Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 960
- 927
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mko hivyo, asante kwa kutujuzaWanawake wa kihaya kwa kujiongeza huenda ameshaolewa Sweden huyu, na huu ndiyo ujinga wa wanawake wa kihaya, akishakutana na mshomile mwenzake Fahamu umekwisha
Mkishamuona nyie mliombambikia kesi mnatosha.Alikuwa mpumbavu na kujipendekeza Hadi kushabikia watu wasio na Msaada kwake? 😂😂
Hata Lema anaedai kumrudisha haonekani
Typical tabia za usaliti za wabongo.Nyie ndio mumemsaliti na Mbowe.Mkishamuona nyie mliombambikia kesi mnatosha.
Dr ametukana tusi gani ? Hebu tujuze maana sisi wengine hatujuiNajiuliza tu, huyu mzee hana familia? Maana mahakamani yuko peke yake tu, hana ndugu, wala mtoto au mke anayeonekana kuja kuntembelea au kufuatilia kesi yake.
Dk Slaa alikuwa anatuna mitandaoni kumpigia debe Lissu, lakini Lissu hajajihusisha naye hata kidogo..
May be kiapo cha useja ndio kimemkamata uzeeni
Maandamano yajayo hayatakwama, yatafanikiwa sana.Typical tabia za usaliti za wabongo.Nyie ndio mumemsaliti na Mbowe.
Sasa subirieni show siku mkiitisha maandamano haya haya ndio yatawakuta 😂😂
ha ha ha sawaMzee kila akifunga busta zinapasuka, Nadhani Mushumbusi akaona kwamba ataharibu bodi ya gari, akasepa