judgement.
Mtoa mada kamchambua vizuri huyo mwanamke.

Hakuna uvictim wa ukatili hapo isipokuwa tabia yake ndiyo inamfanya asifugike.
 
Back
Top Bottom