Kwa nini SALMAN RUSHDIE alitangaziwa Fatwa na Ulimwengu wa Kiislamu kwa kuchapisha Kitabu cha Aya za Kishetani?

Kwa nini SALMAN RUSHDIE alitangaziwa Fatwa na Ulimwengu wa Kiislamu kwa kuchapisha Kitabu cha Aya za Kishetani?

KITABU KIMEANDIKWA KWA KUTUMIA LUGHA YA KIFICHO SANA, LAKINI NI UKWELI MTUPU.
MIAKA YA 90 MWISHONI WATOTO WANA WA ISMAEL WALIKUA NA FUJO , MAANDAMANO NA MATAMKO YA VITISHO.
MPAKA IKAPELEKEA KUWAKO KWA MAUAJI YA MWEMBECHAI.
KANISA KUBWA LILITOA TAMKO LA KUTAFSIRI KITABU! UKIMYA UKAJITOKEZA MPAKA LEO

ZAMA ZILE KUNA WALIOJIONA WANA HAKI YA KUUA WENGINE!KWAJINA LA MUNGU WAO!
ZAMA HIZI UKIJA NA MAWAZO YALE YALE, HUWEZI AMINI!TUKANA KRISTO, UKRISTO,TUKANA MUNGU, TUKANA KILA KITU WATU WAKO KIMYA NA HUTASIKIA WAKIJICHUKULIA SHERIA MIKONONI WALA KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI.
LAKINI UKISHIKA KISU AU PANGA AU BOMU...KWA JIANA LA MUNGU WAKO.
BABAKE TUNAKUTANA MTAANI VIZURI TU,KISU KWA KISU, PANGA KWA PANGA BOMU KWA BOMU

Nakumbukuka mwaka 1992 mhadhiri muasisi wa comparative Islam nchini Tanzania Ustaafh Ghalibah alitangaza chinja chinja ya wakristo, Majambia yaagizwe wakristo wachinjwe. Mungu saidia mwaka huo huo naye akafa. Ndio ikawa pona pona ya wakristo.
 
Mtoa mada na wachangiaji wengi hamna mnachokijua katika dini tukufu na safi ya kiislam.
kulikuwa tangia kipindi cha mtume watu kama nyinyi na hao waandinshi wenu wa kujifanya waislam na uislam ulizidi kunawiri tu.
kwa taarifa yao mpaka mtume anakufa walikuwa wayahud kibao na wakiristo na kaishi nao vyeme tu.Waislam hawaingii vita bila ya mashart kibao na haujawi kumlazimisha asiye muislam kuukubali uislam kwa silaha hata but wanapigana kwa mtu anayewapiga .
Jinsi uislam unavyopigwa vita kama ingekuwa si dini ya haq kwel ingelishafutwa zaman katika uso wa duniani hapa lakini waaapi huko huko kwa wapigia vita ndo unashamiri na kustawi.
Na km uislam huuhuu ungeacha wakristo na wahubiri kuwa free huko kwenye nchi za uarabuni nakuhakikishia sasa hivi mngekuwa mnaongea stories nyingine kabisa.
 
Ayatollah Khomeini ndio alitoa hiyo fatwa. Ila alikufa bila kushuhudia ikitekelezwa.
Rushdie, mwaka huu, survived an assassination attempt
 
View attachment 2449546

Mtume Muhammad (upon him be peace and blessing of Allah) alipokuwa madini aliishi na wayahuhidi wote waliowahi salama chini ya utawala wa kiislamu wala hakulazimishwa kuamini wala kuuwawa vilevile .
Muhammad alienda kwa stages
Alianza kubembeleza ndio hapo unamkuna na verse kama hizo
Akaja akaunda kundi lake wakawa wanapora na kuua na yeye akawa anajigiwia ngawira nusu kwa nusu na Allah akaanza kutunga verse za mauaji

Na akasema Alie kuwa muislamu akibadili dini wamkate kichwa
 
Swadakta, umesema kiongozi mkuu wa kidini wa Irani na sio wa waislamu mimi mmatumbi haina haja ya kumfuata..
Kuna fatwa inetolewa anaesema Allah ni Roho wamkate shingo , sasa wewe kama unajifanya hujui fatwa nenda kaseme Allah ni Roho uone kitakacho kupata
 
Mtoa mada na wachangiaji wengi hamna mnachokijua katika dini tukufu na safi ya kiislam.
kulikuwa tangia kipindi cha mtume watu kama nyinyi na hao waandinshi wenu wa kujifanya waislam na uislam ulizidi kunawiri tu.
kwa taarifa yao mpaka mtume anakufa walikuwa wayahud kibao na wakiristo na kaishi nao vyeme tu.Waislam hawaingii vita bila ya mashart kibao na haujawi kumlazimisha asiye muislam kuukubali uislam kwa silaha hata but wanapigana kwa mtu anayewapiga .
Jinsi uislam unavyopigwa vita kama ingekuwa si dini ya haq kwel ingelishafutwa zaman katika uso wa duniani hapa lakini waaapi huko huko kwa wapigia vita ndo unashamiri na kustawi.
Mnaipamba dini kwa maneno mazuri lakini matendo yanayotendeka kwa jina la dini yenu si ya kiMungu kabisa!
 
Kikubwa ni kwamba akili nyingi za wakristo ziko kwenye Google hivyo wanapata tabu sana kuutambua uislamu
Kwa sababu wao wanahisi Uislamu ni Jina au cheo cha mtu

Kumbe hawajui kua Uislamu unaongozwa na misingi maalum Tena iliyopo kwenye katiba mama ambayo ni QURAN

Na wanapaswa kujua jambo la kiislamu halipitishwi tu na mtu kashiba zake makande.

Lazima kue na makubaliano ya waislamu wote walio wasomi wa Dini

Wanapaswa kujua na kutofautisha kati ya siasa za nchi na Dini husika.
Kama ni hivyo kwa Nini muislamu alimvamia akamchoma kisu nusura amtoe uhai Kwa ajili ya Allah
 
Aliyetoa fatwa hiyo ni nani na anacheo gani katika Uislamu ?Na waislamu asilimia ngapi wanajali hilo ?

Fanya utafiti mfupi ,pitia nyumba jirani halafu taja jina hilo katika nyumba kumi ukipata hata nyumba 2 zinazomjua huyo mtu najitoa Jf.
Kwamba unabisha au..!??
 
Hakuna physical punishment iliyotolewa Wala kutangazwa kwa ajili ya mtu kama Rushdie katika Uislamu, Hata ukuisoma Qur'ani Tukufu kwa upana na kurudia rudia kwa umakini hakuna aya hata moja inayotangaza adhabu ya namna hio. Ile ilikuwa ni reaction ya baadhi ya waislamu walioshindwa kuvumilia matusi ya Rushdie


Kwahy mkuu hio fatwa ilitolewa bila kuzingatia muongozo wowote unaotegemewa na waislamu (Quran na Sunna) kwanza fatwa ilitolewa na kuungwa mkono na ahmadiya(India & Pakistan) ,Shia(Iran).
Na labda kama ilikuwa haujui fatwa hii ilipingwa na baadhi ya vuongozi wa dini walisema kuwa ni unnecessary act na mtume asingetoa fatwa kama hio.
Kama Lugha ya Kiingereza ipo kwako na unaielewa. Msome SALMAN RUSHDIE KATIKA KITABU CHAKE CHA AYA ZA KISHETANI.
 
HUYU MWAMBA ALIFUNGIWA MAISHA JAMII FORUMS KWA KUWA ANATOA HAYA MADINI.
 
Back
Top Bottom