mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,661
- 1,267
Wanakuwaga kwenye familia zao, yaani ni sawa na wewe sasa hivi utoke kwenu uende kuwa house boy libya, kwahiyo wanafanya wanavyofanya sababu huwajakuwa ma beki tatu walipotoka ubeki tatu wameuanzia hapaKumbe wanakuwaje, tufafanulie mkuu.
Haswaaa.mjini chuo kikuu
Upo Mrs usser[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Cheo cha nini?Hampendi wapande vyeo?
Vigezo na masharti lazima wazingatie.Wanakuwaga kwenye familia zao, yaani ni sawa na wewe sasa hivi utoke kwenu uende kuwa house boy libya, kwahiyo wanafanya wanavyofanya sababu huwajakuwa ma beki tatu walipotoka ubeki tatu wameuanzia hapa
"Maza hausi"!Cheo cha nini?
Wanasema Mjini na Kichwa tu, akili utazikuta huku huku!Mjini shule[emoji3]
Wanawake wote waliojaa mjini, mpaka utembee na house girl khaaa! Huo sasa uhuni na uasherati sugu mkuu.Ishu huwa tight pale akishaukalia wa baba mwenye nyumba...
Noma balaaa mkuu [emoji23] [emoji23]Hawaeleweki kama makende ya mbuzi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nomaaaaa."Maza hausi"!
Ndio wana alibikiwa, kwa kuingia mjini kwa pupa mkuu.Wanasema Mjini na Kichwa tu, akili utazikuta huku huku!
Kwel mkuu"Mjini sio kuzuri"
Hahahaa! Mkuu ndo wanavokuwa hivyo. Sijui hupatwa na nini labda huhisi wakiondoka wao hauwaweza kuishi tena!Wanatingisha kibiriti
Kikijaa wanaleta drama
Kuna mmoja nilimpenda sana....
Walahi nilikuwa nampiga mshahara mrefu......weekend off..... bonus kwa wazazi wake kila baada ya miezi 2 na siku za sikukuu
Alivyoaga ghafla kama uharo....nikamwambia usijali alfajiri nikampandisha bus.....
Siku hizi daily anapiga simu za kusalimia