Umeona sasa ulivo mtu wa ajabu mpaka hapa. Humu tunatumia id fake unajuaje kama mimi ni broke na sifanyi kazi mpaka umeconclude kabisa. Halafu wewe unasema eti dini ya wazungu unajua hata historia za dunia kweli? Biblia kabla ya kutafsriwa kiingereza ilikuwa katika kiarmaic ambacho wanaongea wayahudi waliokuwa chini ya koloni la rumi sasa unasemaje dini ni ya wazungu unaowataja wewe. Unatak kujua kwann africa masikini kuliko europe sababu wewe muafrica umuabudu mzungu akuburuze shimoni mwa moto huyo ni baba yao shetani ndo anapanga hivo. Bila uwizi uliofanyika africa miaka hiyo wazungu ela wangetoa wapi hizo nyingi? Halafu kwani africa nzima inasali mbona wale watu wa vijijini waliokuwa wanaabudu nyoka pale geita wanaonekana hali zao ziko duni kwanini useme dini ndo imeleta umasikini.Kwanini Africa ndio kuna umasikini wakutupwa kuliko Europe? Wake up man, nan kakudanganya ukiwa na mihela kama Mo ugawe kama njugu, yan wewe din yao unaipenda alafu wao unawaponda, hauna kitu utasema nitaelewa, yan wewe unasikfia kuwa broke? Tutafute hela mzee me mwenzio nachukia umasikini na nafanya kazi kweli kweli na nikiflex kwa vitu Mungu ameamua kunipa its all blessings MUNGU HAPEND TUWE MASKINI ALAFU TUANZE KULIA LIA ALAFU TUWE WACHAMBUZ WA DINI KAMA WEWE ALAFU TUANZE KUWAPONDA WATU WENGINE MUNGU HAPENDI WATU KAMA WEWE, UTAKUWA UNAITESA SANA JAMII YAKO, tufanye kazi kwa nguvu hayo majungu yako utaendelea kuwa broke forever hayakusaidii kitu mzee... WORK HARD GOD WILL SEE NA UTAONA OUTCOME.. MUNGU HAPEND TUWE OMBA OMBA MZEE....