Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savanna

Nadhani alikupongeza kimoyomoyo maana sijaona kipengele cha kugegedana
 
...Mkuu hiyo hang over niliyoamka nayo, na maumivu makali ya kichwa ninge enjoy kweli hiyo mechi? Yaani utafikiri mgonjwa coz sikuwa na uzoefu wa Konyagi na nilizidisha kipimo. Jioni yake ndiyo niliweza baada ya kuachana kabisa na libapa
Pole ila ulichofanya wewe ni waswahili wanasema "mwanamume kujitutumua" kumbe vingine hata ujitutumue vipi huwezi
 
...Mkuu hiyo hang over niliyoamka nayo, na maumivu makali ya kichwa ninge enjoy kweli hiyo mechi? Yaani utafikiri mgonjwa coz sikuwa na uzoefu wa Konyagi na nilizidisha kipimo. Jioni yake ndiyo niliweza baada ya kuachana kabisa na libapa
Nyinyi ndio mnadhalilisha uanaume. Hiyo Konyagi wenzako ndio Viagra yao.
 
Ina kabei kidogo kama mwanamume huna mapozi ya kujiamini wakati unachunwa unaweza ukapoteza mood kila bill inapoletwa hasa ukienda kwenye zile hotel zetu ambapo soda 600 inauzwa buku ama buku na mia tano
 
Halafu ikawaje
 
...Hahaaa mimi kwa kweli huwa sihitaji busta kwenye hili game, infact nikilewa sana ndiyo naharibu kila kitu, how can U enjoy the game while dead drunk?
Moms boy utawajuwa tu.
 
Nikiingia sehemu ya starehe kama club afu nimuone mrembo mzuri anakunywa savannah huwa siwez kumfata..naogopa atanifilisi...me napenda wale wa castle lite 2500 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…