Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma takiwmu zinasemaje!?BILA KUNUNUA WAAMUZI SIMBA HAIWEZI KUMFUNGA YANGA
Kwan hujui GSM anawalipa wachambuzi uchwaraa pesa waiponde Simba.Bendera fata upepo kwa takwimu hizi watu wanaropokwa yani hapo Yanga kamzidi nini Simba??
Wachambuzi mbuzi wakija na mihemuko yao na mashabiki nao wanahemukwa...
Yanga kwa sasa ana kikosi kizuri lakini Simba sio mbovu..
Sasa huyo Mtema mate km mjamzito ana nn cha ajabuu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga kwasabb tu wana Aziz Ki na Musonda basi wanajiona kana kwamba Wana kikosi cha dunia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli wee endelea kutesekaaaa tyuuh.Usidanganywe na ushindi wa timing,Simba mbovu kwa yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilichojifunza ukiacha ushabiki kila mmoja akasifia chake basi watu wa yanga wana matatizo kwenye kichwa na kingine nashangaa sana wanapojifananisha na simba wakati hawako level moja . Sikatai simba nao wanaujinga wao lakini yanga wakipewa hata details za uongo wanayembea nazo. Nafurahi sana nikikuta watu walibishana simba na yanga nacheka japo sina ushabiki lakini kuna vitu kwa macho tu na uelewa mdogo unajifunza kuna tatizo sehemu. Kuna uzi uliletwa humu sjui yanga yupo nafasi ya ngapi basi wana yanga walitamba nao kumbe hata ukigoogle unajua kwamba mleta mada aliamua kuwavuruga wenzake ilimradi iaminike wenye akili pale ni wawili tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona mgumba kapata mimba, yatatemwa mate mtaa mzima!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sasa km utopolo imejijenga kitimu imeshindwa vipi kushinda jana? Huoni unacho kiandika kina kukataa wee mwenyewee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]No,Kuna timu itashinda sababu imejijenga kitimu na Ina ubora,na Kuna timu itavizia kushinda,itapata goli Kisha itakua na kazi ya kulinda mpaka mpira uishe
CocasticSasa huyo Mtema mate km mjamzito ana nn cha ajabuu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AbeeeeehCocastic
Hana lolote! Simba imeunguruma kwa kuwachapa goli 2 bila majibuSasa huyo Mtema mate km mjamzito ana nn cha ajabuu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yanga na Simba nani huwa ana ushindi wa timing kama siyo Yanga? Hata zile mechi tulizocheza tukaishia kwenye draw Yanga alikuwa amezidiwa kimpira na Simba (kama ukiangalia zile mechi).Usidanganywe na ushindi wa timing,Simba mbovu kwa yanga
Siku zote yanga ni dhaifu kwa simba tatizo hapa kati simba iliacha kuizingatia yanga!!uto wakajiona wanaimudu simba.Yanga na Simba nani huwa ana ushindi wa timing kama siyo Yanga? Hata zile mechi tulizocheza tukaishia kwenye draw Yanga alikuwa amezidiwa kimpira na Simba (kama ukiangalia zile mechi).
Ndiwooooo ndiwooooo.Hana lolote! Simba imeunguruma kwa kuwachapa goli 2 bila majibu
Wakikusikia.Horoya vibonde
Ihefu vibonde
Yanga vibonde
🤔
Tangu nabi aingize mifumo yake yanga haijawahi zidiwa kimpira na timu yoyote Tanzania na CAFYanga na Simba nani huwa ana ushindi wa timing kama siyo Yanga? Hata zile mechi tulizocheza tukaishia kwenye draw Yanga alikuwa amezidiwa kimpira na Simba (kama ukiangalia zile mechi).
Mpira itakua si suala lako,Brentford alimfunga man city, Leverkusen alimfunga Bayern,ihefu alimfunga yangaSasa km utopolo imejijenga kitimu imeshindwa vipi kushinda jana? Huoni unacho kiandika kina kukataa wee mwenyewee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu, mpira ni burudani. Na utani sio uadui, wala sio sababu ya kukoseana heshima. Mimi pia nayajua matusi, but i choose peace!Watu wa upinde kumbe moo na mipasho yenu.
Tz hamruhusiwi watu wa upinde