Kwa nini Josephine Mushumbusi na mwenzake Lissu hawaonekani mahakamani katika kesi ya Dk Slaa?

Wanawake wa kihaya kwa kujiongeza huenda ameshaolewa Sweden huyu, na huu ndiyo ujinga wa wanawake wa kihaya, akishakutana na mshomile mwenzake Fahamu umekwisha
 
Alikuwa mpumbavu na kujipendekeza Hadi kushabikia watu wasio na Msaada kwake? πŸ˜‚πŸ˜‚

Hata Lema anaedai kumrudisha haonekani
Mkishamuona nyie mliombambikia kesi mnatosha.
 
Mkishamuona nyie mliombambikia kesi mnatosha.
Typical tabia za usaliti za wabongo.Nyie ndio mumemsaliti na Mbowe.

Sasa subirieni show siku mkiitisha maandamano haya haya ndio yatawakuta πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dr ametukana tusi gani ? Hebu tujuze maana sisi wengine hatujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…