Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
- Thread starter
- #81
nani kakuambia siwaaheshimu wanawake, au heshima gni uayozungumsia?
mi nazungumza fact. dunia ndiyo ilivyo msipotia akili kichwani, mtang'ang'ana na kupekua simu za wenzi wenu weeeeeeeeeee kumbe mambo iko kwingine na inaendelea................tena inaendelea sawa kabisa........
tena we DC unaweza kukuta mke wako anajifanya kukuamini kwa kuwa anapekua simu yako apendavyo kumbe mambo yoooote haitumii simu!!!!!!! yuko na ntu isiyo na simu..................inatuma nt0to ianaleta kanoti au anamsubiri njiani........!!!!!! kalaghabaho!!!
AK, usichukulie mambo personal. Kinachoendelea hapa ni mjadala wa kubadilishana mawazo. Na msingi wa majadiliano tunayofanya ni uzoefu wetu. Kama wewe unaongelea nadharia basi uko kwenye wrong thread. Tueleze unayamudu vipi mahusiano yako badala ya kuleta wish list. Kila mtu alikuwa na wish lists zake, lakini hapa tunaongelea yale tunayoyatenda kila siku. Halafu simu siyo kipimo cha uaminifu hata kidogo. Pia kuna wengine wamechanganya. Access to your partner's phone is not the same as mandatory inspection/search. We are talking about free access to phone, e-mail etc. Don't mix real life and theories. Those are two different worlds!