Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

h
Aliemzika Yesu alikua ni Tajiri wa Kutupwa masikini walishindwa kumzika Yesu sababu ya Gharama za Mazishi hazikua ndogo na hata kaburi lake lilikua la Nyota 5 sio makaburi ya kapuku km lile alilomfufua Razaro

Yesu pia kuna pahala anawasimulia wanafunzi na makutano juu ya mtu alievamiwa na majambazi na kujeruhiwa vibaya Ila walipita watu wa kanisa wakuu wa Makuhani wakapita kando, walipita wazee wa Busara wakapita kando wasimsaidie Ila akapita Tajiri mmoja akiwa na punda zake akamsaidia kwa kumpa huduma ya kwanza majeraha yake na pia akampeleka hotelini akalipia apewe matibabu hadi pale atakapopona, yaan Tajiri alilipa gharama zote jamaa atibiwe mpaka apone pamoja na kwamba alikua hamjui ilihali masikini walimkimbia jamaa hawakumuokoa sababu ya kukimbia gharama

Umeelewa maana ya hio hadithi ilimaanisha nini ?
haikuandikwa alipita tajiri wala haikuandikwa masikini walipita pembeni kasme vizuri
 
Lakini neno, "kristo', maana yake ni," mfalme " japo lipo kigiriki,,
Kiyahudi wakati wako chini ya warumi,, walikua wakisubiri huyo mfalme,, aje awakomboe toka kwa mkoloni Mrumi,,
Masihi wa kwanza wa wayahudi alikua ni mfalme wa Persia,, King cyrus, ambae aliwakomboa wayahudi toka utumwani Babel, na kuwarudisha caanan,
Wakati wa yesu,, wayahudi walikuwa wanatawaliwa na warumi,, hivyo walikuwa wakitegemea ujaji wa masihi mwingine aje awakomboe toka utawala wa kikoloni,
Yesu alipokua, alianzisha hizo harakati, akijiita yeye ndo masihi,, Mfalme wa wayahudi,,
Na pia akajisema anatoka ukoo wa mfalme Daud,, hivyo anakidhi vigezo vya kuwa masihi na mfalme wa uyahudi,
Kwahiyo tunakubaliana kuwa Pamoja na wayahudi kumsubiri Yesu aje kuwakomboa ila hiyo mission ilishindikana?

Maana haiwezekani baada ya kusubiri sana mkombozi na hatimae akafika ila namba ya wayahudi ambao wamemkubali Yesu ni ndogo Sana

Israel ina population ya watu 9M hadi hivi sasa, na katika hiyo population tunaona kuwa ni 1.9% Yani watu 171000 tu ya wayahudi ndio wamemkubali Yesu na kuwa wakristo ilhali 98.1% wamegoma kumkubali, yani wayahudi 8,829,000 wamegoma

Kwa lugha nyepesi ni kwamba wayahudi wamegoma kukombolewa na Kristo, at least numbers zingekuwa zinasoma 50% ya population ni Christian

Cha ajabu sasa, sijui ndio ukuu wa Mungu amekuja kuwakomboa kina Masumbuko na kina kashindwe maana huku kwetu kuna Christian wengi kuliko Israel, huku kuna zaidi ya asilimia 60% ni wakristo

Inawezekana sisi tulimuhitaji sana Yesu kuliko maamuzi yake ya kwenda kuwakomboa wayahudi wa Israel
 
Ila Kinshasa pako vizuri kuliko Dar. Barabara na majengo yako safi
Barabara tu ndio zipo safi na zenye quality nzuri pamoja mpangilio mzuri wa majengo kama ilivyo Dodoma City..
Lakini hawana majengo ya skyscraper kama yaliyopo Dar es salaam,Five star hotels sio nyingi kama zile zilizopo Dar es salaam,innovative infrasturctures kama Standard Railways,Flyovers(iliyopo Congo ni ile ya pompage ambayo inafanana na outer ring ya kuingilia bahari ya hindi pale kurasini),Rapid Bus systems na suspension bridges hakuna kama zile zilizopo Dar es salaam..na nje ya mji watu wanaishi kwa umaskini wa kutupwa
 
Asante Kwa taarifa,sijafika Burundi Wala Sina mpango wa kwenda huko.
Nilikuwa naamini Burundi ni kuchafu Sasa umenikazia maarifa .
By the way Africa Kuna nchi masikini sana ukifika tashangaa
1) central Africa
2)Togo
3) Mozambique ( hasa northern party)
4) Burkina Faso Kwa kina Aziz ki
5)Chad
6) DRC
7) Madagascar
8) Mali
9) Niger
10) Eritrea
11)congo Brazzaville
12) sudani kusini
13)Ethiopia ( usione Wana midege,ni malofa haswa)
14) Benin
15)Liberia
...........
Yaani katika nhi zote hizi,nina mpango wa kwenda Eritrea TU,tena kwasababu zangu "binafsi".
Kwingine ushubwada mtupu!
 
h

haikuandikwa alipita tajiri wala haikuandikwa masikini walipita pembeni kasme vizuri
Brother yule alipita na punda zake alikua Tajiri mapesa, akamhudumia na akaenda hotel akalipia gharama zote za hotel na gharama za matibabu atibiwe hadi apone, sijasema kusema kwamba masikini hawana thamani ninachomaanisha umasikini sio mzuri na ndicho alichomaanisha Yesu kwa Mungu hawaendi waliomasikini wa Roho na Nafsi tu, maana hapa utaniambia ule msemo wa 'kheri masikini wa Roho maana ufalme wa Mungu ni wao', tajiri wa Roho na Nafsi pia anaenda mbinguni ufalme wa Mungu sio wa material thing's Roho haiwezi kubeba kabati Ila Mwili unaweza kubeba kabati
 
Salum Bitchuka! Muasisi wa Taifa la Burundi! ( wapigania Uhuru )

Alafu kuna Mtanzania ndio aliyeandika Barua ya Kuomba Uhuru wa Burundi ntaambatanisha picha zao muda si Mrefu
Mhhhh! Taratubu kaka. Ya kweli hayo ? Kwamba huyo Mzee Salum ndie muasisi wa Burundi?
 
Jamaa ahahaha unamentality ya kimasikini sana kwanini mkuu? Hata jef ni myahudi ila haamini dini yeyote, sisem Mungu hayupo ila nawashangaaga sana walokole wanaasema wana mungu ila ndio mnaongoza kwa majungu na kuwasema wengine kama vile MUNGU KAWAAGIZA MUWAAMBIE WATU THEY WILL GO TO HELL, WHY ARE YOU SO JUDGMENTAL? Kwanini walokole huwa mpo hivyo... Mungu ni wa wote mzee,
Ndo maan nasema shetani kakuekea huyo bezos ili umuabudu na umuache Mungu nyinyi waafrica huwa wepesi kutolea mfano kuwa fulani mbona hana mkono ila ana ela. Kwenu nynyi nje ya mali hamuoni value ya maisha. Nkuulize swali moja hapa. Kama unaukataa ushoga kwanini steve jobs ni shoga na ana hela? Kwann familia ya kina kim Kardashian ina hela lakini watoto wanajiuza na baba yao kajibadilisha jinsia kawa wa kike? Kwanini na wewe usiwe shoga maana kuna watu mashoga na wana hela? Hata huyo bezos mwenyewe unaemwabudu hatoi misaada ila huwa anapeleka hela kwenya mashirika ya mashoga tu(philanthropist).Msiwe mna assume vitu eti mbona fulani hafanyi hichi ila ana hela.
 
Mkuu kusali lazima uende kanisani? Umewah kwenda ulaya mkuu? Makanisa yao yanajaza kama huku?, na ndio zilipoanzia dini mzee nenda alafu urud ndio uje uwajudge watu, sijui club sijui mpira, yan jamaa hadi kuangalia MAYELE ANATETEMA NI DHAMBI 😂😂😂, WALOKOLE THIS IS TOO MUCH,
Na ulaya ndo uliposhamiri ushoga kwahiyo unataka tuige nalo tuwe na ela si ndiyo? Halafu hata tanzania kuna makanisa watu hawajai ila naweza nkakuletea picha hapa makanisa hayo hayo ya ulaya yanavyojaa.angalia hapo chini ni baadhi tu. Halafu bible inasema wazi kuwa njia ya mbinguni ni nyembamba na waingiao wachache ila ya upotevuni ni pana na waingiao wengi. Nyinyi mmejiwekea binadamu kama miungu yenu sababu mnaabudu wenye mali ila tuwaambie tu hao wenzenu kuna mambo wanayaabudu yako wazi. Pfizer msimu wa corona kapiga 50b$ ila mwaka jana kasponsor show ya kishetani chini ya shoga maarufu Sam Smith na kwenye caption waliandika we are ready to worship. We endelea kuwaabudu hao utaona mwisho wake ni nini.
 

Attachments

  • Screenshot_20230503-225043_Chrome.jpg
    Screenshot_20230503-225043_Chrome.jpg
    310.9 KB · Views: 11
  • Screenshot_20230503-225329_Chrome.jpg
    Screenshot_20230503-225329_Chrome.jpg
    251.6 KB · Views: 10
Mkuu kusali lazima uende kanisani? Umewah kwenda ulaya mkuu? Makanisa yao yanajaza kama huku?, na ndio zilipoanzia dini mzee nenda alafu urud ndio uje uwajudge watu, sijui club sijui mpira, yan jamaa hadi kuangalia MAYELE ANATETEMA NI DHAMBI 😂😂😂, WALOKOLE THIS IS TOO MUCH,
Wewe hujui kuwa mpira ni dhambi ndiyo. Kuna mtu anaesali anatakiwa kucheza kamali? Serikali ya marekani tu haitaki kamali hadharani. Timu za mpira zinatangaza makampuni ya kamali kampuni za pombe kampuni za soda zinaoshabikia unafiki chuki na wivu dhidi watu. Ndo maan nasema wewe unaabudu mali na pia ni kwasbabu huna ila ungekuwa nazo nahisi ungejua kuwa sio kitu cha kuabudu maan wapo walionazo na sio kwamba mateso yameisha. Mbona kuna wagunduzi wakubwa hawakuwa na mali nyingi unajua kwanini? Kuabudu mali haimaanishi ndo utaipata ndo maan maatheist wengi wa bongo huwa mnawakimbilia akina musk sijui bezos. Nani kakwambia tajiri lazima atangazwe kwenye media za magharibi kwanza tunanzie hapo.
 
Wewe hujui kuwa mpira ni dhambi ndiyo. Kuna mtu anaesali anatakiwa kucheza kamali? Serikali ya marekani tu haitaki kamali hadharani. Timu za mpira zinatangaza makampuni ya kamali kampuni za pombe kampuni za soda zinaoshabikia unafiki chuki na wivu dhidi watu. Ndo maan nasema wewe unaabudu mali na pia ni kwasbabu huna ila ungekuwa nazo nahisi ungejua kuwa sio kitu cha kuabudu maan wapo walionazo na sio kwamba mateso yameisha. Mbona kuna wagunduzi wakubwa hawakuwa na mali nyingi unajua kwanini? Kuabudu mali haimaanishi ndo utaipata ndo maan maatheist wengi wa bongo huwa mnawakimbilia akina musk sijui bezos. Nani kakwambia tajiri lazima atangazwe kwenye media za magharibi kwanza tunanzie hapo.
Wazungu ndio walileta dini huku alafu unawakubali na kuwakataa hapo hapo hebu fikirisha ubongo na wewe dini zote zilikuja na meli mzee..
 
Wazungu ndio walileta dini huku alafu unawakubali na kuwakataa hapo hapo hebu fikirisha ubongo na wewe dini zote zilikuja na meli mzee..
Elezea ni kwanini dini inaleta umasikini? Wewe mwenyewe tu unakataa dini kuwa ililetwa mbona ushobokea mambo yao mengine. Je ni kwa nyanja ipi dni inaleta umasikini? Sadaka au mtazamo au muda taja na ulete uthibitisho wa mistari.
 
Ndo maan nasema shetani kakuekea huyo bezos ili umuabudu na umuache Mungu nyinyi waafrica huwa wepesi kutolea mfano kuwa fulani mbona hana mkono ila ana ela. Kwenu nynyi nje ya mali hamuoni value ya maisha. Nkuulize swali moja hapa. Kama unaukataa ushoga kwanini steve jobs ni shoga na ana hela? Kwann familia ya kina kim Kardashian ina hela lakini watoto wanajiuza na baba yao kajibadilisha jinsia kawa wa kike? Kwanini na wewe usiwe shoga maana kuna watu mashoga na wana hela? Hata huyo bezos mwenyewe unaemwabudu hatoi misaada ila huwa anapeleka hela kwenya mashirika ya mashoga tu(philanthropist).Msiwe mna assume vitu eti mbona fulani hafanyi hichi ila ana hela.
Mkuu sikujui na wewe hunijui, ila unapoteza muda mwingi kufuatilia hao mashoga na ushoga wao na wametoa wapi hela and all that, huu muda ungeinvest kwenye mambo mengine ungekuwa mbali sana, alafu kingine ni why do you hate all people ambao wako na opinion tofauti na wewe?, kipi sio dhambi hapa duniani? Narudia tena kwanini ninyi walokole mna majungu sana, why do you think ninyi ni perfect sana?, mtu akiwa tajiri anaabudu shetani, akiwa maskini unasema anaabudu wenye hela na kwasababu wenye hela wanaabudu shetani nae pia anakuwa anaabudu shetani, we jamaa una mentality ya kimaskini na inakutafuna vibaya mno, sisi pia tuna Mungu tunasali na tunafanya maisha, kuwa tajiri sio dhambi, dhambi nikupiga majungu haya unayopiga na mbinguni huwez kwenda mkuu kwa majungu yako haya...
 
Elezea ni kwanini dini inaleta umasikini? Wewe mwenyewe tu unakataa dini kuwa ililetwa mbona ushobokea mambo yao mengine. Je ni kwa nyanja ipi dni inaleta umasikini? Sadaka au mtazamo au muda taja na ulete uthibitisho wa mistari.
Mimi kunasehemu nimesema dini inaleta umaskini? We jamaa are you insane? Are you talking to me au mtu mwingine?
 
Mkuu sikujui na wewe hunijui, ila unapoteza muda mwingi kufuatilia hao mashoga na ushoga wao na wametoa wapi hela and all that, huu muda ungeinvest kwenye mambo mengine ungekuwa mbali sana, alafu kingine ni why do you hate all people ambao wako na opinion tofauti na wewe?, kipi sio dhambi hapa duniani? Narudia tena kwanini ninyi walokole mna majungu sana, why do you think ninyi ni perfect sana?, mtu akiwa tajiri anaabudu shetani, akiwa maskini unasema anaabudu wenye hela na kwasababu wenye hela wanaabudu shetani nae pia anakuwa anaabudu shetani, we jamaa una mentality ya kimaskini na inakutafuna vibaya mno, sisi pia tuna Mungu tunasali na tunafanya maisha, kuwa tajiri sio dhambi, dhambi nikupiga majungu haya unayopiga na mbinguni huwez kwenda mkuu kwa majungu yako haya...
Wewe nimekuona uko radhi kupata mali hata kwa kujidharirisha sababu unawashobokea watu wanaotaka kuutoa hadi utu wako. Hawa jamaa wanathibitisha sasa unabisha nini. Pfizer baad ya kuwapiga nyinyi waafrica ndo wakaenda kudhamini ushetani wa grammy. Ila wewe kutoa sadaka kanisani ambayo inaweza saidia hata ndugu zako unaona unaonewa. Hao unaowashobokea wakusanyaji wa mabillion ya pesa na ndoto za kijinga kwenda sijui mwezini wakati watu wanakufa njaa na majanga yaliyopo duniani. Hao ni mashetani na hyo ni fact na kama wewe unaona tabia zao ndo nzuri unakuwa ni mmoja wao tu.
 
Back
Top Bottom