M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Nimekuwa nikijiuliza kwa nn hiki chuo bado kinatumia system ya zamani ya kudahili wanafunz wake wenyewe bila kupitia Central Admission system (CAS) ya TCU kama vyuo vingine vya elimu a juu?Je ni kwamba w wapo juu ya TCU? Je TCU hawalioni hili? TAFAKARI
Nimekuwa nikijiuliza kwa nn hiki chuo bado kinatumia system ya zamani ya kudahili wanafunz wake wenyewe bila kupitia Central Admission system (CAS) ya TCU kama vyuo vingine vya elimu a juu?Je ni kwamba w wapo juu ya TCU? Je TCU hawalioni hili? TAFAKARI
Kama kawaida....choko choko kila kitu cha waislam.....gubu la roho mbaya limeganda nafsi zenu...
mfumo wa TCU ulipokuja hiki chuo waliukataa na waliweka sababu za kuukataa,sababu kubwa waliyosema ni kwamba wanafunzi wengi watashindwa kujiunga na chuo hicho kwa sababu ya CUT OFF POINT ZA TCU katika kudahili wanafunzi ambazo zinatokana na universal eligibility ya mtu kusoma chuo kikuu,
hivyo wakasema hawako tayari kutumia mfumo huo,kifupi walilenga watoto wa kiislam ambao wengi wao huwa wanadahiliwa pale na kati ya hao wengi huwa hawana vigezo vya moja kwa moja kudahiliwa chuoni hapo mpaka kwanza wapewe kozi fupi na wakifaulu basi wanaruhusiwa kujiunga na chuo,na wao wanatumia mfumo ule wa kuchukua wanafunzi na kuwafundisha kwa muda maalumu ili wafanye mtihani na waweze kufikisha alama za kuingia chuo,sikumbuki utaratibu huu unaitwaje,ila ulikuwa unatumika na vyuo vingi na hata sasa DIT wanautumia kwa wanaotaka kusoma diploma ila marks zao haziruhusu,sasa wangeweka TCU wao hawatumii utaratibu huu katika system maana matokeo yanayohitajika ni ya NECTA O LEVEL NA NECTA ADVANCE,hayo ya mtu kwenda kupigwa kwanza msasa kabla HAWAYATAMBUI,kwa sasa unaweza kusema kuwa wao wanachukua hata wanafunzi wasio na sifa ya moja kwa moja kujiunga chuo,ila wanawadahili baada ya kuwafundisha kozi fupi na kuwapa mtihani na wakifaulu mtihani huo basi wanadahiliwa,
sema haya mambo ya udini ndio yanaharibu na serkali waliwaogopa sijui maana kila siku hawa watu wanalalamikia serikali kuwanyanyasa na waliwaacha huku vyuo vingine wakilazimishwa kuingia TCU.
Si kweli sababu ulizotoa. Usiaminishe jukwaa habari za uongo, na kama una yakini na uyasemao weka ushahidi hapamfumo wa TCU ulipokuja hiki chuo waliukataa na waliweka sababu za kuukataa,sababu kubwa waliyosema ni kwamba wanafunzi wengi watashindwa kujiunga na chuo hicho kwa sababu ya CUT OFF POINT ZA TCU katika kudahili wanafunzi ambazo zinatokana na universal eligibility ya mtu kusoma chuo kikuu,
hivyo wakasema hawako tayari kutumia mfumo huo,kifupi walilenga watoto wa kiislam ambao wengi wao huwa wanadahiliwa pale na kati ya hao wengi huwa hawana vigezo vya moja kwa moja kudahiliwa chuoni hapo mpaka kwanza wapewe kozi fupi na wakifaulu basi wanaruhusiwa kujiunga na chuo,na wao wanatumia mfumo ule wa kuchukua wanafunzi na kuwafundisha kwa muda maalumu ili wafanye mtihani na waweze kufikisha alama za kuingia chuo,sikumbuki utaratibu huu unaitwaje,ila ulikuwa unatumika na vyuo vingi na hata sasa DIT wanautumia kwa wanaotaka kusoma diploma ila marks zao haziruhusu,sasa wangeweka TCU wao hawatumii utaratibu huu katika system maana matokeo yanayohitajika ni ya NECTA O LEVEL NA NECTA ADVANCE,hayo ya mtu kwenda kupigwa kwanza msasa kabla HAWAYATAMBUI,kwa sasa unaweza kusema kuwa wao wanachukua hata wanafunzi wasio na sifa ya moja kwa moja kujiunga chuo,ila wanawadahili baada ya kuwafundisha kozi fupi na kuwapa mtihani na wakifaulu mtihani huo basi wanadahiliwa,
sema haya mambo ya udini ndio yanaharibu na serkali waliwaogopa sijui maana kila siku hawa watu wanalalamikia serikali kuwanyanyasa na waliwaacha huku vyuo vingine wakilazimishwa kuingia TCU.
Wewe umesema kweli ila huyo aliyesema eti ni kutokana na kudahili wanafunzi kwa njia ya remedial haiwezi kuwa kweliNi utaratibu tu, hata wewe unaweza ukaanzisha chuo na kuwaandikia TCU kwanini hutaki kujiunga na system iliyopo kwa kutoa facts.
Hata hivyo unapewa muda fulani kwa ajili ya hizo claims zako na kisha kwa baadae unajiunga baada ya hizo claims kufanyiwa kazi.
mfumo wa TCU ulipokuja hiki chuo waliukataa na waliweka sababu za kuukataa,sababu kubwa waliyosema ni kwamba wanafunzi wengi watashindwa kujiunga na chuo hicho kwa sababu ya CUT OFF POINT ZA TCU katika kudahili wanafunzi ambazo zinatokana na universal eligibility ya mtu kusoma chuo kikuu,
hivyo wakasema hawako tayari kutumia mfumo huo,kifupi walilenga watoto wa kiislam ambao wengi wao huwa wanadahiliwa pale na kati ya hao wengi huwa hawana vigezo vya moja kwa moja kudahiliwa chuoni hapo mpaka kwanza wapewe kozi fupi na wakifaulu basi wanaruhusiwa kujiunga na chuo,na wao wanatumia mfumo ule wa kuchukua wanafunzi na kuwafundisha kwa muda maalumu ili wafanye mtihani na waweze kufikisha alama za kuingia chuo,sikumbuki utaratibu huu unaitwaje,ila ulikuwa unatumika na vyuo vingi na hata sasa DIT wanautumia kwa wanaotaka kusoma diploma ila marks zao haziruhusu,sasa wangeweka TCU wao hawatumii utaratibu huu katika system maana matokeo yanayohitajika ni ya NECTA O LEVEL NA NECTA ADVANCE,hayo ya mtu kwenda kupigwa kwanza msasa kabla HAWAYATAMBUI,kwa sasa unaweza kusema kuwa wao wanachukua hata wanafunzi wasio na sifa ya moja kwa moja kujiunga chuo,ila wanawadahili baada ya kuwafundisha kozi fupi na kuwapa mtihani na wakifaulu mtihani huo basi wanadahiliwa,
sema haya mambo ya udini ndio yanaharibu na serkali waliwaogopa sijui maana kila siku hawa watu wanalalamikia serikali kuwanyanyasa na waliwaacha huku vyuo vingine wakilazimishwa kuingia TCU.
Si kweli sababu ulizotoa. Usiaminishe jukwaa habari za uongo, na kama una yakini na uyasemao weka ushahidi hapa
Nimekuwa nikijiuliza kwa nn hiki chuo bado kinatumia system ya zamani ya kudahili wanafunz wake wenyewe bila kupitia Central Admission system (CAS) ya TCU kama vyuo vingine vya elimu a juu?Je ni kwamba w wapo juu ya TCU? Je TCU hawalioni hili? TAFAKARI
Mnawaonea TCU jamani, mnataka waanze kusimamia na madras?
mfumo wa tcu ulipokuja hiki chuo waliukataa na waliweka sababu za kuukataa,sababu kubwa waliyosema ni kwamba wanafunzi wengi watashindwa kujiunga na chuo hicho kwa sababu ya cut off point za tcu katika kudahili wanafunzi ambazo zinatokana na universal eligibility ya mtu kusoma chuo kikuu,
hivyo wakasema hawako tayari kutumia mfumo huo,kifupi walilenga watoto wa kiislam ambao wengi wao huwa wanadahiliwa pale na kati ya hao wengi huwa hawana vigezo vya moja kwa moja kudahiliwa chuoni hapo mpaka kwanza wapewe kozi fupi na wakifaulu basi wanaruhusiwa kujiunga na chuo,na wao wanatumia mfumo ule wa kuchukua wanafunzi na kuwafundisha kwa muda maalumu ili wafanye mtihani na waweze kufikisha alama za kuingia chuo,sikumbuki utaratibu huu unaitwaje,ila ulikuwa unatumika na vyuo vingi na hata sasa dit wanautumia kwa wanaotaka kusoma diploma ila marks zao haziruhusu,sasa wangeweka tcu wao hawatumii utaratibu huu katika system maana matokeo yanayohitajika ni ya necta o level na necta advance,hayo ya mtu kwenda kupigwa kwanza msasa kabla hawayatambui,kwa sasa unaweza kusema kuwa wao wanachukua hata wanafunzi wasio na sifa ya moja kwa moja kujiunga chuo,ila wanawadahili baada ya kuwafundisha kozi fupi na kuwapa mtihani na wakifaulu mtihani huo basi wanadahiliwa,
sema haya mambo ya udini ndio yanaharibu na serkali waliwaogopa sijui maana kila siku hawa watu wanalalamikia serikali kuwanyanyasa na waliwaacha huku vyuo vingine wakilazimishwa kuingia tcu.
MBONA UNA MUNKARI HIVI?kwani ni vibaya kuuliza?wewe hauoni kama ni ajabu kuwa vyuo vingine vyote vinatumia mfumo wa TCU kasoro hicho?
je unajua kwa nini?kama unajua tuambie na kama hujui soma majibu ya wanaojua ni kwa sababu gani na kukurupuka tu kuanza kuona mnaonewa.
Si kweli sababu ulizotoa. Usiaminishe jukwaa habari za uongo, na kama una yakini na uyasemao weka ushahidi hapa