Unajichanganya sana...Nimekuuliza kama Calvin hakumzuia Martin kuondoa vitabu vya Ufunuo na Yakobo hivi leo ungekuja kumwaga povu hapa.....?
Ngoja nikwambie Kanisa Katoliki halijawahi ongeza wala Punguza kitabu chochote katika Biblia tokea mwanzao...
Unaleta mambo ya Rozari hapa ambayo hayhusiani na mada...Kwa taafifa yako Rozari imeasisiwa na St. Dominic na sio Mtaguso wa NICEA...MTaguso wa NICEA ulikuwa kwa ajili ya Kanuni ya Imani iliyopitisha UTATU MTAKATIFU...Sjui kwann unataka kupotosha hapa..
Naomba nikuambie kitu hiki kuhusu vitabu hivi 7 na historia yake na uache upotoshaji...
Vitabu hivi saba viliandikwa karne za mwishoni kablla ya ujio wa Kristo...
Ilikuwa hivi; Vitabu hivi viliandikwa na Waisraeli/Wayahudi walioishi Misri ...Kutokana na kipindi hiko Mgiriki ndo alikuwa Mkoloni lugha ya Mawasilano ilikuwa ia Kigiriki...Hivyo basi ilikwapasa hawa ayahudi/Waisrael waandike Vitabu huvi kwa Lugha ya Ya kigiriki na si Kiebrania...
Kumbuka Agano la Kale lote liliandikwa kwa Lugha ya Kiebrania na hivi vitabu 7 viliandikwa lugha ya Kigiriki...
Baada ya ujio wa Yesu na mambo makubwa aliyoyafanya na kupelekea Kifo chake, pamoja kuitwa kwake Mungu na ukiangali Biblia Agano la Jipya liliandikwa lote kwa Lugha Kigiriki Waisraeli waliogopa kuvipokea Vitabu hivi vilivyo andikwa kwa Lugha ya kigiriki wakiofia Imani yao juu ya Yesu Kristo isije ikachanganywa...
Mkuu Historia ilianzia hapo na sio upotoshaji huo ambao wewe umehadithiwa....
RGforever,
isotope MTAZAMO @buzybugmy