Kwa nilichokisikia kwa wenye Yanga SC yao na kinachokuja, nawaomba Haji Manara na Injinia Hersi Said waachane nayo upesi

Kwa nilichokisikia kwa wenye Yanga SC yao na kinachokuja, nawaomba Haji Manara na Injinia Hersi Said waachane nayo upesi

Yanga miaka ya karibuni haijawahi kuwa timu nzuri nahisi kocha hafai plus usajiri mbovu wa wakata viuno basi ni shida tuu.Timu mbovu mbovu yaani kushabikia yanga ni kujipa pressure na maradhi yasio ya kuambukiza bure.Nimenunua jezi zao nataka nikaigawe kwa wasiojielewa wenzao.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Yanga kama wanachama wenu wanawaita.
Utopolo
Utaputapu
Manyani
Hamjiulizi kwanini wanawaita hivyo.
Mkijitambua hapo mtafika mbali sana.
Na sio kusheherekea Usajili pekee.
 
Yanga mchawi wao ni wao wenyewe timing ya pre season hawako serious sana lakini pia waliatj mechi hata tatu hv. Sasa hii wiki wapige tizi hata na mechi moja tena
 
Hata simba wenyewe wananitia shaka, timu walizokutana nazo pre season sio imara sana! wanahitaji tough games!
 
Achana na yanga wewe kamfukuzeni tapeli wenu mo kwanza kabla amjarukia yasiyowahusu, nyie mlipotandikwa na ud songo hatua ya awali mbona mliufyata na sababu kibao, Makoro fc mnaferi sana na propaganda uchwala ambazo haziwezi kufua dafu kwa sasa, uyo injinia na manara mnaowaongelea kila siku apa jukwaani inaonekana ni threat sana kwenu haiwezekani pilipili aitafune mwingine kuwashwa awashwe mwingine ni ajabuu!
Ud Songo walimtandika ngapi Simba!?????
 
SISI YANGA TUNASEMA HATUWATAKI MAMLUKI NYIE, ONDOKENI MTUACHIE CLUB YETU.

UNEINA WAPI MTU ANABADILIKA SIKU MOJA TUU KUTOKA SIMBA DAMU KUWA YANGA MWENYE MAPENZI MAKUBWA, HUU NI UNAFIKI.

ONDOKEEEENI
 
Kati ya Kesho Jumatatu mpaka Jumatano au Alhamisi kuna Zengwe la Awali linaenda Kuibuka Klabuni Yanga SC ambalo litawahusu hasa Watu Wawili Msemaji mpya Haji Manara na Injinia Hersi Said.

Hata hivyo Zengwe hilo.litazimwa kwa muda ila litaibuka kwa Nguvu mpya Weekend ijayo pale ambapo Yanga SC inaenda Kutolewa na Kuyaaga rasmi Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika huko nchini Nigeria.

Na Zengwe la maana ambalo Mightier nimehakikishiwa kuwa litaondoka na Vichwa Viwili ndani ya Yanga SC litatokea baada ya Mechi ya Ngao ya Hisani pale ambapo iwe isiwe Yanga SC inaenda Kufungwa tena Safari hii Kirahisi kabisa na Simba SC.

Haji Manara kaa ukijua kuwa 85% ya wana Yanga SC hawakutaki japo GSM wanakubeba na Kukulinda. Wanadai una Kimavi ( Nuksi ) na pia hawakuamini hata kidogo huku wakihoji ni lini umerudisha Kadi ya Simba SC na kwamba kama Wewe ni Yanga SC kweli mbona hujawaonyesha Kadi yako au basi hata tu Kupokea Kadi yako mpya.

Injinia Hersi Said baada ya Kucheza na Akili za wana Yanga SC kwa muda mrefu huku ukijinufaisha Kibiashara kwa Mgongo wa Udhaifu wao wa Kufikiri sasa nao Wameamka na wanakulalamikia kuwa Wewe ni Muongo, unakula 10% kwa Wachezaji wa Kigeni unaowaleta nchini na kwamba hili Suala la akina Djuma, Aucho na Mayele kukosa ITC mpaka sasa limesababishwa nawe huku ukihusishwa kuwa ni mwana Simba SC na kwamba unatumika nao.

Wote Haji Manara na Injinia Hersi Said mmeandaliwa Kipigo, kufedheheshwa na Kufukuzwa Yanga SC ndani ya Wiki Mbili mpaka Tatu kutoka sasa na ndiyo maana nimewaasa mapema tu kuwa achaneni na Yanga SC, imetosha na watakuja wengine kuendelea mlipoishia.

Msije kusema tu kuwa sikuwashtueni.
Huu uzi nimeuhifadhi kwenye kumbukumbu zangu. Kuna kila dalili ya kutokea ulichoandika.
 
Kati ya Kesho Jumatatu mpaka Jumatano au Alhamisi kuna Zengwe la Awali linaenda Kuibuka Klabuni Yanga SC ambalo litawahusu hasa Watu Wawili Msemaji mpya Haji Manara na Injinia Hersi Said.

Hata hivyo Zengwe hilo.litazimwa kwa muda ila litaibuka kwa Nguvu mpya Weekend ijayo pale ambapo Yanga SC inaenda Kutolewa na Kuyaaga rasmi Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika huko nchini Nigeria.

Na Zengwe la maana ambalo Mightier nimehakikishiwa kuwa litaondoka na Vichwa Viwili ndani ya Yanga SC litatokea baada ya Mechi ya Ngao ya Hisani pale ambapo iwe isiwe Yanga SC inaenda Kufungwa tena Safari hii Kirahisi kabisa na Simba SC.

Haji Manara kaa ukijua kuwa 85% ya wana Yanga SC hawakutaki japo GSM wanakubeba na Kukulinda. Wanadai una Kimavi ( Nuksi ) na pia hawakuamini hata kidogo huku wakihoji ni lini umerudisha Kadi ya Simba SC na kwamba kama Wewe ni Yanga SC kweli mbona hujawaonyesha Kadi yako au basi hata tu Kupokea Kadi yako mpya.

Injinia Hersi Said baada ya Kucheza na Akili za wana Yanga SC kwa muda mrefu huku ukijinufaisha Kibiashara kwa Mgongo wa Udhaifu wao wa Kufikiri sasa nao Wameamka na wanakulalamikia kuwa Wewe ni Muongo, unakula 10% kwa Wachezaji wa Kigeni unaowaleta nchini na kwamba hili Suala la akina Djuma, Aucho na Mayele kukosa ITC mpaka sasa limesababishwa nawe huku ukihusishwa kuwa ni mwana Simba SC na kwamba unatumika nao.

Wote Haji Manara na Injinia Hersi Said mmeandaliwa Kipigo, kufedheheshwa na Kufukuzwa Yanga SC ndani ya Wiki Mbili mpaka Tatu kutoka sasa na ndiyo maana nimewaasa mapema tu kuwa achaneni na Yanga SC, imetosha na watakuja wengine kuendelea mlipoishia.

Msije kusema tu kuwa sikuwashtueni.
Huna facts ni majungu matupu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huu uzi nimeuhifadhi kwenye kumbukumbu zangu. Kuna kila dalili ya kutokea ulichoandika.
Mightier nikija na Taarifa hapa jua 99.9999% ni kweli na nina uhakika nayo pia. Itunze hii Thread tafadhali ili uje unipigie vizuri Salute Ndugu.
 
SISI YANGA TUNASEMA HATUWATAKI MAMLUKI NYIE, ONDOKENI MTUACHIE CLUB YETU.

UNEINA WAPI MTU ANABADILIKA SIKU MOJA TUU KUTOKA SIMBA DAMU KUWA YANGA MWENYE MAPENZI MAKUBWA, HUU NI UNAFIKI.

ONDOKEEEENI
Yawezekana mwana Yanga SC mwenye Akili Timamu hapa JamiiForums ukawa ni Wewe peke yako ila waliobaki ni Vichwa Maji tupu. Nimekukubali Ndugu.
 
Back
Top Bottom