Kwa nini ukimchukia na kutomsamehe mtu muathilika ni wewe zaidi ya huyo unayemchukia.

Kwa nini ukimchukia na kutomsamehe mtu muathilika ni wewe zaidi ya huyo unayemchukia.

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
1: Mungu anakuhesabu wewe umeshamuua huyo mtu tayari.
Kila amchukiaye ndugu yake ni muuaji. 1 Yohana 3:15

2: Chuki ni nishati (energy) hasi. Itaathili ubongo wako na mwili na itakuwa kivutio cha magonjwa yasiyoabukiza.

3: Chuki na hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu. Na mbumbavu ni mtu anayesema moyoni mwake hakuna Mungu. Hivyo utahesabika sawasawa na mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.

4: Chuki ninubinafsi. Usitegemee kusamehemewa kama wewe husamei na kupotezea. Yesu alisema, msimamopo kusali, sameheni.

5: Chuki inaambukiza. Kama ilivyokorona, virusi vya chuki vinatabia ya kusambaa kila kona na angahewa lolote utakalokuwepo litakuwa limejaa chuki. Nyimbani, ofisini, kanisani. Utajikuta unachukiwa na kuchukia kila uendapo.

Ufanye nini sasa.
Omba Mungu akupe upendo wa agape. Upendo pekee ndio kitu chenye nguvu kuliko chuki na kuchukiwa.

Ni hayo tu.

Ukielewa like, comment share ili tuelewe wengi.

Na Mtumishi Matunduizi.
 
Acha uongo Chuki si energy ni part ya Emotions.
 
Emotions ni vile mtu anavyojisikia, Saikolojia inasema kwamba Emotions zinasababishwa na mchanganyiko wa Homoni na unconscious mind, saikolojia inaongeza kua Emotions ni mambo ya kibailojia ambayo yanahusiana na mfumo wa fahamu na mabadiliko ya Neuralphysiolojia yahusianayo na mawazo,hisia,majibu ya tabia na kiwango cha raha au karaha..….Mambo yote hapo juu yanakua yanaratibiwa na mfumo wa Autonomic Nervous System (ANS) katika mwili wa mwanadamu.

Emotions zinmegawanywa katika makundi makuu manne ambayo kila moja imebeba mambo mawili ambayo hukinzana, makundi hayo ni:- Joy (furaha)/sadness(huzuni) Acceptance(kukubali-liwa)/disgust(kukataa-liwa), Anger (hasira)/fear(uoga), Surprise(mshituko-kizo)/anticipation(kutegemea).

Lakini pia kuna aina zingine nyiingi za emotions kama vile anxiety, aggression, boredom, doubt, apathy, empathy, envy, embarrassment, frustration, gratitude, grief, guilt, hatred, hope, horror, hostility, hunger, loneliness, love, pride, shock, shame, suffering, sympathy, nk nk.

Tafuta hii muvi wameelezea vizuri maswala ya emotions in simple way
1699791594678.png
 
1: Mungu anakuhesabu wewe umeshamuua huyo mtu tayari.
Kila amchukiaye ndugu yake ni muuaji. 1 Yohana 3:15

2: Chuki ni nishati (energy) hasi. Itaathili ubongo wako na mwili na itakuwa kivutio cha magonjwa yasiyoabukiza.

3: Chuki na hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu. Na mbumbavu ni mtu anayesema moyoni mwake hakuna Mungu. Hivyo utahesabika sawasawa na mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.

4: Chuki ninubinafsi. Usitegemee kusamehemewa kama wewe husamei na kupotezea. Yesu alisema, msimamopo kusali, sameheni.

5: Chuki inaambukiza. Kama ilivyokorona, virusi vya chuki vinatabia ya kusambaa kila kona na angahewa lolote utakalokuwepo litakuwa limejaa chuki. Nyimbani, ofisini, kanisani. Utajikuta unachukiwa na kuchukia kila uendapo.

Ufanye nini sasa.
Omba Mungu akupe upendo wa agape. Upendo pekee ndio kitu chenye nguvu kuliko chuki na kuchukiwa.

Ni hayo tu.

Ukielewa like, comment share ili tuelewe wengi.

Na Mtumishi Matunduizi.
Lipa Kisasi upate amani ya nafsi
 
Emotions ni vile mtu anavyojisikia, Saikolojia inasema kwamba Emotions zinasababishwa na mchanganyiko wa Homoni na unconscious mind, saikolojia inaongeza kua Emotions ni mambo ya kibailojia ambayo yanahusiana na mfumo wa fahamu na mabadiliko ya Neuralphysiolojia yahusianayo na mawazo,hisia,majibu ya tabia na kiwango cha raha au karaha..….Mambo yote hapo juu yanakua yanaratibiwa na mfumo wa Autonomic Nervous System (ANS) katika mwili wa mwanadamu.

Emotions zinmegawanywa katika makundi makuu manne ambayo kila moja imebeba mambo mawili ambayo hukinzana, makundi hayo ni:- Joy (furaha)/sadness(huzuni) Acceptance(kukubali-liwa)/disgust(kukataa-liwa), Anger (hasira)/fear(uoga), Surprise(mshituko-kizo)/anticipation(kutegemea).

Lakini pia kuna aina zingine nyiingi za emotions kama vile anxiety, aggression, boredom, doubt, apathy, empathy, envy, embarrassment, frustration, gratitude, grief, guilt, hatred, hope, horror, hostility, hunger, loneliness, love, pride, shock, shame, suffering, sympathy, nk nk.

Tafuta hii muvi wameelezea vizuri maswala ya emotions in simple way
View attachment 2811532
Ijulikane kuwa mwanadamu aliumbwa kwa mfano Wa Mungu, hata mfanano sio sura Bali haki na utakatifu. Hivyo ktk DNA ya rohoni, kila mwanadamu wameumbwa kuwa mwema na kutenda mema. Chochote kilicho kinyume na Mungu ni hatari ktk Maisha ya mwanadamu. Mfano Mungu sio Muoga na hofu haimkaribii... Sasa tazama mtu mwenye hofu anavyotaabika... Hadi kuleta sonono hata Kutamani kufa. Kama kila. Mwanadamu angeishi kama Mungu apendavyo, siku zote tungejaa na furaha. Tatizo tunapenda dunia kuliko Mungu, ingawa dunia haijaprove kumpa mtu furaha... Kama una Isha fuatilia kifo cha Steve Job kabla hajafa... Alikiri kuwa mambo yote ni ubatili😁
 
Chuki na hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu. Na mbumbavu ni mtu anayesema moyoni mwake hakuna Mungu. Hivyo utahesabika sawasawa na mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.

Hasira ya mungu ikawaka juu ya uovu wa wana wa Israel , zungumzia hii mkuu.
 
Chuki na hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu. Na mbumbavu ni mtu anayesema moyoni mwake hakuna Mungu. Hivyo utahesabika sawasawa na mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.

Hasira ya mungu ikawaka juu ya uovu wa wana wa Israel , zungumzia hii mkuu.
Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu. YAKOBO 1:20.
Tunazuungumzia hasira ya Mwanadamu.
 
Back
Top Bottom