Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savanna

Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savanna

Ina kabei kidogo kama mwanamume huna mapozi ya kujiamini wakati unachunwa unaweza ukapoteza mood kila bill inapoletwa hasa ukienda kwenye zile hotel zetu ambapo soda 600 inauzwa buku ama buku na mia tano
Ishanikuta hiyo vuup nimeenda kumtoa out mtoto wa chuo kimoja.

Kwa sifa Kaja na rafikize wawili so nikawa na jukumu la kuhudumia team ya watu watatu, yaani Hakuna anayeagiza bear ni Sminof & Savanna +Misosi. [emoji119] [emoji27] Mungu saidia tu kulikuwa na kasalio kakutosha mfukoni. Ila nilikuwa najitutumua kulipa huku kimoyo moyo natoa mtusi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ishanikuta hiyo vuup nimeenda kumtoa out mtoto wa chuo kimoja.

Kwa sifa Kaja na rafikize wawili so nikawa na jukumu la kuhudumia team ya watu watatu, yaani Hakuna anayeagiza bear ni Sminof & Savanna +Misosi. [emoji119] [emoji27] Mungu saidia tu kulikuwa na kasalio kakutosha mfukoni. Ila nilikuwa najitutumua kulipa huku kimoyo moyo natoa mtusi [emoji23] [emoji23] [emoji23]



hahahahaha mwish wa siku huwa mnagegeda kwa ngv uwiii na mihasira kibao walau kujitibu majeraha !lol!ila nadhan ni utoto tu kubeba mashost!sio uungwana
 
hahahahaha mwish wa siku huwa mnagegeda kwa ngv uwiii na mihasira kibao walau kujitibu majeraha !lol!ila nadhan ni utoto tu kubeba mashost!sio uungwana
Haha haha yaani alinikwaza mno alafu mashost zake wakawa vinara waku propose tuhamie sijui wapi sijui mida hii patakuwa pako Poa sana na yeye anaunga mkono, mbele ya papuchi sikuwa na ujanja nikawa natii maombi yote.[emoji27] [emoji28] sina hamu nao walinitoboa mno ule usiku.
 
Za kununuliwa,..umkute mwenyew pekeyake utakuta anakunywa soda,ila akiwa na mtu atataka savanah
 
Ishanikuta hiyo vuup nimeenda kumtoa out mtoto wa chuo kimoja.

Kwa sifa Kaja na rafikize wawili so nikawa na jukumu la kuhudumia team ya watu watatu, yaani Hakuna anayeagiza bear ni Sminof & Savanna +Misosi. [emoji119] [emoji27] Mungu saidia tu kulikuwa na kasalio kakutosha mfukoni. Ila nilikuwa najitutumua kulipa huku kimoyo moyo natoa mtusi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Inabidi ujitutumue tu hakuna namna
 
Ishanikuta hiyo vuup nimeenda kumtoa out mtoto wa chuo kimoja.

Kwa sifa Kaja na rafikize wawili so nikawa na jukumu la kuhudumia team ya watu watatu, yaani Hakuna anayeagiza bear ni Sminof & Savanna +Misosi. [emoji119] [emoji27] Mungu saidia tu kulikuwa na kasalio kakutosha mfukoni. Ila nilikuwa najitutumua kulipa huku kimoyo moyo natoa mtusi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ungegonga wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee simfanyiagi hii ujinga mtu, hasa ninae mpenda
 
Ungegonga wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee simfanyiagi hii ujinga mtu, hasa ninae mpenda
Yule tulikutana kimjini mjini sasa inawezekana alitaka kujichukulia ujiko kwa wenzie huku akinitoboa..

Alinirahisishia mchakato wa kula kuliwa alafu nikaacha manyoya.
 
...Baada ya yeye kuagiza bapa, nikaona isiwe tabu ngoja nami nijitutumue badala ya bia tunywe wote Konyagi, wakati mimi nakunywa kwa uoga uoga, maana huwa sinywagi mara kwa mara Konyagi, yaani haikuchukua round mzinga umekatika!
Nikaagiza mwingine tena, nikaona inaanza kunichukua, mrembo kwa kuwa ni mzoefu akatoa wazo tupate kongoro kwanza, then mbuzi choma.

Yaani mpaka mida ya saa nne usiku nikaona naanza kukata network, but uzuri ni kwamba alikuwa mstaarabu alinisindikiza mpaka Guesti nilipofikia maana nilianza kupotea njia tukaagana.

Asubuhi yake akanipitia (ilikuwa J1) but alifanya kazi ya ziada kunigongea mpaka nikaamka, baada ya kuoga tukaenda kupata supu, sprite baridi na maji meengi baridi ndo nikawa fresh kidogo. Kwa kweli kama angekuwa siyo mstaarabu angenikomba kila kitu maana tulikunywa Konyagi sanaa siku hiyo, na baadae akaja kuwa very close friend of mine na tukasaidiana mengi sana.
Gemu ulipiga siku hiyo?
 
Haha haha yaani alinikwaza mno alafu mashost zake wakawa vinara waku propose tuhamie sijui wapi sijui mida hii patakuwa pako Poa sana na yeye anaunga mkono, mbele ya papuchi sikuwa na ujanja nikawa natii maombi yote.[emoji27] [emoji28] sina hamu nao walinitoboa mno ule usiku.
Mume nimekukamataaa! Haya na mie nitoe out nakuja na mashosti wawili tunakunywa soda
 
...Baada ya yeye kuagiza bapa, nikaona isiwe tabu ngoja nami nijitutumue badala ya bia tunywe wote Konyagi, wakati mimi nakunywa kwa uoga uoga, maana huwa sinywagi mara kwa mara Konyagi, yaani haikuchukua round mzinga umekatika!
Nikaagiza mwingine tena, nikaona inaanza kunichukua, mrembo kwa kuwa ni mzoefu akatoa wazo tupate kongoro kwanza, then mbuzi choma.

Yaani mpaka mida ya saa nne usiku nikaona naanza kukata network, but uzuri ni kwamba alikuwa mstaarabu alinisindikiza mpaka Guesti nilipofikia maana nilianza kupotea njia tukaagana.

Asubuhi yake akanipitia (ilikuwa J1) but alifanya kazi ya ziada kunigongea mpaka nikaamka, baada ya kuoga tukaenda kupata supu, sprite baridi na maji meengi baridi ndo nikawa fresh kidogo. Kwa kweli kama angekuwa siyo mstaarabu angenikomba kila kitu maana tulikunywa Konyagi sanaa siku hiyo, na baadae akaja kuwa very close friend of mine na tukasaidiana mengi sana.
Ko hukumgegeda
 
Back
Top Bottom