Kwa Nini Shule Zote za Msingi za Serikali Zisibadilishwe na kuwa English Medium?

Kwa Nini Shule Zote za Msingi za Serikali Zisibadilishwe na kuwa English Medium?

Umkonto

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
2,652
Reaction score
4,593
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza!

Nimefanya utafiti usio rasmi, kwa sasa asilimia kubwa ya wazazi (karibu wote) wanatamani, au wanataka watoto wao wakasome shule za English Medium.

Asilimia kubwa (karibu wote) wazazi wenye kipato wamepeleka watoto wao English Medium. Sijajua kama kuna mtoto hata mmoja wa mtunga sera za elimu anasoma shule za msingi za serikali.

Ukikutana na mzazj hohehahe anayesomesha shule za msingi za serikali anatamani mtoto wake na yeye angekuwa anasoma English Medium, akipata hela lazima atampeleka huko!

Kinachowavutia zaidi wanajamii ni pale wanapokutana na mtoto wa English Medium akiongea Kingereza.

Sasa, kwa nini shule za msingi zote za serikali zisianze kufundisha kwa mtaala wa Kingereza? Kwa sababu naona wazazi hawazielewi kabisa shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa Kiswahili.

Sidhani hata watoto wa wafanyakazi wa BAKITA (Baraza la Kiswahili Tanzania) wanasoma shule za msingi za serikali.
 
Wakubwa hawataki nchi itembee mwendo wa haraka katika kuleta maendeleo ya mtu wa kawaida.
Kubadili jambo hili inawezekana,yaani hii siri wanabaki nayo wenyewe.
Kama unataka kujua ,wanyonge wanaingizwa chaka,ni kiongozi gani ambaye mtoto wake hasomi shule za "english medium",jibu ni hakuna.
Na ndio maana shule za kawaida hakuna anayeleta ufumbuzi endelevu wa kutatua tatizo la upungufu wa madarasa na madawati, wanaishia kutoa matamko kila mwaka:"ole wake ambaye shule yake watoto watakaa chini","watumishi hakuna kwenda likizo mpaka tatizo la upungufu wa madawati na madarasa liishe"
"Utafikiri,tatizo la upungufu madawati na madarasa ni dharura,wakati kuna taasisi za takwimu,kuna makadirio ya ongezeko la vizazi na vifo kila mwaka!
 
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza!

Nimefanya utafiti usio rasmi, kwa sasa asilimia kubwa ya wazazi (karibu wote) wanatamani, au wanataka watoto wao wakasome shule za English Medium.

Asilimia kubwa (karibu wote) wazazi wenye kipato wamepeleka watoto wao English Medium. Sijajua kama kuna mtoto hata mmoja wa mtunga sera za elimu anasoma shule za msingi za serikali.

Ukikutana na mzazj hohehahe anayesomesha shule za msingi za serikali anatamani mtoto wake na yeye angekuwa anasoma English Medium, akipata hela lazima atampeleka huko!

Kinachowavutia zaidi wanajamii ni pale wanapokutana na mtoto wa English Medium akiongea Kingereza.

Sasa, kwa nini shule za msingi zote za serikali zisianze kufundisha kwa mtaala wa Kingereza? Kwa sababu naona wazazi hawazielewi kabisa shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa Kiswahili.

Sidhani hata watoto wa wafanyakazi wa BAKITA (Baraza la Kiswahili Tanzania) wanasoma shule za msingi za serikali.
Ili tubadili mfumo mpaka iingizwe kwenye ILANI YA UCHAGUZI.
Viongozi wengi hawapo tayari kujiuliza juu ya jambo hili.
 
Waziri Joyce ndalichako Njoo huku

Huu ushauri ni Mzuri sana japo una changamoto kubwa sana.
Shule za English medium ziko nyngi mijini, huko vijijini ndani ndani Kuna watu hata hichi kiswahili kuzungumza ni tatizo.

Na ile Lafudhi ya kikabila ina athiri Kwenye uongeaji mwishowe tutazalisha Vingereza vya ajabu Sana na hata kwny kujifunza itakua mziki hapo nazungumzia uelewa wa watu wetu huko vijijini kingereza ni lugha Ngumu [emoji23][emoji23]


Lakini ni wazo zuri sana waanze na utafiti kwanza,Na mtoto akijua lugha ya kingereza ni rahisi sana kujifunza Tehama(ICT) kufundisha masomo ya computer kwa kiswahili ni balaa ndio maana mlishindwa Tehama mkaiondoa kwenye mtaala,
 
Ndalichako mwenyewe akigonga yai unaweza kuzimia kwa hasira. (the so called "waziri wa elimu")

Yule baba yao ndio kabisaaaaa, English kwake ni mama mkwe!!

Watakuja hapa na vihadithi vyao, ati oooh mbona wachina hawajui Kingereza, mara oooh mbona Libya wanazungumza kijeremani, mara oooh this and that... blah blaaah....

Hata hicho Kiswahili chenyewe hawakijui, wamejaa ujanja ujanja tu!
 
Ndalichako mwenye akigonga yai unaweza kuzimia kwa hasira. (the so called "waziri wa elimu")

Yule baba yao ndio kabisaaaaa, English kwake ni mama mkwe!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaniiii
 
Ni wazo zuri, tatizo linakuja pale hao waalimu wenyewe wa hizo shule za serikali wengi wao kingereza ni sifuri...

Hizi English Medium, wanaajiri walimu ambao wengi wao ni Fluent in English sababu za ushindani wa ki - biashara...

Wengine huenda mbali hadi kuajiri wazungu...



Cc: mahondaw
 
Wakubwa hawataki nchi itembee mwendo wa haraka katika kuleta maendeleo ya mtu wa kawaida.
Kubadili jambo hili inawezekana,yaani hii siri wanabaki nayo wenyewe.
Kama unataka kujua ,wanyonge wanaingizwa chaka,ni kiongozi gani ambaye mtoto wake hasomi shule za "english medium",jibu ni hakuna.
Na ndio maana shule za kawaida hakuna anayeleta ufumbuzi endelevu wa kutatua tatizo la upungufu wa madarasa na madawati, wanaishia kutoa matamko kila mwaka:"ole wake ambaye shule yake watoto watakaa chini","watumishi hakuna kwenda likizo mpaka tatizo la upungufu wa madawati na madarasa liishe"
"Utafikiri,tatizo la upungufu madawati na madarasa ni dharura,wakati kuna taasisi za takwimu,kuna makadirio ya ongezeko la vizazi na vifo kila mwaka!
Kiingereza kitaharakishaje kuleta maendeleo. Mbona malawi wanasoma kiingereza ili ni maskini wa mwisho.
 
Wazo lako linaweza kuwa la msingi sana lakini nasikitika kukwambia kuwa hilo lingewezekana enzi za jakaya aliyekuwa anatambua umuhimu wa elimu. Huyu wa sasa elimu sio kipaumbele chake yeye mwambie habari za mandege, mabarabara, flyover na madaraja ndivyo vipaumbele vyake. Kuhusu kuboresha elimu hiyo ni juu yako mzazi na mwanao...
 
Elimu sio kujua kiengereza hizo shule nazo bado zinazalisha wasomi wasio weza kujiajiri ni muhimu kutoa wanafunzi wenye maarifa mimi napendekeza somo la stadi za kazi na kilimo liwekewe mkazo wanafunzi kwanzia ngazi za chini wasome kwa vitendo
 
Ingewezekana kwama Lowassa angekuwa Raisi

Elimu elimu elimu mara 3, ila kwa saivi ukitaka unstall CCM ya Jiwe
 
Elimu sio kujua kiengereza hizo shule nazo bado zinazalisha wasomi wasio weza kujiajiri ni muhimu kutoa wanafunzi wenye maarifa mimi napendekeza somo la stadi za kazi na kilimo liwekewe mkazo wanafunzi kwanzia ngazi za chini wasome kwa vitendo
Stadi zipi za kazi unazozungumza wewe!?

Hicho kilimo ni kipi? wafundishwe kushika majembe ya mkono?
 
Kinachotuvutia hk english medium ni ysle magari yao ya njano yaani mwanao akiijiwa asbh na kurudishwa jioni ni bonge moja la raha...Majirani lazima waone wivu
 
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza!

Nimefanya utafiti usio rasmi, kwa sasa asilimia kubwa ya wazazi (karibu wote) wanatamani, au wanataka watoto wao wakasome shule za English Medium.

Asilimia kubwa (karibu wote) wazazi wenye kipato wamepeleka watoto wao English Medium. Sijajua kama kuna mtoto hata mmoja wa mtunga sera za elimu anasoma shule za msingi za serikali.

Ukikutana na mzazj hohehahe anayesomesha shule za msingi za serikali anatamani mtoto wake na yeye angekuwa anasoma English Medium, akipata hela lazima atampeleka huko!

Kinachowavutia zaidi wanajamii ni pale wanapokutana na mtoto wa English Medium akiongea Kingereza.

Sasa, kwa nini shule za msingi zote za serikali zisianze kufundisha kwa mtaala wa Kingereza? Kwa sababu naona wazazi hawazielewi kabisa shule za msingi za serikali zinazofundisha kwa Kiswahili.

Sidhani hata watoto wa wafanyakazi wa BAKITA (Baraza la Kiswahili Tanzania) wanasoma shule za msingi za serikali.

Hili giza la usiku wa manane kingereza ndio elimu nilitakapo ondoka vichwani mwa watanzania ndipo maendeleo yatapatikana kirahisi
 
Back
Top Bottom