Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Watoto inabidi wafundishwe kulima na kufuga kwanzia ngazi za chini tutakuja kupata wataalamu wengi watakaoweza kujiajiri na kupunguza mzigo kwa serikaliStadi zipi za kazi unazozungumza wewe!?
Hicho kilimo ni kipi? wafundishwe kushika majembe ya mkono?