Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

unaandika kana kwamba huna kizazi , tena bora ukose kizazi kuliko uje upate mtoto wa kike aje kuwa zaidi ya single maza
Mtoto wa kike unampa tahadhari na maonyo yote, Akiamua kwenda kinyume na akawa single mother, it's up to her. Ni juu yake.

Mimi sitahusika tena.

Ukishapewa tahadhari halafu ukaenda kinyume, litakalo kukuta likukute. Utakomaa kivyako.
 
Tulishasema humu kataa single Maza.

Yeyote atakaye kwenda kinyume, litako mkuta limkute, Akomae nalo, sio kuja hapa JF tena kulia lia kuomba ushauri.
mbona mimi mmechelewa kuniambia!
 
Mtoto wa kike unampa tahadhari na maonyo yote, Akiamua kwenda kinyume na akawa single mother, it's up to her. Ni juu yake.

Mimi sitahusika tena.

Ukishapewa tahadhari halafu ukaenda kinyume, litakalo kukuta likukute. Utakomaa kivyako.
unampa tahadhari kwamba asiolewe au?
 
unampa tahadhari kwamba asiolewe au?
Nampa tahadhari zote kwamba kabla hajapata mtoto awe na mwanaume ambaye watahakikisha wanalea huyo mtoto kwa pamoja.

Either wawe wameoana au hawaja oana. Huyo mtoto wahakikishe watamlea na kumpa huduma zote wao wenyewe.

Sio aje anisumbue sumbue mimi.
 
Ukiwa na pesa na mwanamke umempenda hayo ni mambo madogo sana tena unaweza mwambia awalete watoto wake hapo kwako

Kuna jamaa yupo vzur kipesa,alikuwa kaoa mke ambae hazai,akaja akakutana na demu pisi kweli yenye asili ya kinyarwanda,kaijengea na nyumba kabisa,sahv ameshamzalisha watoto wawili,yule binti alikuwa na watoto watatu kabla na jamaa anawahudumia vzur tu na likizo huwa anawaleta town anawanunulia kila kitu

Jamaa ana moyo wa ajabu sana,mungu atamzidishia
 
Nampa tahadhari zote kwamba kabla hajapata mtoto awe na mwanaume ambaye watahakikisha wanalea huyo mtoto kwa pamoja.

Either wawe wameoana au hawaja oana. Huyo mtoto wahakikishe watamlea na kumpa huduma zote wao wenyewe.

Sio aje anisumbue sumbue mimi.
acheni kujidai, maana maisha hayana fomula hakuna cha ushauri mzuri wala nini,lolote laweza tokea katika maisha
kuna dada mmoja jiran,kaolewa na kijana mwenzanke baada ya mwaka kapata mtoto,mtoto akiwa na mwaka na nusu mwanaume kafariki kamuacha na mimba ya mwezi tumboni, muda huo huyo binti ana miaka 24 tu.
 
acheni kujidai, maana maisha hayana fomula hakuna cha ushauri mzuri wala nini,lolote laweza tokea katika maisha
kuna dada mmoja jiran,kaolewa na kijana mwenzanke baada ya mwaka kapata mtoto,mtoto akiwa na mwaka na nusu mwanaume kafariki kamuacha na mimba ya mwezi tumboni, muda huo huyo binti ana miaka 24 tu.
Kifo kina eleweka kwamba ni kifo. Hapo utapewa msaada.

Sio ukafanye umalaya wako huko upate mtoto halafu uanze kusumbua watu wakusaidie malezi.

Ujinga wa namna hiyo sio waku uendekeza kabisa.
 
acheni kujidai, maana maisha hayana fomula hakuna cha ushauri mzuri wala nini,lolote laweza tokea katika maisha
kuna dada mmoja jiran,kaolewa na kijana mwenzanke baada ya mwaka kapata mtoto,mtoto akiwa na mwaka na nusu mwanaume kafariki kamuacha na mimba ya mwezi tumboni, muda huo huyo binti ana miaka 24 tu.
Duh hatar bint alikuwa anafanya kaz?
 
Hayo anayokufanyia ni kwa mda tu,akishakupata akajihakikishia makao,my friend umekwisha
 
acheni kujidai, maana maisha hayana fomula hakuna cha ushauri mzuri wala nini,lolote laweza tokea katika maisha
kuna dada mmoja jiran,kaolewa na kijana mwenzanke baada ya mwaka kapata mtoto,mtoto akiwa na mwaka na nusu mwanaume kafariki kamuacha na mimba ya mwezi tumboni, muda huo huyo binti ana miaka 24 tu.
Achana nao ndugu yangu hawa watoto wa 2000.wape miaka 10
 
Sina Cha kuchukua kwake na siwezitaka kuwa kama yeyote Bali nipo kama nilivyo na ndo maana nasimamia niliposhika na hapawezi ng'oka, nasonga na dira yangu Wanawake watabaki nyumbani, hapa nimemalizana na wewe.
Hujiamini
 
Dogo changamka acha UDOMO ZEGE.Tongoza mara kwa mara uwazoe wanawake, ni aibu kwa mwanaume rijali kijana mdogo kudate SINGO MAZA.

Yaani wewe ukaweka ndani kabisa singo maza alafu unakuja humu unatamba kuwa ni mzuri,msafi sijui ujingaujinga gani.Dogo kama unajipenda achana na hao low quality woman(SINGO MAZA).Hawa wako beyond damage na hauwezi kuwarepair.

Tafuta mademu walio fertile na ambao wanalingana na wewe acha hao MAGUMEGUME yaliyoshindikana utakuja ulie.

TAFUTA HELA!!!TAFUTA HELA!! itakusaidia uache kula makombo/makabichi yaliyolala/viporo.

#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!
 
Mwanaume anayetetea hawa takataka ni mjinga wa mwisho soft soft kiasi kwamba hawa SINGO MAZA ndo vitu huwa anapiga😀😀😀

Dodo tukikwambia ujifunze kutongoza na uwazoe wanawake ni tunakutakia mema. Mwanaume unashindwa vipi kumjua mwanamke aliyezaa????

Singo maza wanateteana maana wanajua ujinga waliofanya na saivi wanataka kupata huruma ya jamii. Mwanamke aliyezaa watoto wawili bila ndoa huyu ni KITUKO,TAKATAKA,MALAYA maana huyu hajui thamani ya kubana MAPAJA na ukijiingiza hapa umeliwa kichwa.

Enyi nyinyi wanaume vilaza( SIMPS) nawasihi muwe mnahudhuria vikao ili muache kufungua nyuzi za kipuuzi kama hizi!!!
 
Ukiwa na pesa na mwanamke umempenda hayo ni mambo madogo sana tena unaweza mwambia awalete watoto wake hapo kwako

Kuna jamaa yupo vzur kipesa,alikuwa kaoa mke ambae hazai,akaja akakutana na demu pisi kweli yenye asili ya kinyarwanda,kaijengea na nyumba kabisa,sahv ameshamzalisha watoto wawili,yule binti alikuwa na watoto watatu kabla na jamaa anawahudumia vzur tu na likizo huwa anawaleta town anawanunulia kila kitu

Jamaa ana moyo wa ajabu sana,mungu atamzidishia
Wewe kinachokuzuzua ni kuwa jamaa yako anahela.Hela sio kila kitu mzee. Hata ukiwa na hela sio lazima uwe na AKILI TIMAMU. Wengine wapo tu kwenye mkondo wa hela.Kuwa na akili timamu ni SUBJECTIVE.

Kwahiyo huyo boya aliyeoa SINGO MAZA mwenye watoto watatu mpe muda. Nature huwa haidanganyi kuna payback inakuja lazima nature imuadhibu.Nature ni kama bahari huwa haikai na takataka so mpe muda utasikia tu kilio🤗🤗🤗

Dunia inakanuni zake ukizivunja lazima upate adhabu!!!!
 
Yaani nimeopoa Dem mkali kuja kushtukia ana watoto wawili alafu ni 24 tu ukimuangalia ni msafi ukimuacha ndani unakuta mazingira safi chakula kizuri na.kana heshima ila ukimuacha tu inabidi umuachie hela ya matumizi ya ndani alafu atakwambia naomba hela nitume nyumbani wanangu wale yaani watoto wanamtegemea ukimuuliza baba yao yupo.wapi anakwambia kashaowa. Hivyo.hausiki na malezi ya watoto

Yaani nitoke niache 10,000 ,12000 mezani alafu nitoe tena 7000 atume kwao nikaona hapa sio pa kuweka kambi nikamwambia tu nna ugeni wa ndugu zangu hivyo aende kwao wakiondoka atarudi

Ingekuwa wewe ungekaa nimetimua mbio yeye.mwenyewe haamini kataa single mother kwa usalama wako
Haukumpenda kwa dhati na hauna hela tu.Hayo mengine ni puruzai.
 
Back
Top Bottom