[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ukiona nchi au eneo flani la nchi lina wafuasi wengi wa dini jua vilevile kuna umasikini mwingi na hawana kazi ya kufanya zaidi ya kukesha makanisani kujiliwaza na neno la Mungu.Na ukitaka kuwa maskini kupindukia kuwa muimba kwaya wa kanisa.
Utani pembeni, mkuu soma historia ya dunia ujuwe ukweli.Daaah Yaani ulivyo ni quote kama vile una hakika nimeenda shule, basi bana nilitaka kujua tu . Yaishe mkuu
Hivi hizi ligi za ubishi za nini!? Si muwe mnagoogle kujiridhisha mbona mambo yapo wazi!?Aisee hizi data mnazitoa wapi? Yaani dar hii inayoishia kiluvya ndio iwe kubwa kuliko nairobi?
You must be oldWewe, mimi ni msukuma chapa ya ng'ombe. MTANZANIA PURE KABISA. Yaani yaani kule Ntuzu na Busia kuna makaburi mpaka ya bibi zake na babu zangu nilishayaona.Sikatai nina connection na warundi ila ni kwa upande wa marehemu mme wangu. Burundi ni kwao na watoto wangu. Kule ni maskini yes na sijakataa. Ila mimi ni Mtanzania og.
[emoji38][emoji38]Unaonekana tu ni MJINGA WA KUTUPWA huna shule na ujatoka hata uko kijijini kwenu Shinyanga
Being Old is a blessing,If iam old that means i've traversed a lot .How many folks who are younger than me are no longer there.May be you will never get old .You will die in a minute and fail to get older than you are now. Iam sorry for you.You must be old
Sio Kweli,vise versa is true1 burundi franc = 1.13 Tsh.
Mbona pesa yetu ndio haina thamani mbele ya pesa yao.
Subiri umeme wa kutoka bwawa la Mwl.Nyerere,wewe mambo yatanyooka.Waburundi wengi wanakidharau kifaransa na kusema ni lugha ya umaskini.. ndoto zao ni kujua kiingereza. Pia kiswahili chao kimenyooka karibu sawa na bongo. Kiukweli Tanzania kwa sasa ipo kasi sana kulinganisha na nchi nyingi zinazotuzunguka. Bongo naona shida kubwa sana ni umeme. Kwa ukubwa wa nchi na idadi ya watu kiukweli umeme tulio nao ni mdogo mno.
Subiri umeme wa kutoka bwawa la Mwl.Nyerere,wewe mambo yatanyooka.Waburundi wengi wanakidharau kifaransa na kusema ni lugha ya umaskini.. ndoto zao ni kujua kiingereza. Pia kiswahili chao kimenyooka karibu sawa na bongo. Kiukweli Tanzania kwa sasa ipo kasi sana kulinganisha na nchi nyingi zinazotuzunguka. Bongo naona shida kubwa sana ni umeme. Kwa ukubwa wa nchi na idadi ya watu kiukweli umeme tulio nao ni mdogo mno.
Nadhani watu kuwa na maisha mazuri ndo muhimu kuliko kuwa na uchumi mkubwa.Botswana ni ya 23 kwa uchumi mkubwa Afrika na Namibia ni nchi ya 27 wakati Tanzania ipo nafasi ya 10.
Ndo mana nikasema nisaidie basi nijue naanzia wapi, wengine hatujasoma. sasa mkuu ulivyojibu kama vile nimeenda shule, ww ungenisaidia tu nenda labda google andika hivi au sehemu fulani ningeenda kufanya hivyo.Utani pembeni, mkuu soma historia ya dunia ujuwe ukweli.
Hata huko Haiti, Nicaragua, PanamaZipo nchi hata nje ya Africa unaweza kukuta tumezizidi..
Bangladesh je??
Papua New Guinea??
Lusaka hasikudanganye mtu. Hakuna magorofa kama Dar, Arusha na Mwanza. Pili pamepoa sana yaani ukifika unahisi upo nje ya jiji la Dar es Salaam.Izo chai sasa..Fika ushuhudie hata mm naskia Zambia Lusaka ni kama Nyuyok ila siamini najitahidi kufika nijionee
I am old too. Why did you get offended? Being old is a blessing. I wouldnt trade it for nothing. Dont take things personal.Being Old is a blessing,If iam old that means i've traversed a lot .How many folks who are younger than me are no longer there.May be you will never get old .You will die in a minute and fail to get older than you are now. Iam sorry for you.
Unaweza kwenda Google kama ukitaka ila inabidi kwenda shule kusoma kiundani zaidi haswa chuo Kikuu, huko ndiko utaweza kusoma na kuelewa zaidi kwanini hizi dini ziliundwa na watu na kumsingizia Mungu. Hawa manabii wa kishikaji kuanzia kina T.B. Joshua na hawa kina Mwamposa wote wanajuwa ukweli na ndiyo maana wanawachezee watu akili tu.Ndo mana nikasema nisaidie basi nijue naanzia wapi, wengine hatujasoma. sasa mkuu ulivyojibu kama vile nimeenda shule, ww ungenisaidia tu nenda labda google andika hivi au sehemu fulani ningeenda kufanya hivyo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aloooo!Znz tu wanatutoa jasho sembuse Burundi we mzee tutauwana
Yani Dar hii ambayo 70% ya makazi yake haijapimwa.Msamehe bure huyo kwani hajatembea. Dar majiji mengi ya Afrika yakasome namba.