asante sana mkuu kwa ufafanusi.kuna jambo nimebaini,ni kwamba utaratibu wao huo una wa favour watoto wao wa kiislamu ambao hawana sifa kudahiliwa na TCU.the opposite to this is,kama MUM kingekuwa kinapokea wanafunzi walio dahiliwa na TCU peke yake,wanafunzi wakristu wangekuwa wengi dhidi ya wale wa kiislamu ktk chuo cha kiislamu.lol
Mnawaonea TCU jamani, mnataka waanze kusimamia na madras?
Wanadahili wanafunzi kupitia madrasa
mkuu
Mshinga umewashika pabaya sana leo islamist extremist .hawana points za kukanusha maelezo yako.kwa sasa wanaongozwa na jazba tu.subiri wengine waamke uone balaa lake.nikupe tuu taadhari uwe mvumilivu kwa kashfa utakazo kutana nazo.
wananyimwa fursa kimakusudi ktk vyuo vya umma?how?explain pls.
hiki si chuo kikuu ni madrasa
Hiko sio chuo ni ubabaishaji,chuo gani hakitaki kuchukua watu wenye sifa..au sababu wenye sifa ni wagalatia
Halafu tazama na hili jamaa hapo juu! Sijui
matumbo yamesha chafuka!
Manake limeanza kuhara mfululizo bila elimu.
Nyie Wagalatia ni viumbe wa ajabu sana.
Chuki, ubinafsi, hasadi na roho mbaya itawauwa kabla ya siku zenu.
Wengi wenu mlioandika humu HAMJUI CHOCHOTE kuhusa Education system ya Hapo Tz. Basi midomo mirefu tu!
Halafu wapi ktk masharti ya vyuo vikuu LAZIMA KILA CHUO KIJIUNGE NA HUO MFUMO??
Au mnaropoka tu kwa sababu midomo mali yenu!
Yale mavyuo yenu ya kanisa mbona ugalatia kuanzia ukiingia getini mpaka hivyo vyeti vyenu vinanuka system za kigalatia! Kuna mtu katia neno!?
Nyie kwa akili zenu zisivyokuwa na busara unadhani kuna wanafunzi wataweza kusajiliwa ktk chuo chochote hapa nchini bila kusajiliwa majina yao na TCU PAMOJA NA TCI??
Na wasipofanya hivyo. Hio Ruhusa ya kuendelea na Udahini watapata wapi??
Na je! Mmeona chuo hicho tu ambacho hakifuati system hio
Vingine ambavyo pia HAVIFUATI aaaa! Sababu nini?? Ugalatia umewafunga macho.
Hebu kaulizeni je! Ni chuo hiki tu nchi Kisichofuata system hio? Na je! Kutokufuata system hio ni kinyume cha masharti yaliowekwa??
Mmesahau yule muasisi wa MFUMO KRISTO (nyerere) Mungu amlaani alivyo tengeneza system ya Kuwachuja WAISLAMU NA KUWANYIMA nafasi za kuendelea na nafasi kubwa za kielimu na badala yake kuwajaza Wagalatia ktk nafasi hizo!?
Mpaka aliposhika nafasi Mzee wetu (Profesa Kighoma Malima ) Mungu amrehemu ambae ndio aliyebadili system ili wale Wasahihi na wagawa nafasi za kielimu wasijue ktk hao wanao wasahili nani Muislamu Na nani MGALATIA!
Lkn kabla ya hapo HAKUNA GALATIA HATA MOJA LILISIMAMA LIKASEMA kuwa mfumo ule ulikuwa mbaya!
Halafu mbona pia hapo chuoni Wagalatia pia WAMO?? Kwanini basi kama nyie kama mna uchungu na Hao wala vitimoto wenzenu msiwashauri wakaacha kuendelea kusoma MADRASA??
Mnamwaga mapovu meengi. Elimu yenyewe imeishia kuabudu mungu mzungu ambae yuko nusu uchi!
Mpaka siku mkija kufahamu kuwa mungu sio mzungu!
Akili zenu zitakuwa hivyo hivyo. Na hakuna wa kuweza kuzibadilisha.
Labda itokee siku yule POPE awekwe mwafrika MWEUSI!! kitu ambacho Mzungu hawezi kukubali hata YESU AKIRUDI.
Mnfnssssssssssss!
CC
CHAMVIGA