Kwa nini tukikutana na mwanaume ana jina la kike unakuwa mjadala wa kitaifa?

ilianza kwa watu simba kuwasema yanga kuhusu jina la joyce lomalisa, nadhani ni mazoea tu yaliyochanganyika na utani wa jadi.

mkuki kwa nguruwe eh, joyce mlimuanzishia mpaka thread hapa, mkasema haitwi lomalisa bali anaitwa joyce lomalisa mutambala, nami nasema haitwi debora anaitwa debrah.
Hiyo ya Joyce ingekuwa sababu tosha ya watu wa Yanga kutoikejeli Simba kwa sababu ya Debora kwa sababu kwanza Joyce alionyesha vitendo uwanjani vilivyozima kejeli zote ikatoa fundisho kwa wote.

Hata ule mshuti wa Debora kwenye Simba Day ulishaanza kufifisha kejeli zake.
 
tatizo lako ushabiki maandaz umekupofusha macho na umekufanya umekuwa mnafiki kuliko mwanamke wa kiswahili, hata andiko lako limejaa unafiki mtupu.
 
Mwanao wa kiume muite Hadija kama ni vizuri
 
Hiyo ya Joyce ingekuwa sababu tosha ya watu wa Yanga kutoikejeli Simba kwa sababu ya Debora kwa sababu kwanza Joyce alionyesha vitendo uwanjani vilivyozima kejeli zote ika

Hata ule mshuti wa Debora kwenye Simba Day ulishaanza kufifisha kejeli zake.
hata onana alifunga bonge ya goli kwenye simba day, kilichofuata baada ya hapo hata wewe unakijua.

na mshuti umefifishaje kejel wakt wewe ndo umekuja na uzi kuwa debrah mechi na yanga alikuwa anakejeliwa ana mimba.
 
hata onana alifunga bonge ya goli kwenye simba day, kilichofuata baada ya hapo hata wewe unakijua.

na mshuti umefifishaje kejel wakt wewe ndo umekuja na uzi kuwa debrah mechi na yanga alikuwa anakejeliwa ana mimba.
Sijaelewa Onana anaingiaje kwenye mada hii. Hiyo ya mimba sikuisikia kwenye derby, ni kabla.
 
Sijaelewa Onana anaingiaje kwenye mada hii. Hiyo ya mimba sikuisikia kwenye derby, ni kabla.
wao ni wanaume wanacheza na wanawake, mashabiki wa apr ndo walikuwa wanasema hvo siyo?

huwa najiuliza mbona nao walikuwa na joyce, joyce alikuwa mchezaji wa zile timu za misri mlizocheza nazo siyo?

watu wote sio viazi kama wewe mkuu.
 
Ni wanaume wachache wenye akili ndo huwezi kuwawasikia wakikejeli mimba tena kwa mwanaume mwenzao.....
Ni vijanaume uchwara vinaishi maisha ya kuunga unga ndo wanafanya hivi...
 
wao ni wanaume wanacheza na wanawake, mashabiki wa apr ndo walikuwa wanasema hvo siyo?

huwa najiuliza mbona nao walikuwa na joyce, joyce alikuwa mchezaji wa zile timu za misri mlizocheza nazo siyo?

watu wote sio viazi kama wewe mkuu.
Ongea ueleweke. Naona unabwabwaja tu sijui hata unazungumza nini
 
kwa simba na yanga haya ni ya kawaida kama utakumbuka kejeli kwa kikuku cha shishimbi.
 
Somalia nilisikia mtt wakiumee akiitwa faudhia...alafu fresh tu
Huku kwetu mtu huyo tunamuita Faudh. Hata hivyo ni ushamba tu jina ambalo si la kabila lako kulicheka kuwa ni la kike au kiume. Mbona wenyewe poa kuwaita mbwa wao John, Salome, Omar nk. Itoshe kusema jina kama si la kabila lako au kiswahili kuli-judge
 
Kumbe inauma eh? Karma is a bitch!
 
Wale waliokuwa wanamdhihaki Debora Fernandez wanaendeleaje huko kiumeni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…