Huyo mshikaji eti kuna sehemu kasema ye ni graduate lol kweli kakiaibisha chuo chake
Wewe ndo umeongea point sasa na nimekuelewa vizuri mnoo kuliko wengne wanaoongea kwa hisia lakini hawana sababu za kuteteaNamaanisha sio vyuo vyote vinatumia utaratibu wa cas, mum ni chuo kikuu kinachotambuliwa na TCU. Utaratibu unaotumiwa na MUM ni utaratibu unaotambuliwa na TCU yaani mature age entry na utaratibu mwingine unaoitwa pre-entry qualification ambao mwanafunzi atafundishwa mwaka mzima atafanya mitihani nakudahiliwa endapo atafaulu. Sababu ya MUM kuto tumia cas nikwamba tcu hawafanyi selection kuzingatia dini ya mtu hivyo MUM walihofia kupelekewa wanafunzi wengi wasiwo wahitaji. Nafikiri nimeeleweka
Sababu ziko wazi sana ila haziwezi kuwekwa wazi sana.
Nyinyi mnataka 'wagalatia' wajae pale MUM?
St. Augustine pia hii system ya kudahili wasio na sifa ipo na inaitwa 'remedial' kwa wale ambao hawakufaulu vizuri huwahi chuoni na kusoma kwa miezi kadhaa na baada ya hapo hupewa mitihani na watakaofaulu basi hujiunga moja kwa moja na degree na kwa watakaofeli hushauriwa kujiunga na cheti.
mum hakuna kozi itolewayo before kuanza kusoma degree ....
Sababu ya kutojiunga na tcu ni kukifanya chuo kiwasaidie waislam wengi ambao wananyimwa fursa kimaksudi na vyuo vya umma .....
Mimi ni graduate wa mum... So nina ongea kitu nikijuacho
Kwa mifano tueleze ni vyuo vipi vya umma vinawanyima fursa kimakusudi wanafunzi wa kiislamu kama siyo upotoshaji wa wazi wazi.
marginalization- mfumo kristo
Nyinyi mnataka 'wagalatia' wajae pale MUM?
Kuna mgalatia anayeweza kujiunga na MUM?
hivi ni kweli, MUM hakuna mgalatia!?
mbon wapo ushahid chukua kitab cha graduat utan majin yao
mfumo wa TCU ulipokuja hiki chuo waliukataa na waliweka sababu za kuukataa,sababu kubwa waliyosema ni kwamba wanafunzi wengi watashindwa kujiunga na chuo hicho kwa sababu ya CUT OFF POINT ZA TCU katika kudahili wanafunzi ambazo zinatokana na universal eligibility ya mtu kusoma chuo kikuu,
hivyo wakasema hawako tayari kutumia mfumo huo,kifupi walilenga watoto wa kiislam ambao wengi wao huwa wanadahiliwa pale na kati ya hao wengi huwa hawana vigezo vya moja kwa moja kudahiliwa chuoni hapo mpaka kwanza wapewe kozi fupi na wakifaulu basi wanaruhusiwa kujiunga na chuo,na wao wanatumia mfumo ule wa kuchukua wanafunzi na kuwafundisha kwa muda maalumu ili wafanye mtihani na waweze kufikisha alama za kuingia chuo,sikumbuki utaratibu huu unaitwaje,ila ulikuwa unatumika na vyuo vingi na hata sasa DIT wanautumia kwa wanaotaka kusoma diploma ila marks zao haziruhusu,sasa wangeweka TCU wao hawatumii utaratibu huu katika system maana matokeo yanayohitajika ni ya NECTA O LEVEL NA NECTA ADVANCE,hayo ya mtu kwenda kupigwa kwanza msasa kabla HAWAYATAMBUI,kwa sasa unaweza kusema kuwa wao wanachukua hata wanafunzi wasio na sifa ya moja kwa moja kujiunga chuo,ila wanawadahili baada ya kuwafundisha kozi fupi na kuwapa mtihani na wakifaulu mtihani huo basi wanadahiliwa,
sema haya mambo ya udini ndio yanaharibu na serkali waliwaogopa sijui maana kila siku hawa watu wanalalamikia serikali kuwanyanyasa na waliwaacha huku vyuo vingine wakilazimishwa kuingia TCU.
Kama kawaida....choko choko kila kitu cha waislam.....gubu la roho mbaya limeganda nafsi zenu...