Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tufafanulie siye tuliorisiti form IV mara nne na bado tumeangukia pua.Watu wa hali ya chini wengi wanakula ugali na mboga.
Wenye uwezo wanakula mboga na ugali.
Bila D mbili huwezi nielewa.
Ugali na asali na mimi pia nimekula.Porini kwenye kuwinda tulikua tunachoma ugali kwenye kuni unaiva na tunakula bila mboga na maji tunakunywa, Ugali na asali nayo pia tumekula sana , ugali na maziwa mgando tumekula sana, hata feitoto ashakula ugali na sukari sana tu
Wanajukwaa habari zenu!
Hivi umewahi kujiuliza, Kwa nini Mboga ni za lazima au muhimu unapokula ugali?
Je, umewahi kula ugali bila mboga yoyote ile? Inawezekana? Haiwezekani?
Kuna makundi makuu ya virutubisho ya vyakula: (1)wanga (2) protein (3) madini Chumvi (4) fibers/roughage (5) vitamins.
Ugali wa Mahindi uko katika kundi la wanga wakati Kwa upande wa Mboga inaweza toka katika kundi la protein au vitamini (mbogamboga) na roughage (Mbogamboga).
Ugali ambao unatoka katika kundi la wanga siku zote lazima Mboga ziwepo. Kwa nini Mboga za aina yoyote ile lazima ziwepo?
Nimeuliza swali hilo Kwa kuwa Kuna vyakula vingine Vya wanga ambavyo vinaweza kuliwa bila mboga. Kwa mfano, Mihogo ya kuchemsha, wali, viazi utamu (sweet potatoes), viazi ulaya (Irish potatoes), magimbi, maboga, ndizi , n.k. Vyakula vyote hivyo Vya wanga unaweza kula bila mboga, isipokuwa ugali. Kwa nini?
Je, ni utamaduni?
Je, ni mitazamo yetu?
Je, wewe ulishawahi kula ugali bila mboga?, ilikuwa poa?
Ugali ni ugali haijalishi ni wa Mahindi, mihogo, mtama, uwele, ulezi, ndizi, n.k.Logic yako umeipindisha makusudi ili useme unachotaka, umetoa mfano wa mihogo unaweza kula ya kuchemsha tu, kwani mahindi ukichemsha mbona yanalika pasipo kitu chochote tu fresh.
Muhogo wenyewe ukiusaga unga wake ukapikia ugali huwezi kula ugali wa muhogo pasipo mboga.
Ugali ni ugali haijalishi ni wa Mahindi, mihogo, mtama, uwele, ulezi, ndizi, n.k.
Je, kati ya ugali unaotokana na nafaka yoyote ile unaweza kula bila mboga?
Ulishajaribu kula ukashindwa? Kama ni ndiyo, kushindwa huko kulikuwa Kwa mfumo gani? Ulikuwa haupiti mdomoniSasa fikiri ni kwanini hauliki bila mboga?
Ulishajaribu kula ukashindwa? Kama ni ndiyo, kushindwa huko kulikuwa Kwa mfumo gani? Ulikuwa haupiti mdomoni
😂😂😂 Mfyuuu.!!Utafanyaje mapenzi bila utelezi?
Utelezi wangu nakupenda sana 😍😍😍😍😂😂😂 Mfyuuu.!!
Mxieeeeww.!! 😂😂😂Utelezi wangu nakupenda sana 😍😍😍😍
Huyu mleta uzi ni mtoto wamama. Sisi wakulungwa tunakula ugali mkubwa kwa ugali mkubwa.Maamuzi tu, kuna jamii fulani ugali mdogo ndio huwa mboga ya ugali mkubwa.
Na mabebi wenu wa JF. Karibu madafu.Mxieeeeww.!! 😂😂😂