[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uyo sio demu ni shoga
Mie kitu cha konyagi na pilipili mbuzi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mie cinzano ile sweet au savana black ice uwiii
Mie kitu cha konyagi na pilipili mbuzi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ishanikuta hiyo vuup nimeenda kumtoa out mtoto wa chuo kimoja.Ina kabei kidogo kama mwanamume huna mapozi ya kujiamini wakati unachunwa unaweza ukapoteza mood kila bill inapoletwa hasa ukienda kwenye zile hotel zetu ambapo soda 600 inauzwa buku ama buku na mia tano
Ishanikuta hiyo vuup nimeenda kumtoa out mtoto wa chuo kimoja.
Kwa sifa Kaja na rafikize wawili so nikawa na jukumu la kuhudumia team ya watu watatu, yaani Hakuna anayeagiza bear ni Sminof & Savanna +Misosi. [emoji119] [emoji27] Mungu saidia tu kulikuwa na kasalio kakutosha mfukoni. Ila nilikuwa najitutumua kulipa huku kimoyo moyo natoa mtusi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haha haha yaani alinikwaza mno alafu mashost zake wakawa vinara waku propose tuhamie sijui wapi sijui mida hii patakuwa pako Poa sana na yeye anaunga mkono, mbele ya papuchi sikuwa na ujanja nikawa natii maombi yote.[emoji27] [emoji28] sina hamu nao walinitoboa mno ule usiku.hahahahaha mwish wa siku huwa mnagegeda kwa ngv uwiii na mihasira kibao walau kujitibu majeraha !lol!ila nadhan ni utoto tu kubeba mashost!sio uungwana
Inabidi ujitutumue tu hakuna namnaIshanikuta hiyo vuup nimeenda kumtoa out mtoto wa chuo kimoja.
Kwa sifa Kaja na rafikize wawili so nikawa na jukumu la kuhudumia team ya watu watatu, yaani Hakuna anayeagiza bear ni Sminof & Savanna +Misosi. [emoji119] [emoji27] Mungu saidia tu kulikuwa na kasalio kakutosha mfukoni. Ila nilikuwa najitutumua kulipa huku kimoyo moyo natoa mtusi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ilinibidi kufidia gape nikala Kala muda badae nikasepa. [emoji23] [emoji23] [emoji28] wale walikuwa nuksi.Inabidi ujitutumue tu hakuna namna
Ungegonga wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee simfanyiagi hii ujinga mtu, hasa ninae mpendaIshanikuta hiyo vuup nimeenda kumtoa out mtoto wa chuo kimoja.
Kwa sifa Kaja na rafikize wawili so nikawa na jukumu la kuhudumia team ya watu watatu, yaani Hakuna anayeagiza bear ni Sminof & Savanna +Misosi. [emoji119] [emoji27] Mungu saidia tu kulikuwa na kasalio kakutosha mfukoni. Ila nilikuwa najitutumua kulipa huku kimoyo moyo natoa mtusi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
AngekufaUngegonga wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee simfanyiagi hii ujinga mtu, hasa ninae mpenda
Kwanini??Angekufa
Yule tulikutana kimjini mjini sasa inawezekana alitaka kujichukulia ujiko kwa wenzie huku akinitoboa..Ungegonga wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee simfanyiagi hii ujinga mtu, hasa ninae mpenda
Wewe mbona unauluzia mambo ya kipuuzi humu ka umeoa uliza mkeo ka huna mke nenda bar kaulizieHivi kwa nini hii bia inapendwa na mademu wengi?
Gemu ulipiga siku hiyo?...Baada ya yeye kuagiza bapa, nikaona isiwe tabu ngoja nami nijitutumue badala ya bia tunywe wote Konyagi, wakati mimi nakunywa kwa uoga uoga, maana huwa sinywagi mara kwa mara Konyagi, yaani haikuchukua round mzinga umekatika!
Nikaagiza mwingine tena, nikaona inaanza kunichukua, mrembo kwa kuwa ni mzoefu akatoa wazo tupate kongoro kwanza, then mbuzi choma.
Yaani mpaka mida ya saa nne usiku nikaona naanza kukata network, but uzuri ni kwamba alikuwa mstaarabu alinisindikiza mpaka Guesti nilipofikia maana nilianza kupotea njia tukaagana.
Asubuhi yake akanipitia (ilikuwa J1) but alifanya kazi ya ziada kunigongea mpaka nikaamka, baada ya kuoga tukaenda kupata supu, sprite baridi na maji meengi baridi ndo nikawa fresh kidogo. Kwa kweli kama angekuwa siyo mstaarabu angenikomba kila kitu maana tulikunywa Konyagi sanaa siku hiyo, na baadae akaja kuwa very close friend of mine na tukasaidiana mengi sana.
Mume nimekukamataaa! Haya na mie nitoe out nakuja na mashosti wawili tunakunywa sodaHaha haha yaani alinikwaza mno alafu mashost zake wakawa vinara waku propose tuhamie sijui wapi sijui mida hii patakuwa pako Poa sana na yeye anaunga mkono, mbele ya papuchi sikuwa na ujanja nikawa natii maombi yote.[emoji27] [emoji28] sina hamu nao walinitoboa mno ule usiku.
Ko hukumgegeda...Baada ya yeye kuagiza bapa, nikaona isiwe tabu ngoja nami nijitutumue badala ya bia tunywe wote Konyagi, wakati mimi nakunywa kwa uoga uoga, maana huwa sinywagi mara kwa mara Konyagi, yaani haikuchukua round mzinga umekatika!
Nikaagiza mwingine tena, nikaona inaanza kunichukua, mrembo kwa kuwa ni mzoefu akatoa wazo tupate kongoro kwanza, then mbuzi choma.
Yaani mpaka mida ya saa nne usiku nikaona naanza kukata network, but uzuri ni kwamba alikuwa mstaarabu alinisindikiza mpaka Guesti nilipofikia maana nilianza kupotea njia tukaagana.
Asubuhi yake akanipitia (ilikuwa J1) but alifanya kazi ya ziada kunigongea mpaka nikaamka, baada ya kuoga tukaenda kupata supu, sprite baridi na maji meengi baridi ndo nikawa fresh kidogo. Kwa kweli kama angekuwa siyo mstaarabu angenikomba kila kitu maana tulikunywa Konyagi sanaa siku hiyo, na baadae akaja kuwa very close friend of mine na tukasaidiana mengi sana.