Mbona huyo mdau anasema simba ilifungwaSimba hapo aijafungwa mkuu,Ud Songo na Simba wote wanagoli moja moja,Simba walitolewa kwa kanuni ya aggregate,kanuni ambayo FiFA wanataka waiondoe kwasababu inanyika haki timu moja.
Aikufungwa bali ilitolewa kikanuni kandamizi.Mbona huyo mdau anasema simba ilifungwa
Hawezi kujibu ashakimbiaAkikujib utanishtua
Kama Manara alivyo
Yanga bhana A1-1BKo hapo simba amefungwa sio
Ud Songo walimtandika ngapi Simba!?????Achana na yanga wewe kamfukuzeni tapeli wenu mo kwanza kabla amjarukia yasiyowahusu, nyie mlipotandikwa na ud songo hatua ya awali mbona mliufyata na sababu kibao, Makoro fc mnaferi sana na propaganda uchwala ambazo haziwezi kufua dafu kwa sasa, uyo injinia na manara mnaowaongelea kila siku apa jukwaani inaonekana ni threat sana kwenu haiwezekani pilipili aitafune mwingine kuwashwa awashwe mwingine ni ajabuu!
Huu uzi nimeuhifadhi kwenye kumbukumbu zangu. Kuna kila dalili ya kutokea ulichoandika.Kati ya Kesho Jumatatu mpaka Jumatano au Alhamisi kuna Zengwe la Awali linaenda Kuibuka Klabuni Yanga SC ambalo litawahusu hasa Watu Wawili Msemaji mpya Haji Manara na Injinia Hersi Said.
Hata hivyo Zengwe hilo.litazimwa kwa muda ila litaibuka kwa Nguvu mpya Weekend ijayo pale ambapo Yanga SC inaenda Kutolewa na Kuyaaga rasmi Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika huko nchini Nigeria.
Na Zengwe la maana ambalo Mightier nimehakikishiwa kuwa litaondoka na Vichwa Viwili ndani ya Yanga SC litatokea baada ya Mechi ya Ngao ya Hisani pale ambapo iwe isiwe Yanga SC inaenda Kufungwa tena Safari hii Kirahisi kabisa na Simba SC.
Haji Manara kaa ukijua kuwa 85% ya wana Yanga SC hawakutaki japo GSM wanakubeba na Kukulinda. Wanadai una Kimavi ( Nuksi ) na pia hawakuamini hata kidogo huku wakihoji ni lini umerudisha Kadi ya Simba SC na kwamba kama Wewe ni Yanga SC kweli mbona hujawaonyesha Kadi yako au basi hata tu Kupokea Kadi yako mpya.
Injinia Hersi Said baada ya Kucheza na Akili za wana Yanga SC kwa muda mrefu huku ukijinufaisha Kibiashara kwa Mgongo wa Udhaifu wao wa Kufikiri sasa nao Wameamka na wanakulalamikia kuwa Wewe ni Muongo, unakula 10% kwa Wachezaji wa Kigeni unaowaleta nchini na kwamba hili Suala la akina Djuma, Aucho na Mayele kukosa ITC mpaka sasa limesababishwa nawe huku ukihusishwa kuwa ni mwana Simba SC na kwamba unatumika nao.
Wote Haji Manara na Injinia Hersi Said mmeandaliwa Kipigo, kufedheheshwa na Kufukuzwa Yanga SC ndani ya Wiki Mbili mpaka Tatu kutoka sasa na ndiyo maana nimewaasa mapema tu kuwa achaneni na Yanga SC, imetosha na watakuja wengine kuendelea mlipoishia.
Msije kusema tu kuwa sikuwashtueni.
Hata kama lakini jibu swali uliloulizwa, ndani ya miaka 4 mumefanya chochote?Mkuu mbona unakurupuka! Umeelewa nilichomuuliza mjumbe hapo juu?
Huna facts ni majungu matupuKati ya Kesho Jumatatu mpaka Jumatano au Alhamisi kuna Zengwe la Awali linaenda Kuibuka Klabuni Yanga SC ambalo litawahusu hasa Watu Wawili Msemaji mpya Haji Manara na Injinia Hersi Said.
Hata hivyo Zengwe hilo.litazimwa kwa muda ila litaibuka kwa Nguvu mpya Weekend ijayo pale ambapo Yanga SC inaenda Kutolewa na Kuyaaga rasmi Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika huko nchini Nigeria.
Na Zengwe la maana ambalo Mightier nimehakikishiwa kuwa litaondoka na Vichwa Viwili ndani ya Yanga SC litatokea baada ya Mechi ya Ngao ya Hisani pale ambapo iwe isiwe Yanga SC inaenda Kufungwa tena Safari hii Kirahisi kabisa na Simba SC.
Haji Manara kaa ukijua kuwa 85% ya wana Yanga SC hawakutaki japo GSM wanakubeba na Kukulinda. Wanadai una Kimavi ( Nuksi ) na pia hawakuamini hata kidogo huku wakihoji ni lini umerudisha Kadi ya Simba SC na kwamba kama Wewe ni Yanga SC kweli mbona hujawaonyesha Kadi yako au basi hata tu Kupokea Kadi yako mpya.
Injinia Hersi Said baada ya Kucheza na Akili za wana Yanga SC kwa muda mrefu huku ukijinufaisha Kibiashara kwa Mgongo wa Udhaifu wao wa Kufikiri sasa nao Wameamka na wanakulalamikia kuwa Wewe ni Muongo, unakula 10% kwa Wachezaji wa Kigeni unaowaleta nchini na kwamba hili Suala la akina Djuma, Aucho na Mayele kukosa ITC mpaka sasa limesababishwa nawe huku ukihusishwa kuwa ni mwana Simba SC na kwamba unatumika nao.
Wote Haji Manara na Injinia Hersi Said mmeandaliwa Kipigo, kufedheheshwa na Kufukuzwa Yanga SC ndani ya Wiki Mbili mpaka Tatu kutoka sasa na ndiyo maana nimewaasa mapema tu kuwa achaneni na Yanga SC, imetosha na watakuja wengine kuendelea mlipoishia.
Msije kusema tu kuwa sikuwashtueni.
Mightier nikija na Taarifa hapa jua 99.9999% ni kweli na nina uhakika nayo pia. Itunze hii Thread tafadhali ili uje unipigie vizuri Salute Ndugu.Huu uzi nimeuhifadhi kwenye kumbukumbu zangu. Kuna kila dalili ya kutokea ulichoandika.
Yawezekana mwana Yanga SC mwenye Akili Timamu hapa JamiiForums ukawa ni Wewe peke yako ila waliobaki ni Vichwa Maji tupu. Nimekukubali Ndugu.SISI YANGA TUNASEMA HATUWATAKI MAMLUKI NYIE, ONDOKENI MTUACHIE CLUB YETU.
UNEINA WAPI MTU ANABADILIKA SIKU MOJA TUU KUTOKA SIMBA DAMU KUWA YANGA MWENYE MAPENZI MAKUBWA, HUU NI UNAFIKI.
ONDOKEEEENI
Na bado tu umeyafuata na Kuyasoma pia.
Tumefika robo fainali mara 2Hata kama lakini jibu swali uliloulizwa, ndani ya miaka 4 mumefanya chochote?