Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Kwanini Africa ndio kuna umasikini wakutupwa kuliko Europe? Wake up man, nan kakudanganya ukiwa na mihela kama Mo ugawe kama njugu, yan wewe din yao unaipenda alafu wao unawaponda, hauna kitu utasema nitaelewa, yan wewe unasikfia kuwa broke? Tutafute hela mzee me mwenzio nachukia umasikini na nafanya kazi kweli kweli na nikiflex kwa vitu Mungu ameamua kunipa its all blessings MUNGU HAPEND TUWE MASKINI ALAFU TUANZE KULIA LIA ALAFU TUWE WACHAMBUZ WA DINI KAMA WEWE ALAFU TUANZE KUWAPONDA WATU WENGINE MUNGU HAPENDI WATU KAMA WEWE, UTAKUWA UNAITESA SANA JAMII YAKO, tufanye kazi kwa nguvu hayo majungu yako utaendelea kuwa broke forever hayakusaidii kitu mzee... WORK HARD GOD WILL SEE NA UTAONA OUTCOME.. MUNGU HAPEND TUWE OMBA OMBA MZEE....
Umeona sasa ulivo mtu wa ajabu mpaka hapa. Humu tunatumia id fake unajuaje kama mimi ni broke na sifanyi kazi mpaka umeconclude kabisa. Halafu wewe unasema eti dini ya wazungu unajua hata historia za dunia kweli? Biblia kabla ya kutafsriwa kiingereza ilikuwa katika kiarmaic ambacho wanaongea wayahudi waliokuwa chini ya koloni la rumi sasa unasemaje dini ni ya wazungu unaowataja wewe. Unatak kujua kwann africa masikini kuliko europe sababu wewe muafrica umuabudu mzungu akuburuze shimoni mwa moto huyo ni baba yao shetani ndo anapanga hivo. Bila uwizi uliofanyika africa miaka hiyo wazungu ela wangetoa wapi hizo nyingi? Halafu kwani africa nzima inasali mbona wale watu wa vijijini waliokuwa wanaabudu nyoka pale geita wanaonekana hali zao ziko duni kwanini useme dini ndo imeleta umasikini.
 
We jamaa you have a long way to go, Wake up man, MUNGU HAPENDI WAPIGA MAJUNGU KAMA WEWE, chill mzee kuwa na pesa sio dhambi na pesa haijifich sio lazima utangaziwe, mkuu upo kijiji gani? Umewah ku excel kwenye kusafiri kwenye miji mikubwa kama London, NYC? mkuu unawasimika wazungu wakati wewe unaishi kwa miundombinu yao asilimia 99.9. We jamaa wewe eti kuna wakati ulisema mpira dhambi, no offense ila watu wengine mlokulia vijijini mkija mjini mnakuwa wajuaji sana, wapi kwenye bible walisema mpira dhambi?
hivi kati ya mimi na wewe hapo nani ambae hafikirii vizuri. Mimi nikiwa na muuaji nimemuajiri kutimiza mauaji fulani je mimi sijahusika kwenye hayo mauaji? Na nyinyi wa mjini ndo mliotuletea hata laana ya ushoga hapa bongo sababu mnashobokea mali za watu hata kama zinawavua nguo na cha ajabu mmeishia kuwa watu wa hovyo. Halafu wewe katika process nzima ya miundombinu unayosema unajua imani za watu kwa asilimia ngapi? Halafu hyo miji unayoitaja ndo inaongoza kwa parade za LGBTQI duniani kwanini usiige na hilo ili uwe tajiri kwanini umelishika la kwamba hawasali tu. Eti niwashukuru wazungu hivi wewe si ndo mtumwa ndo maan nchi haiendelei yani mtu anakuibia hadi leo anakuletea kijibara bara amacho hata hakidumu halafu eti umshukuru.
 
Umeona sasa ulivo mtu wa ajabu mpaka hapa. Humu tunatumia id fake unajuaje kama mimi ni broke na sifanyi kazi mpaka umeconclude kabisa. Halafu wewe unasema eti dini ya wazungu unajua hata historia za dunia kweli? Biblia kabla ya kutafsriwa kiingereza ilikuwa katika kiarmaic ambacho wanaongea wayahudi waliokuwa chini ya koloni la rumi sasa unasemaje dini ni ya wazungu unaowataja wewe. Unatak kujua kwann africa masikini kuliko europe sababu wewe muafrica umuabudu mzungu akuburuze shimoni mwa moto huyo ni baba yao shetani ndo anapanga hivo. Bila uwizi uliofanyika africa miaka hiyo wazungu ela wangetoa wapi hizo nyingi? Halafu kwani africa nzima inasali mbona wale watu wa vijijini waliokuwa wanaabudu nyoka pale geita wanaonekana hali zao ziko duni kwanini useme dini ndo imeleta umasikini.
Sijasema wewe ni broke, nimesema kama mtu ni broke dawa ni kufanya kazi, we mzee mbona huelewi, nimesema kuwa broke sio sifa mkuu, anyways watu weupe wote me nawaitaga wazungu, alafu wayahudi wenyewe sio wakristo mkuu i have a Jewish friend mzee nimekuwa nae he is my childhood friend. Najua mambo mengi ya Jewish people
 
hivi kati ya mimi na wewe hapo nani ambae hafikirii vizuri. Mimi nikiwa na muuaji nimemuajiri kutimiza mauaji fulani je mimi sijahusika kwenye hayo mauaji? Na nyinyi wa mjini ndo mliotuletea hata laana ya ushoga hapa bongo sababu mnashobokea mali za watu hata kama zinawavua nguo na cha ajabu mmeishia kuwa watu wa hovyo. Halafu wewe katika process nzima ya miundombinu unayosema unajua imani za watu kwa asilimia ngapi? Halafu hyo miji unayoitaja ndo inaongoza kwa parade za LGBTQI duniani kwanini usiige na hilo ili uwe tajiri kwanini umelishika la kwamba hawasali tu. Eti niwashukuru wazungu hivi wewe si ndo mtumwa ndo maan nchi haiendelei yani mtu anakuibia hadi leo anakuletea kijibara bara amacho hata hakidumu halafu eti umshukuru.
Nchi haiendelei kwasababu watu hawataki kufanya kazi na sio bla bla unazoleta wewe hapa, acha uwongo Mungu waongo kama wewe anawachoma na moto mkali, usidanganye watu...
 
hivi kati ya mimi na wewe hapo nani ambae hafikirii vizuri. Mimi nikiwa na muuaji nimemuajiri kutimiza mauaji fulani je mimi sijahusika kwenye hayo mauaji? Na nyinyi wa mjini ndo mliotuletea hata laana ya ushoga hapa bongo sababu mnashobokea mali za watu hata kama zinawavua nguo na cha ajabu mmeishia kuwa watu wa hovyo. Halafu wewe katika process nzima ya miundombinu unayosema unajua imani za watu kwa asilimia ngapi? Halafu hyo miji unayoitaja ndo inaongoza kwa parade za LGBTQI duniani kwanini usiige na hilo ili uwe tajiri kwanini umelishika la kwamba hawasali tu. Eti niwashukuru wazungu hivi wewe si ndo mtumwa ndo maan nchi haiendelei yani mtu anakuibia hadi leo anakuletea kijibara bara amacho hata hakidumu halafu eti umshukuru.
Id yako yenyewe umejipa jina la watu wa West ahahaha upo vugu vugu mzee huwez kwenda mbinguni na hiyo attitude yako... YOU ARE GOING TO HELL... janatul Firdaus utaisikia tu wewe
 
Sijasema wewe ni broke, nimesema kama mtu ni broke dawa ni kufanya kazi, we mzee mbona huelewi, nimesema kuwa broke sio sifa mkuu, anyways watu weupe wote me nawaitaga wazungu, alafu wayahudi wenyewe sio wakristo mkuu i have a Jewish friend mzee nimekuwa nae he is my childhood friend. Najua mambo mengi ya Jewish people
Kwahyo Mussa hakuwa myahudi? Yesu hajazaliwa kwa wayahudi? Akina Petro hawakuwa wayahudi? Mbona unaongea vitu general sana mzee. Unasema dawa kufanya kazi hata bible imeandika asiefanya kazi na asile sasa wewe kwanini unaassume mtu akisali hatakiwi kufanya kazi. Wapi wameandika nioneshe kifungu ambacho kinasema wakristo wasifanye kazi wasali tu?
 
Nchi haiendelei kwasababu watu hawataki kufanya kazi na sio bla bla unazoleta wewe hapa, acha uwongo Mungu waongo kama wewe anawachoma na moto mkali, usidanganye watu...
Hao unaowaabudu maabara zao wanafund billions of money. Nioneshe wapi serikali kweny utafiti iliweka mpunga wa kiasi ambacho serikali ya marekani iliweka pale NASA kushusha chombo mars. Mzee africa kama dini ililetwa ilitakiwa itukute matajiri basi kwanza maan si hazikuepo. Halafu unasema eti wazungu walileta dini kwa africa hujui hata historia naona waliokuwa wanauza wenzao walikuepo machifu walioletewa golori chumvi na sukari na vioo. Halafu waafrica hawakuletewa dini maan wazungu walikuwa nd wanaosali kwenye hayo makanisa na hakuna mweusi aliekuw anaingia ila waafrica waliadapt dini ili kupata tumaini jipya sasa unasemaje dini uliletewa ndo ukawa masikini. Nilikuambia elezea hapa dini kitu gani inachoagiza kinaleta umasikini hapa. Je ni sadaka au zaka au muda au imani au ni kitu gani?
 
Kwahyo Mussa hakuwa myahudi? Yesu hajazaliwa kwa wayahudi? Akina Petro hawakuwa wayahudi? Mbona unaongea vitu general sana mzee. Unasema dawa kufanya kazi hata bible imeandika asiefanya kazi na asile sasa wewe kwanini unaassume mtu akisali hatakiwi kufanya kazi. Wapi wameandika nioneshe kifungu ambacho kinasema wakristo wasifanye kazi wasali tu?
Nimesema watu wasifanye kazi? Nimekwambia wayahudi tunaowajua sisi sio wakristo, Musa alivyokuwepo ulikuwepo? Yesu aliandika bilblia? Mkuu mbona na sisi tunajua mambo mengi tu ya dini na ni wakristo, na unaweza ukawa mkristo na unadhambi tu kama wewe hapo dhambi hizo zitatoka ukibadilisha hiyo mentality yako, wewe wadanganye tu watu mtaani kwako, kusali sio lazima uende kanisani hata nyumbani unasali tu vizuri, kila kitu ni self explanatory... Watu kama ninyi Mungu atawachoma moto
 
Wabongo bana, kila mkikaribishwa kwenye nchi za watu mnakusanya mabaya tu.

Na ndio maana Waafrika tuna kasoro kubwa sana, badala utumie nguvu zote hizi kuainisha au kuorodhesha fursa ambazo wenzako wanaweza wakaja Burundi kuzichangamkia, wewe muda wote umetafuta mabaya tu.
Umesema ukweli wabongo ni makima sana wao ni kuponda tu
 
Yaani unaifananisha TZ na Burundi??
Uko serious kweli?!.
Hii nchi kama sio uongozi mbovu tulipaswa kuwa sawa na Afrika Kusini au hata zaidi yao kiuchumi barani Afrika!.
 
Brother yule alipita na punda zake alikua Tajiri mapesa, akamhudumia na akaenda hotel akalipia gharama zote za hotel na gharama za matibabu atibiwe hadi apone, sijasema kusema kwamba masikini hawana thamani ninachomaanisha umasikini sio mzuri na ndicho alichomaanisha Yesu kwa Mungu hawaendi waliomasikini wa Roho na Nafsi tu, maana hapa utaniambia ule msemo wa 'kheri masikini wa Roho maana ufalme wa Mungu ni wao', tajiri wa Roho na Nafsi pia anaenda mbinguni ufalme wa Mungu sio wa material thing's Roho haiwezi kubeba kabati Ila Mwili unaweza kubeba kabati
CONCERN YANGU NI HAIKUANDIKWA ALIPITA TAJIRI AKAFANYA JAMBO AU WALIPITA MASIKINI WAKAPITA PEMBENI, SIJAKATAA KWAMBA TAJIRI ALIFANYA JAMBO JEMA ILA NI KWAMBA HAYO MANENO ALIPITA TAJIRI UMEJIONGEZA LABDA KWA KUWA ALILIPA HOTELI NA MATIBABU NDIO MAANA UKAHISI NI TAJIRI
 
Nimesema watu wasifanye kazi? Nimekwambia wayahudi tunaowajua sisi sio wakristo, Musa alivyokuwepo ulikuwepo? Yesu aliandika bilblia? Mkuu mbona na sisi tunajua mambo mengi tu ya dini na ni wakristo, na unaweza ukawa mkristo na unadhambi tu kama wewe hapo dhambi hizo zitatoka ukibadilisha hiyo mentality yako, wewe wadanganye tu watu mtaani kwako, kusali sio lazima uende kanisani hata nyumbani unasali tu vizuri, kila kitu ni self explanatory... Watu kama ninyi Mungu atawachoma moto
Yani Mungu aagize watu wakusanyike kwamba walio wawili watatu niko kati kati yao anichome moto kisa nasema watu wakusanyike kumuabudu duu basi hapo acha niende tu motoni. Wewe umekariri sio kwasababu kuna waafrica ni wachaga na wamasai ukasema eti waafrica sio wamasai ni wachaga hivi unakilewa unachokizungumza kweli? Wewe umemtaja myahudi rafiki yako kuwa sio mkristo sawa sijakataa na mimi nimekutajia kuwa mbona mtume paulo ni myahudi na ni mkristo yani wewe kinachokunyanganya sijui ni lugha au rangi hata sielewi kitu gani.
 
Hahahahaaa,umenikumbusha,jana nilikuwa na mgeni wangu,Mr mousa kutoka Bangui.anasema kwao ni balaa,kuna ndege hizi za kirusi sukoi,zinashuka uwanjani kwa kutumia tochi, uwanjani hakuna taa,ndege ikikaribia mtu anawasha tochi kubwa na kutoa ishara. Nilicheka na kushangaa sana.
[emoji3][emoji3]
 
Rwanda ni kweli kabisa, wanajibrand tu ila kiukweli bado wako nyuma sana. Hapo kigali penyewe wanapopasifia ni ka sehemu kadogo tu hata Kariakoo kubwa. Nenda toka huko vijijini pamechoka sana watu maskini wa kutupa. Tusibeze bongo, tupo vizuri sana wakuu.West Africa ni mijini tu, vijijini na miji ya nje pako hoi. Mie naona kwa East Afrika tukiangalia kwa ujumla wake vijijini na mijini. Bongo ni namba 1 kwa hali nzuri. Ni mawazo yangu hayo.
Maana kutoka Mkuranga hadi Kibaha, Kerege, Pugu pote huko pameendelea
 
Aliemzika Yesu alikua ni Tajiri wa Kutupwa masikini walishindwa kumzika Yesu sababu ya Gharama za Mazishi hazikua ndogo na hata kaburi lake lilikua la Nyota 5 sio makaburi ya kapuku km lile alilomfufua Razaro

Yesu pia kuna pahala anawasimulia wanafunzi na makutano juu ya mtu alievamiwa na majambazi na kujeruhiwa vibaya Ila walipita watu wa kanisa wakuu wa Makuhani wakapita kando, walipita wazee wa Busara wakapita kando wasimsaidie Ila akapita Tajiri mmoja akiwa na punda zake akamsaidia kwa kumpa huduma ya kwanza majeraha yake na pia akampeleka hotelini akalipia apewe matibabu hadi pale atakapopona, yaan Tajiri alilipa gharama zote jamaa atibiwe mpaka apone pamoja na kwamba alikua hamjui ilihali masikini walimkimbia jamaa hawakumuokoa sababu ya kukimbia gharama

Umeelewa maana ya hio hadithi ilimaanisha nini ?

Ulisoma mstari upi wa biblia ? please tuwekee ushahidi wa aya
 
Asante Kwa taarifa,sijafika Burundi Wala Sina mpango wa kwenda huko.
Nilikuwa naamini Burundi ni kuchafu Sasa umenikazia maarifa .
By the way Africa Kuna nchi masikini sana ukifika tashangaa
1) central Africa
2)Togo
3) Mozambique ( hasa northern party)
4) Burkina Faso Kwa kina Aziz ki
5)Chad
6) DRC
7) Madagascar
8) Mali
9) Niger
10) Eritrea
11)congo Brazzaville
12) sudani kusini
13)Ethiopia ( usione Wana midege,ni malofa haswa)
14) Benin
15)Liberia
...........

Kumbe TZ ni tajiri sana


 
Back
Top Bottom