We levels zako ni post kutoka twitter, mada km hizi huziwezi...Kuna chuki gani hapo?
Kuambiwa ukweli ndio chuki?
Mkishindwa kujadili mada mnaanza kusema sijui mnachukiwa,
Ingependeza Sana ungejadili mada husika na sio kuingiza mambo yasiyohitajika.
Tuonyeshe hicho chakula kimegawanyizwa wapi tangia kiletweUwezo wenu wa kufikiri ni mdogo mnoo na ni madhara ya kutumia makwapa kufikiri,
Unajisifu unalima na wakati bila chakula cha msaada mambo hayaendi,
Hii tweet ina ukweli mchungu.
Uniliver tu ndio inafanya useme eti huyo dikteta alikuwa mzuri kwa uchumi wetu? Hivi unajua uchumi wetu ulikuwa unakua kwa asilimia moja au asilimia sufuri. Yaani uchumi haukuwi hata kidogo. Pia 1990s tulipigwa sanctions na America. Uchumi ukadorora, tukakosa foreign exchange, hata tukaingia kwenye recession (yaani uchumi unaanza kupungua badala ya kuongezeka)
Hadi muda huu hakuna mkenya aliweza kujadili hii mada zaidi ya kutoka nje ya mada kama wewe.We levels zako ni post kutoka twitter, mada km hizi huziwezi...
Umeona wanvyojadili mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachoonekana kwenye hiyo ramani kiko tofauti na hali halisi on the ground.. NBY ni kama kijiji kimoja kikuubwa, sawa tu na MBY.Vigezo gani unatumia kupima maana nijuavyo Kenya ni kainchi kadogo bila madini wala raslimali na zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini kanaongoza kiuchumi na kushinda liinchi kama Tanzania ambalo lenyewe ni muungano wa mataifa mawili na lina rotuba nzuri kila mahali na madini kote kote na kila kitu kizuri, ila lenyewe maskini wa kutupwa.
Sasa wewe hapo mwananchi wa nchi kama hiyo maskini unatumia vigezo gani kuja kujilinganisha na Kenya.
Ona Kenya ilivyo na upweke kwenye hi ramani
View attachment 1307857
Maskini, mafuta yanwafanya wapate nini sasa...Mafuta hayazifanyi ziwape chakula, kwanini Namibia haipati msaada wa chakula wakati 90% ya ardhi yao ni jangwa la Kalahari?. Ninyi ni wazembe acheni kuwa na sababu tele
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhyo wewe unataka kuilinganisha tanzania na qatar[emoji122][emoji122][emoji122]Mwingine huyu kakubali kuwa kenya ni fukara.
Unashinda uki post tweets hku, hazitokusaidia kuufuta ukwel jomba...Mkishindwa kujadili mada mnaanza kusema sijui mnachukiwa mara chuki,
Jadili mada Ukishindwa rudi kwenye jukwaa la udaku kule.
Leta hata tweet ya mkenya basi huenda nikakuaminiMada Kama hizi wenye akili fupi kama yako hamuwezi bora uende jukwa la udaku.
Angalia hii video.
Naona umeanza kujisema sasa jamaa la tweets...Hadi muda huu hakuna mkenya aliweza kujadili hii mada zaidi ya kutoka nje ya mada kama wewe.
Nenda kw battle kule ukajione cbd ya darKinachoonekana kwenye hiyo ramani kiko tofauti na hali halisi on the ground.. NBY ni kama kijiji kimoja kikuubwa, sawa tu na MBY.
Lete data za constriction, transportation na agriculture sectors za 2018/2019 muone jinsi tulivyowatupa kwa mbali sanaNi sekta gani ya kiuchumi isipokuwa Mining na Tourism ambayo Tanzania mmetushinda? Hata hiyo Agriculture sidhani kama mmetushinda. Service industry tumewagonga. Manufacturing tumewagonga. Real estate tumewagonga. ICT tumewagonga. Transportation tumewagonga. Retail tumewagonga. Roads and other infrastructure tumewagonga. Sasa ni uchumi gani huo wa ujambazi unaotaja hapa?
Kwa sababu kupendi kusoma ukweli lazima uandike hivyo,Unashinda uki post tweets hku, hazitokusaidia kuufuta ukwel jomba...
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umeshaleta maeneo tayari watu wakigawanyiwa[emoji122][emoji122]Angalia hii video.
Tweet mimi zitanisaidia na nn, yani mimi nifwatilie post za mwanaume mwenzangu kisa nataka kuwafurahisha wajinga...neverKwa sababu kupendi kusoma ukweli lazima uandike hivyo,
Naona Umeshindwa hata kuona link ya article kwenye hiyo tweet ili uingine ujisomee.
Haziwezi kubadilisha hali kuwa maisha ya wakenya ni magumu.Naona umeanza kujisema sasa jamaa la tweets...
Endelea ku post hzo screenshots halafu uone km zitabadilisha maisha yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimeandikwa ukweli mtupu ndio maana hupendi kuzisoma.Tweet mimi zitanisaidia na nn, yani mimi nifwatilie post za mwanaume mwenzangu kisa nataka kuwafurahisha wajinga...never
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheee!!kuna uzi wa hii mada upo, naona umeukwepa ..au nikuletee link ukajisomee ukituliaHaziwezi kubadilisha hali kuwa maisha ya wakenya ni magumu.
Heheee!!kuna uzi wa hii mada upo, naona umeukwepa ..au nikuletee link ukajisomee ukitulia
Sent using Jamii Forums mobile app