cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaah wee thubutuu lolSisi tunaoita magari ya wenzetu kwamba ni ya mkopo, ndio ambao hatujawahi kumiliki hata baiskeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaah wee thubutuu lolSisi tunaoita magari ya wenzetu kwamba ni ya mkopo, ndio ambao hatujawahi kumiliki hata baiskeli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini sasa akati watu wana enjoy trip na hiyo ndinga.pamoja na kwamba sina gari ila naungana na brother buji kusema passo hamna gari mule [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina tatizo gani kwanipamoja na kwamba sina gari ila naungana na brother buji kusema passo hamna gari mule [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu inawezekana uko sahihi, nilikuwa nakagua kadi nimebaini ni 1NZ na sio 2NZ kama nilivyodhani.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hamnaga raum ya 2NZ mzee
2NZ ni 1300cc hio engine iko kwenye Porte,Ist na baadhi ya Vitz. Ila haipo kwenye line ya Raum kabisa.mkuu inawezekana uko sahihi, nilikuwa nakagua kadi nimebaini ni 1NZ na sio 2NZ kama nilivyodhani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani!Passo sio gari ni mkokoteni uliochangamka
lakini hii ni 1490 cc, hapo ikoje mkuu1NZ ni 1300cc hio engine iko kwenye Porte,Ist na baadhi ya Vitz. Ila haipo kwenye line ya Raum kabisa.
Nimechapia hapo nilimaanisha 2NZ yenye 1300cc ndio iko kwenye hizo gari!lakini hii ni 1490 cc, hapo ikoje mkuu
1NZ ni 1,490cc sawa na 1,500 cc1NZ ni 1300cc hio engine iko kwenye Porte,Ist na baadhi ya Vitz. Ila haipo kwenye line ya Raum kabisa.
Kwa hiyo ni kama 2NZ ni ndogo kwa 1NZ ?Nimechapia hapo nilimaanisha 2NZ yenye 1300cc ndio iko kwenye hizo gari!
Ndio mkuu!Kwa hiyo ni kama 2NZ ni ndogo kwa 1NZ ?
jichange tu uchukue ist mkuuIna tatizo gani kwani
Nataka nichukuwe kwa sababu ya unafuu wa bei
passo nzuri ikiwa mpya tu mkuu ila ikianza kuchoka alafu ikawa chafu daah na vile ina interior mbaya [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini sasa akati watu wana enjoy trip na hiyo ndinga.
kaka passo wametoa new model iyo inaitwa passo settle ina cc 1290 hivyo wameboresha kidogopamoja na kwamba sina gari ila naungana na brother buji kusema passo hamna gari mule [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari nzuri kama walivosema wadau apoo juu ina space ndaniVp kuhusu TOYOTA RAUM naomba kwa anayeijua vizuri anipe moja mbili zake
hii new model inaonekana kuwa bomba sema bei zake zitakuwa juu sasa itakuwa haina tena ile maana ya kwamba mtu ananunua kwasababu ya bei ya chini .kaka passo wametoa new model iyo inaitwa passo settle ina cc 1290 hivyo wameboresha kidogo View attachment 2144096
View attachment 2144096
kuna bro mmoja nae gari yake inamsumbua sana huo mlango yaonekana ni changamoto kwa gari zote basiGari nzuri kama walivosema wadau apoo juu ina space ndani
Changamoto yake labda tu mlango wa kushoto nyuma ni rahisi sana kuharibika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Passo sio gari ni mkokoteni uliochangamka